Sitaki kukutisha. Wewe ndiye una inferiority complex kwa sababu hujui mambo ya kawaida tu, nikiyataja unaona nakutisha.naona unazidi uongea pumba tu sasa kuweka
kilatino ina maana ndo unataka kuntisha au?
wewe endelea tu kutetea mila yako ya kuangamiza watto wa wenzakoSitaki kukutisha. Wewe ndiye una inferiority complex kwa sababu hujui mambo ya kawaida tu, nikiyataja unaona nakutisha.
Yani ujinga wako wewe, lawama unanipa mimi.
Hatuwezi kuelewana.
Nlikuwa najiulizaga saana kwanini huku kwetu Africa wanawake huwa ndio wanaishi
miaka mirefu saana hadi kuwa vikongwe lakini wanaume zao huwa wanakufa huko
mwanzoni mwanzoni tu.
Kwanini watu wengine kama vile wazungu wachina wote huzeeka pamoja,mbaka pale niliposikia tukio la jamaa aliyenusurika kuuliwa na mke wake kwa sumu waliposhindwa wakajaribu na uchawi,ndipo nikagundua kuwa kumbe....
Siri ya nchi za kiafrika kuwa na singlemama wengi ni mauaji ya waume wao na mara
zote wanaouliwaga ni wale wanaojiweza kiuchumi ukiwa kapuku utaishi mpaka umwembe
mola wako akuondoshe duniani.
Ama kwa hakika ukiwa na hela huku kwetu halafu
ukaoa binti toka koo masikini jua huo ni msiba wa kujitakia,ni sawa na kumchokoza
simba mwenye njaa,ukinusurika kifo utalishwa na kuogeshwa madawa wewe mbaka uwe ka
ndondocha vile,utageuzwa ATM utasomesha familia yao hadi wajiweze,wakisha simama
sasa siku ukipata majanga hakuna hata atakayekujali washapata walichokitaka toka kwako
hapo ndo.
Ushukuru mungu umepata familia isiopenda kuua, binafsi hili nililishuhudia toka
kwa ndugu yangu kabisa alioa binti wa kinguu kwao wachawi balaa,unaambiwa jamaa pale
kwake hakanyagi ndugu yetu aipiti wiki anatimuliwa lkn ndugu zake yule mwanamke kawasomesha
kawataftia kazi sasa wamesepa hao hata hawamjali.
Huku kwetu ndoa ni hatari saana especially ukiwa na vijisenti japo kidogo.
ukiangalia hapo kilichomuua ni sihr tu ndo inamtuma ajinyongeTANZIA - Mfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga
Mfanyabiashara mwenye maduka ya vinywaji vya jumla na rejareja Mjini Babati, Peter Mushi amekutwa ndani kwake amefariki dunia baada ya kujinyonga. Afisa Mtendaji wa mtaa wa Sawe, Simon Majura amesema tukio hilo limetokea katika mtaa wa Sawe wilaya ya Babati Mkoani Manyara na kwamba jeshi la...www.jamiiforums.com
Vipi kwenu baba yako yupo? Au ni masikini ndiyo maana yupo? Wakati mwingine wanaume huwa wanajitafutia matatizo wenyewe, mtu ana mke mzuri tu asiye na shida lakini anaenda kukusanya huko mizigo ya ajbu ajabukwanini wasikuue?Nlikuwa najiulizaga saana kwanini huku kwetu Africa wanawake huwa ndio wanaishi
miaka mirefu saana hadi kuwa vikongwe lakini wanaume zao huwa wanakufa huko
mwanzoni mwanzoni tu.
Kwanini watu wengine kama vile wazungu wachina wote huzeeka pamoja,mbaka pale niliposikia tukio la jamaa aliyenusurika kuuliwa na mke wake kwa sumu waliposhindwa wakajaribu na uchawi,ndipo nikagundua kuwa kumbe....
Siri ya nchi za kiafrika kuwa na singlemama wengi ni mauaji ya waume wao na mara
zote wanaouliwaga ni wale wanaojiweza kiuchumi ukiwa kapuku utaishi mpaka umwembe
mola wako akuondoshe duniani.
Ama kwa hakika ukiwa na hela huku kwetu halafu
ukaoa binti toka koo masikini jua huo ni msiba wa kujitakia,ni sawa na kumchokoza
simba mwenye njaa,ukinusurika kifo utalishwa na kuogeshwa madawa wewe mbaka uwe ka
ndondocha vile,utageuzwa ATM utasomesha familia yao hadi wajiweze,wakisha simama
sasa siku ukipata majanga hakuna hata atakayekujali washapata walichokitaka toka kwako
hapo ndo.
Ushukuru mungu umepata familia isiopenda kuua, binafsi hili nililishuhudia toka
kwa ndugu yangu kabisa alioa binti wa kinguu kwao wachawi balaa,unaambiwa jamaa pale
kwake hakanyagi ndugu yetu aipiti wiki anatimuliwa lkn ndugu zake yule mwanamke kawasomesha
kawataftia kazi sasa wamesepa hao hata hawamjali.
Huku kwetu ndoa ni hatari saana especially ukiwa na vijisenti japo kidogo.
Duu😳😳😳😳Sisi wachaga tunapenda sana Mali kuliko binadamu
🤭Sasa tutaishije jaman☹️Mhm sio wote, mbona mimi sipo hivyo wala sina mda na mali kabisa
Sio wote japo wengi wapo hivyo🤭Sasa tutaishije jaman☹️
Umesema huna muda na Mali kabisa ...ndo nauliza tutaishije sasa?Mhm sio wote, mbona mimi sipo hivyo wala sina mda na mali kabisa
Tutakula ndizi tulaleUmesema huna muda na Mali kabisa ...ndo nauliza tutaishije sasa?
Tobaa! 🤭🤣🤣🤣🙌Tutakula ndizi tulale
Hahhaha sasa kama hakuna pesa nafanya nini😁Tobaa! 🤭🤣🤣🤣🙌
🤭Mungu wangu!🙉Hahhaha sasa kama hakuna pesa nafanya nini😁
Ndio maana sitaki ndoa sina pesa.🤭Mungu wangu!🙉
Hapo sasa nimekuelewa kabisa mkuu.Uwe na amani na mkono wako daima.AminaNdio maana sitaki ndoa sina pesa.