Mila za Kabila la Waluguru zina kasoro, chukua tahadhari kabla hujaoa huko

Mila za Kabila la Waluguru zina kasoro, chukua tahadhari kabla hujaoa huko

Haya maisha we ishi tu usitafute ukamilifu haya mambo ya kudinyana visikutoe relini kila mtu ana uhuru wako no mara waa
No mara waaa na ukikuta anagegedwa unawasidia ili mumfikishe haraka mfanye kazi zingne za maendeleo nawasilisha
 
Tunaoa wanawake hatuoi kabila ila ikitokea hata hiyo unampa tu ushirikiano ili afanikishe jambo lake
Asubuhi njema naenda kanisani
 
mimi nimemuongelea Mungu hapo? au mawazo yako ya kipimbi ndiyo yamekutuma hivyo!
Huyo unayemkashifu ni kiumbe wa Mungu na Mungu ndie alitaka awe hivyo unavyokashifu unakashifu Mungu alichotaka kiwe hivyo.
 
Uongo ,mfano mashoga na wasagaji walioko.Tanzsnia tabia zao hizo wamezitoa kabila gani Tanzania?
Hizo Tabia za wazungu Sio Tabia za Waafrika.
Halafu ushoga ni ishu ya ugonjwa wa akili au saikolojiko imbalance.
Mwanaume smart hawezi kuwa shoga.
 
Inabidi uangalie mtu mwenyewe sio kabila.Mke mzuri huwezi mpata kwa kuangalia kabila lake.Unamtizama yeye kama yeye Full stop

Mambo ya kuangalia sijui kabila gani ni ushirikina mtupu
Ukishasema mzuri means amedisconnect na Tabia za kabila lako.
.Wagomvi wa mipaka wanajulikana ni kabila fulani?
Wabinafsi,wapenda bifu wapenda ligi,wanapenda ngono, ukitaka hasira uende kabila linajulikana,wavivu ujulikana,wapenda pesa kuliko utu wanajulikana,wasiopenda maendeleo ujulikana, wababe wanajulikana,hii ni mifano michache tu.
Unadhana huu mfanano wa Tabia wa watu wa jamii Fulani unashikiliwa na nguvu ipi.
 
Aliyoyaandika kuhusu Waluguru pia yanahusu pia Wapare.
Tena ukiongezea ushirikina
Sio kweli mfano wapare sio matrilineal lakini pia wapare sio wavivu wakati waluguru ni wavivu mno hawapendi kazi at least wale wa mgeta kidogo ! Lakini pia mwanaume wa kipare hawezi kuishi ukweni wakati mwanaume wa kiluguru anaweza kuoa na akaishi hapohapo ukweni nyumba moja na wakwe na akajukuu ukweni !!!! Hii kabila ni ya ajabu sana.
 
Anaebisha wanaume wa kiluguru hawaishi na kujukuu ukweni atakuwa hawajui waluguru.
 
Mwanaume wa kiluguru anapewa kiwanja ukweni tena pembeni ya wakwe zake na yeye bila aibu anajenga nyumba ukweni na kuishi hapo bila aibu kitu ambacho sisi wapare hakiwezekani kabisa yani kujenga na kuishi KWA wakwe!
 
Inabidi uangalie mtu mwenyewe sio kabila.Mke mzuri huwezi mpata kwa kuangalia kabila lake.Unamtizama yeye kama yeye Full stop

Mambo ya kuangalia sijui kabila gani ni ushirikina mtupu

Huwezi tenganisha MTU na utamaduni (kabila lake).
Tabia za Watu hutokana na mahali alipozaliwa na kukulia, hapo ndipo nguvu ya kabila inapotokea.

Ni Watu wajinga wanaojifanya kupuuzia hizo taarifa.

Labda ungesema Angalia MTU kakulia wapi ungeleta mantiki.
Vile ulivyo ni matokeo ya mazingira yanayokuzunguka
 
Mashtaka yamewekwa mezani. Ngoja tusubiri sasa utetezi kutoka kwa Watuhumiwa.
Tate Vipi kwa upande wa kule milimani kwenu usambaani,lushoto?
Maana nina msambaa hapa aiseeh ni mvumilivu sijawahi ona, sio wachoyo kabisa,roho nzuri, ana mapenzi ya kweli, alafu kingine aiseeh ukioa msambaa unatoka kimaisha maana ni wachakarikaji sana..
Nilishazunguka huko lakini huyu msambaa kanituliza aiseeh..! Nina 3 years nae sijawahi chepuka..mmmh🤔
 
Ulichoongea 100% ni uongo,kila kabila lina madhaifu yake,jirani yangu kaoa Mluguru,wanaishi vzr na sijawahi ona hayo uliyosema,nimeishi Morogoro kwa miaka mingi,nayafahamu makabila mengi ya huu mkoa...waluguru ni watu wenye upendo na hawana majivuni,...Wapogoro,wandewe,Wandamba,Wakaguru ni makabila nayoyafahamu vzr maana nimezunguka huu mkoa wote...acha kuchafua makabila ya watu,...Zungumzia kuhusu Wapare yako mengi yanayosemwa kuhusu Wapare swali ni je? Wapare wote wako hivyo?umalaya yaweza kua ni hulka ya mtu lkn huwez unganisha kabila...tumesoma,nimefanya kazi na wapare wapo wenye roho nzuri na wabaya tena walikua wanachonganisha na kufitinisha sana ofisini, lkn sio wote.
Sitaki kusikia wapare aseeh mpare yule almanusura anitoe roho...! Wapare nawaogopa sana hao wanawake
 
Wapare kabila la hovyo sana acha kujifanya balozi wao wana roho ya umaskini, uchoyo, ubahili, umimi, jinsia zote Malaya mbwa, wachawi sanaa, wapare ni nyoka
Broo nilipata mpare mmoja aiseeh nilikua natuma pesa kama kichaa..alafu yeye na mama yake walinifanya mimi ATM mashine nilipokuja kustuka it was too late,wale watu hapana aiseeh unaweza ukawa unampa hela na siku umepata shida hawezi kukupa hela ng'ooo,
Wabahili, roho mbaya hela wanawapa mama zao sana ndio huwa wanachonga madili sana ya kukupukutisha hata kukuroga wanakuroga, kumkuta mpare kakaa kwenye ndoa ni nadra sana labda waoane wao kwa wao.
Sitaki kuwasikia kabisa..Almanusura wanitoe roho.. It was a long story kwa kweli hadi kujinasua..
 
Back
Top Bottom