Mila ya kuua waume wenye mali ya baadhi ya wanawake wa makabila ya kiafrika

Mila ya kuua waume wenye mali ya baadhi ya wanawake wa makabila ya kiafrika

Nlikuwa najiulizaga saana kwanini huku kwetu Africa wanawake huwa ndio wanaishi
miaka mirefu saana hadi kuwa vikongwe lakini wanaume zao huwa wanakufa huko
mwanzoni mwanzoni tu.

Ukweli mchungu… hiyo ishu ipo, nna jamaa yangu yupo SINGIDA kikazi nliongea naye mwez m1 au mi2 iliyopita alisema hiyo ishu huko ipo maana kaya nyingi znakaliwa na wanawake na ukiuliza wakwapi waume zao unaambiwa WAMEKUFA!

Huko SINGIDA, huyu jamaa yangu kwasasa ana mpenzi wa huko huko ila hana mpango wa kuoa mwanamke wa huko kwa7b ya mambo hayo.
 
Nlikuwa najiulizaga saana kwanini huku kwetu Africa wanawake huwa ndio wanaishi
miaka mirefu saana hadi kuwa vikongwe lakini wanaume zao huwa wanakufa huko
mwanzoni mwanzoni tu.

Kwanini watu wengine kama vile wazungu wachina wote huzeeka pamoja,mbaka pale niliposikia tukio la jamaa aliyenusurika kuuliwa na mke wake kwa sumu waliposhindwa wakajaribu na uchawi,ndipo nikagundua kuwa kumbe....

Siri ya nchi za kiafrika kuwa na singlemama wengi ni mauaji ya waume wao na mara
zote wanaouliwaga ni wale wanaojiweza kiuchumi ukiwa kapuku utaishi mpaka umwembe
mola wako akuondoshe duniani.

Ama kwa hakika ukiwa na hela huku kwetu halafu
ukaoa binti toka koo masikini jua huo ni msiba wa kujitakia,ni sawa na kumchokoza
simba mwenye njaa,ukinusurika kifo utalishwa na kuogeshwa madawa wewe mbaka uwe ka
ndondocha vile,utageuzwa ATM utasomesha familia yao hadi wajiweze,wakisha simama
sasa siku ukipata majanga hakuna hata atakayekujali washapata walichokitaka toka kwako
hapo ndo.

Ushukuru mungu umepata familia isiopenda kuua, binafsi hili nililishuhudia toka
kwa ndugu yangu kabisa alioa binti wa kinguu kwao wachawi balaa,unaambiwa jamaa pale
kwake hakanyagi ndugu yetu aipiti wiki anatimuliwa lkn ndugu zake yule mwanamke kawasomesha
kawataftia kazi sasa wamesepa hao hata hawamjali.

Huku kwetu ndoa ni hatari saana especially ukiwa na vijisenti japo kidogo.
Hii mada nzuri sana, inahusiana sana na uzi unaoelezea mambi yasioonekana.

Kwa ufupi, wachawi ni mwiko kuiba lakini sio mwiko kuua.

 
Ukweli mchungu… hiyo ishu ipo, nna jamaa yangu yupo SINGIDA kikazi nliongea naye mwez m1 au mi2 iliyopita alisema hiyo ishu huko ipo maana kaya nyingi znakaliwa na wanawake na ukiuliza wakwapi waume zao unaambiwa WAMEKUFA!

Huko SINGIDA, huyu jamaa yangu kwasasa ana mpenzi wa huko huko ila hana mpango wa kuoa mwanamke wa huko kwa7b ya mambo hayo.
HAYA mambo yapo jamani wanaume tujiangalieni saana sio
tunakurupukia tu kuoa wanawake kisa njaa zetu za wanawake
matokeo unakutana na majambazi wanakupora kila kitu na
pengine kukuua kabisa ukiuliza kosa la nani? jibu lipo wazi
ni lako wewe mwanaume haiwezekani ukasoma kwa shida,
au ukakusanya mali kwa shida sna halafu unakuja kumpa
mtu ambaye hajaziangaikia halafu unamwamini kabisa
mwanmke huna undugu nae halafu we una ma mali yote
hayo unategemea atakufanyaje? kama sio kukuua achukue
kabla hujastuka na ukamfukuza wanaumeplz tuchukue wanawake
wa level zetu haiwezekani wewe ukatoka maisha mazuri ukamchukua
mwanmke ambae kwao hawjui hata mchana atakula nini hapo
kulogwa na kuuliwa utakuwa umejitakia
 
mwanmke huna undugu nae halafu we una ma mali yote
hayo unategemea atakufanyaje?


