Mila za Kabila la Waluguru zina kasoro, chukua tahadhari kabla hujaoa huko

Duuh, makubwa!
Basi hao wanafaa kuwa disposable, kwa matumizi ya dharura tu..
Unapiga mara mbili unapita hivi
 
BONGE LA POINT,UNA UFAHAMU MKUBWA SANA MUNGU AKUBARIKI NI NGUMU SANA KUELEWEKA KWA WATU WENGI HII POINT
 
ila zile mbegu fupi hazijawah nivutia
Mnyama au hata binadamu wakianza kuzaliana wenyewe kwa wenyewe kwa maana ya ndugu kwa ndugu tegemea kupata generation dumavu.. kama ni kuku wanakuwa dumavu kama ni watu wanakuwa wafupi na wadhaifu n.k
 
acha waje na wazaramo watupe miongozo yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…