Milard Ayo unakera sasa kwa kiki za kijinga

Milard Ayo unakera sasa kwa kiki za kijinga

Tomaa Mireni

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2015
Posts
2,395
Reaction score
2,391
Milard Ayo amekuja vizuri sana kwenye tasnia ya habari amekua kioo kwa baadhi ya vijana wanaotaka kuanzisha chombo kama cha kwake.
Huyu dogo amekuwa kero sana hasa kwa mambo yasio na faida kwa taifa. Anatoa kiki ambazo ni hasara kwa jamii badala ya issues za maana.
Mifano ipo mingi siwezi kutaja yote ila kwa sasa ni hili la Mlevi wa taifa Pierre mzee wa Liquid huyu mlevi sijui ana maana gani mpaka apostiwe kwenye vyombo vya habari. Unapomkuza huyu mlevi unafundisha nin wanaokufatilia? Mtu anapata faida gani kujua alipo mlevi huyu? Amefamya jambo gani la kuelimisha jamii mpaka umpe kiki? Au kaacha ulevi?
IMG_20190329_090128.png

Kwa ujinga huu tusije kulaumu vijana kuiga au kuwa kama Pierre.
Ana vituko gani vya kuiga? Watu wanamtazama wanachukua nini toka kwake?, Milard Ayo badilika ushakua na brand kubwa sio mtu wa kupost ujinga tena.
 
Nakumbuka website yake ilishawahi kuwa kwenye 3 bora most visited websites in Tz, sasa hv hata kumi bora hayupo. Anapost ujinga kama huu na taarifa karibia zote anakuelekeza youtube wakati watu wana bando za 50 Mbs tu.
 
Mojawapo ya post zinazopendwa na watanzania ni post unazosema "za kijinga"

Ukiwa na social media hapa Tanzania na ukaweka strong or big story watembeleaji wa mtandao wako watakuwa wawili kwa siku.

Kitu kingine hizo story za UMBEA ndizo zinampa pesa kijana kila mnapofungua hiyo site yake.

KIKUBWA.
Jifunze hapa hapa JF angalia post na viewers wanaofungua, kukomenti, kusoma na wale wanaoreply.
 
Nakumbuka website yake ilishawahi kuwa kwenye 3 bora most visited websites in Tz, sasa hv hata kumi bora hayupo. Anapost ujinga kama huu na taarifa karibia zote anakuelekeza youtube wakati watu wana bando za 50 Mbs tu.
duh!!! Mtu mwenye heshima zake hawezi kuangalia
 
Mojawapo ya post zinazopendwa na watanzania ni post unazosema "za kijinga"

Ukiwa na social media hapa Tanzania na ukaweka strong or big story watembeleaji wa mtandao wako watakuwa wawili kwa siku.
Mkuu Milard anaongoza kuwa na subscribers wengi youtube hapa EA kwa upande wa Media sa ana shida gani na hao wapenda ujinga?
 
Mojawapo ya post zinazopendwa na watanzania ni post unazosema "za kijinga"

Ukiwa na social media hapa Tanzania na ukaweka strong or big story watembeleaji wa mtandao wako watakuwa wawili kwa siku.

Kitu kingine hizo story za UMBEA ndizo zinampa pesa kijana kila mnapofungua hiyo site yake.

KIKUBWA.
Jifunze hapa hapa JF angalia post na viewers wanaofungua, kukomenti, kusoma na wale wanaoreply.

asante mkuu umempa mfano mzuriii sana

watu tunachange kulingana na mazingira ile THREAD YA COMMENT CHOCHOTE UPATE LIKE NDO BABA LAO na hakuna chochote cha maaana
 
Ukiwa mtu makini huwezi fuatilia habari za Millard. Mi nilishaacha kitambo na kuna yule Dauda. It's a crap.

Sent using my Nokia Torch
 
Haha sasa unataka mda wote aweke serious news?kuna mda wa kurefresh mind bana mbona most ya habari zake ni za kuelimisha?acha wenge na chuki za kimaskini..by the way millard anapiga pesa sana kwenye hzo habari zinazosema za kijinga ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuambiwa ukweli haimaanishi unachukiwa, tena mpende sana mtu anaekuambia ukweli kukuhusu sababu anakupenda anataka ubadilike. Kakuona unaenda vibaya. Sema asante
 
Cicero yan tena nasikitika sababu sijui taifa li ajifunza na kupata nin toka kwake!! Angalia hata comments za hapa tu ni janga kwa vijana, kuwalisha wengi ujinga ndio bora kuliko kubabaisha wachache na werevu
 
Mwacheni mlevi wa taifa atambe nmamwonea gere tuu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Back
Top Bottom