Mila za Kabila la Waluguru zina kasoro, chukua tahadhari kabla hujaoa huko

Mila za Kabila la Waluguru zina kasoro, chukua tahadhari kabla hujaoa huko

Wewe mshana, umeoa Mluguru kutoka koo ya wamwenda. Watoto zako wataitwa kwa Mtala wako, ila mtoto wako wa kiume akizaa watoto wake wakiume ataitwa Mkude( Kung'aro) na Wakike ataitwa Mwenda. Sababu huo ndio ukoo wa mama yake yaani wamwenda..ukoo unatoka kwa mama ila unabebwa na mtoto wa kiume sio wa kike
Na ukizaa watoto wa kike tupu, wataitwa kina mwenda na watoto wako wakiolewa na wapare tena ukoo utakuwa umekufa
 
Kwenye kurudi kwa sababu ya ngoma ni kweli ila inategemea mwanaume unaamuaje. Mimi Mlugulu ila nimeoa mkoa wa mbali kabisa, huko nilipo oa nimekutana na tamaduni za kila ifikapo mwezi wa 8 basi ndugu husafiri kwenda kwenye DUA.

Unaona jinsi tofauti zinavyokuja??? Mlugulu kwenye ngoma huyu ambae sio Mlugulu kwenye Dua. Lakini nimemueleza ukweli nimemwambia watakao kwenda watawakirisha japo ilichukua ngumu kuelewa lakini somo limemuingia na amenielewa.

Nina rafiki yangu fundi computer pale Machinga yeye anakaa na shemeji zake na amewatafuna, Mwingine jamaa yangu nimesoma nae tena mtu Rombo Uchagani anakaa na shemeji zake wa mwanamke anajisifia kuwatafuna.

Hivyo tabia zinafanana kwa sisi wa Afrika tofauti inakuwa muundo tu wa jambo. Mwanaume ukisimama ipasavyo basi utambadirisha atakuwa sawa kabisa.

NB:KILA KABILA LINA CHANGAMOTO YAKE.
 
Sijaoa mluguru mimi ni mpare na nimeoa upareni kwetu. Sisi wapare ni patrilineal na ndio uanaume sijawahi kuwaza maishani kuwa hata na mchepuko wa kiluguru achilia mbali mke kwasababu nawafahamu tabia zao. Waluguru ni matrilineal kwahiyo kama umeoa huko pole sana usishangae hata watoto wako wakaitwa surname za majina ya uluguruni KWA wajomba zao.
Mbona huko upareni baba kumla mtotowe nasikia sio ajabu mkuu?
 
1. Mwanamke ndio mwenye nguvu watoto ni wa mama na watoto wanawaheshimu wajomba sio wewe baba.

2. Mwanamke wa kiluguru ukimuoa kila mwaka lazima arudi kwao kucheza ngoma na huko lazima akutane na ma X wake agegedwe.

3. Waluguru wanapenda kuishi pamoja ukoo mzima yale maisha ya kijima ya zama za mawe. Mfano ndugu wote wa ukoo wanaweza kuja kuishi kwako na kama wewe ni mkali na mwenye misimamo basi ukienda kazini mke wako anapika kwako chakula anaenda kulia kwao na ndugu zake. (Kama mnaishi karibu na kwao) na kama u mpole wanapika kwao wanakuja kulia chakula kwako.

4. Kali kuliko zote waluguru wana utamaduni mbaya wa kugegedana ndugu kwa ndugu tena wa damu. Hivyo ni jambo jepesi sana mke wako kugegedwa na ndugu zake wa damu tena wa karibu nawewe hutajuta kamwe kwasababu utaaminishwa na utaamini kuwa hao ni ndugu.

