Milard Ayo unakera sasa kwa kiki za kijinga

Milard Ayo unakera sasa kwa kiki za kijinga

Mojawapo ya post zinazopendwa na watanzania ni post unazosema "za kijinga"

Ukiwa na social media hapa Tanzania na ukaweka strong or big story watembeleaji wa mtandao wako watakuwa wawili kwa siku.

Kitu kingine hizo story za UMBEA ndizo zinampa pesa kijana kila mnapofungua hiyo site yake.

KIKUBWA.
Jifunze hapa hapa JF angalia post na viewers wanaofungua, kukomenti, kusoma na wale wanaoreply.
Sahihi kabisa, some years back mhariri mmoja aliniambia the leading newspaper Kwa uzalishaji na mauzo nchini ilikuwa Gazeti la udaku la Ijumaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mtu sijawahi hata kumfolow na wala siyo mfualiii habari zake kabisaaaa baada ya kujua kuwa ni miongoni mwa list ya konk.
 
shida ya watanzania wengi ukipost ujinga na siasa wanatoa suppot kwel kwel ndio maan wakaitwa (wabongo) ukipost cha msingi kinachoelezea true way of life suppot kidogo tujifunze jaman watanzania wenzangu tusipende ujinga tupeane suppot kwenye mambo ya msingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mojawapo ya post zinazopendwa na watanzania ni post unazosema "za kijinga"

Ukiwa na social media hapa Tanzania na ukaweka strong or big story watembeleaji wa mtandao wako watakuwa wawili kwa siku.

Kitu kingine hizo story za UMBEA ndizo zinampa pesa kijana kila mnapofungua hiyo site yake.

KIKUBWA.
Jifunze hapa hapa JF angalia post na viewers wanaofungua, kukomenti, kusoma na wale wanaoreply.
Jibu hili hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kuna kitu ambacho kinanikera kwenye hzi website zetu za habari siku hzi ni kuwa directed to you tube
 
Kaza buti millard ayo , fanya kazi , wenye wivu wako kazini.
 
Wabongo tunacomplicate maisha sana ...habari zote muhimu zinazotokea ndani na nje ya inchi still anaziripoti tena ontime...kupost jokes kwa vipost viwili vitatu tena mtu anamind...kama humpend huyo likwid sijui vumilia tu siku mbili tatu atapita..kwa sababu hana cha kumfanya aendelee kutrend kwa mwaka mzima...wakina Dr shika na hamorapa nao walipita pia ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabongo tunacomplicate maisha sana ...habari zote muhimu zinazotokea ndani na nje ya inchi still anaziripoti tena ontime...kupost jokes kwa vipost viwili vitatu tena mtu anamind...kama humpend huyo likwid sijui vumilia tu siku mbili tatu atapita..kwa sababu hana cha kumfanya aendelee kutrend kwa mwaka mzima...wakina Dr shika na hamorapa nao walipita pia ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Ofcoz sema jamaaa huyu nae ni mlevi lakini hapati airtime kama piere[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Roho inamuuma sanaaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa ameshakua Star "Piere",haya yote yametokana na ugumu wa maisha ya mtanzania,now watu wanahangaika kutafuta vitu vya kuwatoa stress,thus why mtu kama Piere na wengineo wamepata fursa,katika kipindi hiki vituko vyao ni muhimu kuliko speach za Jiwe...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Milard Ayo amekuja vizuri sana kwenye tasnia ya habari amekua kioo kwa baadhi ya vijana wanaotaka kuanzisha chombo kama cha kwake.
Huyu dogo amekuwa kero sana hasa kwa mambo yasio na faida kwa taifa. Anatoa kiki ambazo ni hasara kwa jamii badala ya issues za maana.
Mifano ipo mingi siwezi kutaja yote ila kwa sasa ni hili la Mlevi wa taifa Pierre mzee wa Liquid huyu mlevi sijui ana maana gani mpaka apostiwe kwenye vyombo vya habari. Unapomkuza huyu mlevi unafundisha nin wanaokufatilia? Mtu anapata faida gani kujua alipo mlevi huyu? Amefamya jambo gani la kuelimisha jamii mpaka umpe kiki? Au kaacha ulevi?
View attachment 1056728
Kwa ujinga huu tusije kulaumu vijana kuiga au kuwa kama Pierre.
Ana vituko gani vya kuiga? Watu wanamtazama wanachukua nini toka kwake?, Milard Ayo badilika ushakua na brand kubwa sio mtu wa kupost ujinga tena.
Mkuu ukumbuke pia kazi za illuminati ni kuwezesha mambo ya kijinga kuwa promoted.
Ushawahi kufikiri who is behind Millard Ayo hadi ateuliwe kwenda kozi fupi na kugharamiwa kila kitu.
Mafanikio na umaarufu huja kwa kuwezeshwa na elites.
Yesu aliambiwa na shetani kuwa akimtumikia atapewa fahari zote za dunia.
Na wewe mtumikie shetani upate raha za dunia, sio kulaumu tu na kumuonea wifu Piere Gumbo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sinajinasasa hapo umenikumbusha kitu, ni kweli kwa sasa shetani kawashika watu kila kona..... Tusishangae miaka ya baadae kuona walevi wakinywa bia hata ndani ya ofisi za kuheshimika
 
Mkuu ukumbuke pia kazi za illuminati ni kuwezesha mambo ya kijinga kuwa promoted.
Ushawahi kufikiri who is behind Millard Ayo hadi ateuliwe kwenda kozi fupi na kugharamiwa kila kitu.
Mafanikio na umaarufu huja kwa kuwezeshwa na elites.
Yesu aliambiwa na shetani kuwa akimtumikia atapewa fahari zote za dunia.
Na wewe mtumikie shetani upate raha za dunia, sio kulaumu tu na kumuonea wifu Piere Gumbo

Sent using Jamii Forums mobile app
Usikomaze Sana ubongo katika hadithi za kufikirika utajitu chizi na kilichokuchizisha hukijui.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha mbona hamkulalamika Dr.SHIKA alipo rushwa? Mlifurahia sana mzee wa 900 itapendeza.
 
Back
Top Bottom