Mila za Kabila la Waluguru zina kasoro, chukua tahadhari kabla hujaoa huko

Mila za Kabila la Waluguru zina kasoro, chukua tahadhari kabla hujaoa huko

1. Mwanamke ndio mwenye nguvu watoto ni wa mama na watoto wanawaheshimu wajomba sio wewe baba.

2. Mwanamke wa kiluguru ukimuoa kila mwaka lazima arudi kwao kucheza ngoma na huko lazima akutane na ma X wake agegedwe.

3. Waluguru wanapenda kuishi pamoja ukoo mzima yale maisha ya kijima ya zama za mawe. Mfano ndugu wote wa ukoo wanaweza kuja kuishi kwako na kama wewe ni mkali na mwenye misimamo basi ukienda kazini mke wako anapika kwako chakula anaenda kulia kwao na ndugu zake. (Kama mnaishi karibu na kwao) na kama u mpole wanapika kwao wanakuja kulia chakula kwako.

4. Kali kuliko zote waluguru wana utamaduni mbaya wa kugegedana ndugu kwa ndugu tena wa damu. Hivyo ni jambo jepesi sana mke wako kugegedwa na ndugu zake wa damu tena wa karibu nawewe hutajuta kamwe kwasababu utaaminishwa na utaamini kuwa hao ni ndugu.

5. Mwanamke wa kiluguru haoni shida kuishi na wanaume wawili kwa wakati mmoja tena wakijuana kabisa.

6. Jambo linaloshangaza wanaume wa kiluguru hawana wivu wa mapenzi. Mwanaume wa kiluguru anaweza kuoa singo maza ambae ameachwa jana na msela anaeishi mtaa huohuo na akalea mtoto au mimba ya mtu anayemjua kabisaaaaa.
Duuh, makubwa!
Basi hao wanafaa kuwa disposable, kwa matumizi ya dharura tu..
Unapiga mara mbili unapita hivi
 
Huwezi mtofautisha mtu na kabila lake kwa sababu maisha ya wengi yapo connected na mizimu ya kabila lake,thou unatoka huko we ni mali ya mzimu wa kabila fulani sababu ya maagano ya mwanzishi wa Kabila husika aliyoingia na mizimu labda tu ukute mtu kajidisconnet na mizimu ya kabila lake.
Ndo maana Pana Tabia mfanano za Kila kabila hizo mfanano wa Tabia uletwa na mizimu.
Kama mtu Hana Tabia za kabila lake amejidisconnet.
BONGE LA POINT,UNA UFAHAMU MKUBWA SANA MUNGU AKUBARIKI NI NGUMU SANA KUELEWEKA KWA WATU WENGI HII POINT
 
ila zile mbegu fupi hazijawah nivutia
Mnyama au hata binadamu wakianza kuzaliana wenyewe kwa wenyewe kwa maana ya ndugu kwa ndugu tegemea kupata generation dumavu.. kama ni kuku wanakuwa dumavu kama ni watu wanakuwa wafupi na wadhaifu n.k
 
1. Mwanamke ndio mwenye nguvu watoto ni wa mama na watoto wanawaheshimu wajomba sio wewe baba.

2. Mwanamke wa kiluguru ukimuoa kila mwaka lazima arudi kwao kucheza ngoma na huko lazima akutane na ma X wake agegedwe.

3. Waluguru wanapenda kuishi pamoja ukoo mzima yale maisha ya kijima ya zama za mawe. Mfano ndugu wote wa ukoo wanaweza kuja kuishi kwako na kama wewe ni mkali na mwenye misimamo basi ukienda kazini mke wako anapika kwako chakula anaenda kulia kwao na ndugu zake. (Kama mnaishi karibu na kwao) na kama u mpole wanapika kwao wanakuja kulia chakula kwako.

4. Kali kuliko zote waluguru wana utamaduni mbaya wa kugegedana ndugu kwa ndugu tena wa damu. Hivyo ni jambo jepesi sana mke wako kugegedwa na ndugu zake wa damu tena wa karibu nawewe hutajuta kamwe kwasababu utaaminishwa na utaamini kuwa hao ni ndugu.

5. Mwanamke wa kiluguru haoni shida kuishi na wanaume wawili kwa wakati mmoja tena wakijuana kabisa.

6. Jambo linaloshangaza wanaume wa kiluguru hawana wivu wa mapenzi. Mwanaume wa kiluguru anaweza kuoa singo maza ambae ameachwa jana na msela anaeishi mtaa huohuo na akalea mtoto au mimba ya mtu anayemjua kabisaaaaa.
acha waje na wazaramo watupe miongozo yao
 
Back
Top Bottom