5. Mwanamke wa kiluguru haoni shida kuishi na wanaume wawili kwa wakati mmoja tena wakijuana kabisa.

6. Jambo linaloshangaza wanaume wa kiluguru hawana wivu wa mapenzi. Mwanaume wa kiluguru anaweza kuoa singo maza ambae ameachwa jana na msela anaeishi mtaa huohuo na akalea mtoto au mimba ya mtu anayemjua kabisaaaaa.
"Kali kuliko zote waluguru wana utamaduni mbaya wa kugegedana ndugu kwa ndugu tena wa damu. Hivyo ni jambo jepesi sana mke wako kugegedwa na ndugu zake wa damu tena wa karibu nawewe hutajuta kamwe kwasababu utaaminishwa na utaamini kuwa hao ni ndugu."

[emoji3516] Naweza nkaamini hilo, maana kuna KaBinti Niko nacho jiran hp ninapoishi kananipaga uroda mara kadhaa, Ila kinachonishangaza na kuntia mashaka ni namna huyu kaka yke wa damu anayeishi nae jinsi alivyo na wivu dhidi ya mwanaume yyte atakaesemekana kujihusisha kimahusiano na huyu mdogo wake wa kike,

yn huyu bro wake imefikia mpk hatua amedivert simu ya huyu mdg wake wa kike ili kila simu anayopigiwa bc imfikie na yeye.
 
Huwezi mtofautisha mtu na kabila lake kwa sababu maisha ya wengi yapo connected na mizimu ya kabila lake,thou unatoka huko we ni mali ya mzimu wa kabila fulani sababu ya maagano ya mwanzishi wa Kabila husika aliyoingia na mizimu labda tu ukute mtu kajidisconnet na mizimu ya kabila lake.
Ndo maana Pana Tabia mfanano za Kila kabila hizo mfanano wa Tabia uletwa na mizimu.
Kama mtu Hana Tabia za kabila lake amejidisconnet.
Hii ni kweli nakubali
 
1. Mwanamke ndio mwenye nguvu watoto ni wa mama na watoto wanawaheshimu wajomba sio wewe baba.

2. Mwanamke wa kiluguru ukimuoa kila mwaka lazima arudi kwao kucheza ngoma na huko lazima akutane na ma X wake agegedwe.

3. Waluguru wanapenda kuishi pamoja ukoo mzima yale maisha ya kijima ya zama za mawe. Mfano ndugu wote wa ukoo wanaweza kuja kuishi kwako na kama wewe ni mkali na mwenye misimamo basi ukienda kazini mke wako anapika kwako chakula anaenda kulia kwao na ndugu zake. (Kama mnaishi karibu na kwao) na kama u mpole wanapika kwao wanakuja kulia chakula kwako.

4. Kali kuliko zote waluguru wana utamaduni mbaya wa kugegedana ndugu kwa ndugu tena wa damu. Hivyo ni jambo jepesi sana mke wako kugegedwa na ndugu zake wa damu tena wa karibu nawewe hutajuta kamwe kwasababu utaaminishwa na utaamini kuwa hao ni ndugu.

5. Mwanamke wa kiluguru haoni shida kuishi na wanaume wawili kwa wakati mmoja tena wakijuana kabisa.

6. Jambo linaloshangaza wanaume wa kiluguru hawana wivu wa mapenzi. Mwanaume wa kiluguru anaweza kuoa singo maza ambae ameachwa jana na msela anaeishi mtaa huohuo na akalea mtoto au mimba ya mtu anayemjua kabisaaaaa.
Hivi Pangawe iko wapi maana nimekuwa nawasikia wakiwasifia wanawake wa maeneo hayo kuwa ndiyo wazuri wenye kueleweka kuliko wengine wote kabisa
 
Mfano mimi ni mpare na ukoo wangu ni mshana nikioa mwanamke wa kiluguru wale watoto ni wa nani? Je wataitwa KWA ubini wa waluguru (banzi mloka kobelo mkude) au ataitwa KWA koo za kipare (mshana mbaga msuya mdee mkwizu nk)nk?
Tena ukoo wa mshana huko upareni sijui nn kilitokea wayback,ni koo wanayosema hata upambanaje hutoboi,wanasema eti imelaaniwa,ukiioa au ukiolewa naye maendeleo makubwa sahau.

Hapo unasemaje mleta mada?
 
Back
Top Bottom