Milard Ayo unakera sasa kwa kiki za kijinga

Milard Ayo unakera sasa kwa kiki za kijinga

Sasa umemshutumu Milard alafu kwenye andiko ukalalamikia media zote zinazomkuza Likwidi. Huyo Milard ndio mwenye media hizo zote?

Kwani si huyo huyo Milard alimkuza yule Mtoto wa Kagera na akapata Shule ya kusoma? sio kila siku mambo yatafanana.

Likwidi ni Msanii tu kama Msanii mwingine, na hakuna aliyethibitisha kama ni mlevi, ila kapatia umaarufu kwa sanaa yake kupitia baa, na yeye anaendeleza tu, ila kawa kibiashara zaidi.
Wengine wanaiga toka kwake ndo mana na laumu yeye

Katuma kutoka telegram.me/smatskills
 
Mojawapo ya post zinazopendwa na watanzania ni post unazosema "za kijinga"

Ukiwa na social media hapa Tanzania na ukaweka strong or big story watembeleaji wa mtandao wako watakuwa wawili kwa siku.

Kitu kingine hizo story za UMBEA ndizo zinampa pesa kijana kila mnapofungua hiyo site yake.

KIKUBWA.
Jifunze hapa hapa JF angalia post na viewers wanaofungua, kukomenti, kusoma na wale wanaoreply.
 
Mleta mada na wewe tumia bando lako kutuletea habari ambazo si za kijinga. Asante
 
Back
Top Bottom