Jamaa… kwenye suala la kuoa tusijifanye wajanja kwa kumtazama binti kwa nje tu ndipo apate alama ya kuolewa, ila hapa maombi ndo muhimu sana na yanahitajika.

Bila hivyo tutakuwa ni watu wa kulia lia tu na kufa muda wowote.
 
Nlikuwa najiulizaga saana kwanini huku kwetu Africa wanawake huwa ndio wanaishi
miaka mirefu saana hadi kuwa vikongwe lakini wanaume zao huwa wanakufa huko
mwanzoni mwanzoni tu.

Kwanini watu wengine kama vile wazungu wachina wote huzeeka pamoja,mbaka pale niliposikia tukio la jamaa aliyenusurika kuuliwa na mke wake kwa sumu waliposhindwa wakajaribu na uchawi,ndipo nikagundua kuwa kumbe....

Siri ya nchi za kiafrika kuwa na singlemama wengi ni mauaji ya waume wao na mara
zote wanaouliwaga ni wale wanaojiweza kiuchumi ukiwa kapuku utaishi mpaka umwembe
mola wako akuondoshe duniani.

Ama kwa hakika ukiwa na hela huku kwetu halafu
ukaoa binti toka koo masikini jua huo ni msiba wa kujitakia,ni sawa na kumchokoza
simba mwenye njaa,ukinusurika kifo utalishwa na kuogeshwa madawa wewe mbaka uwe ka
ndondocha vile,utageuzwa ATM utasomesha familia yao hadi wajiweze,wakisha simama
sasa siku ukipata majanga hakuna hata atakayekujali washapata walichokitaka toka kwako
hapo ndo.

Ushukuru mungu umepata familia isiopenda kuua, binafsi hili nililishuhudia toka
kwa ndugu yangu kabisa alioa binti wa kinguu kwao wachawi balaa,unaambiwa jamaa pale
kwake hakanyagi ndugu yetu aipiti wiki anatimuliwa lkn ndugu zake yule mwanamke kawasomesha
kawataftia kazi sasa wamesepa hao hata hawamjali.

Huku kwetu ndoa ni hatari saana especially ukiwa na vijisenti japo kidogo.
Msiwege mnaoa
 
Jamaa… kwenye suala la kuoa tusijifanye wajanja kwa kumtazama binti kwa nje tu ndipo apate alama ya kuolewa, ila hapa maombi ndo muhimu sana na yanahitajika.

Bila hivyo tutakuwa ni watu wa kulia lia tu na kufa muda wowote.
NASHKURU bro kwa kulitambua hilo na yeyote asiyezingatia hili
ataangamia kama walivyoangamia wengine,watapotezwa kama
walivyopotezwa wengine,haya mambo yapo tunaishi nayo na
tunaona kila siku watu wakifa wakiacha ma mali,swali je ni wanaume
wa kiafrika peke yao ambao wameumbwa bila uwezo wa kuzeeka?
watu wanauliwa hizi mila za kiuaji zipo kwenye koo zetu za kiafrika
sema inakuwa ni mipango ya siri saana asiyehusika hawezi kujua,
wanaume tumezaliwa kukutana na taabu tu duniani
 
Msiwege mnaoa
hatujasema watu wasioe ila tunachozungumzia
ni dhulma zinazofanywa na baadhi ya koo na makabila
ya kiafrika kupanga njama za kuwapora watu mali
zao walizozipata kwa taabu either kwa kuwaua au kwa
kisingizio cha ndoa kujitajirisha wao na koo zao kupitia migongo
ya wengine wakakugeuza ndondocha kwa malimbwata yao
wanayokulisha ili usije ukazinduka.
 
Jamaa… kwenye suala la kuoa tusijifanye wajanja kwa kumtazama binti kwa nje tu ndipo apate alama ya kuolewa, ila hapa maombi ndo muhimu sana na yanahitajika.

Bila hivyo tutakuwa ni watu wa kulia lia tu na kufa muda wowote.
sometimes nasemaga ukizaa mtoto wa kiume anayejielewa
shukuru mungu sabab % kubwa yao ni hasara utamlea kwa
shida toka utoto utamsomesha kwa shiida,utamtafutia kazi
halafu akishapata mshahar tu anajitokeza mwanamke huko
anamteka anaanza kuzitumia yeye zile pesa nz familia yao
atamsomeshea wadogo wake wote na kazi atawatafutia
huku yeye mwenyewe huyo mwanaume kwao masikini kibao
pengine hata wadogo zake hela ya kulipa ada hawana
wanrudishwa kila siku,akipigiwa simu anawajibu tena kwa
ukali sina hela msinisubue, ilhali huku anasomesha ukoo wote
wa mke wake,baada ya kufaidika mke huyo huyo pengine
baadae akadai talaka waachane sabab kashapata analotaka
toka kwako hana hasara,wala wale uliowsomesha hawatakukumbuka
wala kukushukuru,sa si bora ungetoa sadaka kwa kuchukua mayatima
japo wawili ukakaa nao na kuwasomesha... jamani tuzinduke wanaume Afrika ni sehem
hatari saana tofuti na wengi wanavyoichukulia.
 
sometimes nasemaga ukizaa mtoto wa kiume anayejielewa
shukuru mungu sabab % kubwa yao ni hasara utamlea kwa
shida toka utoto utamsomesha kwa shiida,utamtafutia kazi
halafu akishapata mshahar tu anajitokeza mwanamke huko
anamteka anaanza kuzitumia yeye zile pesa nz familia yao
atamsomeshea wadogo wake wote na kazi atawatafutia
huku yeye mwenyewe huyo mwanaume kwao masikini kibao
pengine hata wadogo zake hela ya kulipa ada hawana
wanrudishwa kila siku,akipigiwa simu anawajibu tena kwa
ukali sina hela msinisubue, ilhali huku anasomesha ukoo wote
wa mke wake,baada ya kufaidika mke huyo huyo pengine
baadae akadai talaka waachane sabab kashapata analotaka
toka kwako hana hasara,wala wale uliowsomesha hawatakukumbuka
wala kukushukuru,sa si bora ungetoa sadaka kwa kuchukua mayatima
japo wawili ukakaa nao na kuwasomesha... jamani tuzinduke wanaume Afrika ni sehem
hatari saana tofuti na wengi wanavyoichukulia.
Lazima apate wa kula hela zake , sababu kubwa ni ubinafsi wa maisha ya binadamu mtoto wa kiume akijipata basi anatafuta mke , huku nyuma wazazi ndio kawatema kimtindo yuko busy na familia yake mpya .
 
Jamaa… kwenye suala la kuoa tusijifanye wajanja kwa kumtazama binti kwa nje tu ndipo apate alama ya kuolewa, ila hapa maombi ndo muhimu sana na yanahitajika.

Bila hivyo tutakuwa ni watu wa kulia lia tu na kufa muda wowote.
wanaume jamani usikubali mwanamke akuambie
umsomeshe au umsomeshee ndugu zake au uwawezeshe
ukoo wake kiuchumi,i.e abuse, umetoa mahari kuoa mke
na kumtunza yeye tu umiliki umetoka kwa mzazi umekuja
kwako yupo chini yako,hilo ndio jukumu lako, hayo mengine
ya kuwasomeshea na kuwawezesha hayakuhusu ni jukumu
la watoto wa kiume wa mzazi wa huyo mkeo au ndugu zao
huko kwenye familia yao kuwezeshana wenyewe kwani kama
usingemuoa binti yao angewasomesha au kuwawezesha nani?
usiwe zombi mtto wa kiume bora ukaachana na mwanamke
kuliko kubebeshwa mzigo mzito usiokuwa wako
 
Lazima apate wa kula hela zake , sababu kubwa ni ubinafsi wa maisha ya binadamu mtoto wa kiume akijipata basi anatafuta mke , huku nyuma wazazi ndio kawatema kimtindo yuko busy na familia yake mpya .
sometimes utakuta mzazi wa mtu na dada zake
hawaelewani na wifi yao sabab wanaona huyo
mwanamke amemkamata mtoto wao hata akashindwa
kuwasaidia wao na badala yake anasaidia ukeni kwake
kusiko muhusu, hawa mawifi huwa wako sahihi kabisa
haiwezekani wamekulea ukakua sasa umesimama mwenyewe
badala ya kuwasaidia wao waliokufiksha hapo badayake unawasaliti.
hata wewe huwezi ukafanyakazi ya bure, unaweza kulima na kupalilia
shamba kwa shida halafu mavuno usile hata kidogo? haiwezekani
sabab kila nayepanda anatarajia kuvuna alichokipanda
 
Back
Top Bottom