Milard Ayo unakera sasa kwa kiki za kijinga

Milard Ayo unakera sasa kwa kiki za kijinga

Mojawapo ya post zinazopendwa na watanzania ni post unazosema "za kijinga"

Ukiwa na social media hapa Tanzania na ukaweka strong or big story watembeleaji wa mtandao wako watakuwa wawili kwa siku.

Kitu kingine hizo story za UMBEA ndizo zinampa pesa kijana kila mnapofungua hiyo site yake.

KIKUBWA.
Jifunze hapa hapa JF angalia post na viewers wanaofungua, kukomenti, kusoma na wale wanaoreply.
Watanzania wanapenda maujinga
 
Wabongo tunacomplicate maisha sana ...habari zote muhimu zinazotokea ndani na nje ya inchi still anaziripoti tena ontime...kupost jokes kwa vipost viwili vitatu tena mtu anamind...kama humpend huyo likwid sijui vumilia tu siku mbili tatu atapita..kwa sababu hana cha kumfanya aendelee kutrend kwa mwaka mzima...wakina Dr shika na hamorapa nao walipita pia ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Jokes au ujinga? Hakuna asiependa utani na vituko lakini viwe na maana hata ukivipa promo sio mbaya... Sasa mtoto anajifunza nn toka kwa huyo mlevi!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeshindwa kujifunza hata kupitia Jf kuona ni jinsi gani wabongo tunapenda vitu visivyokuwa serious??
 
Mtoa mada upo sahihi kabisaaaaaaa
Media Tz wanaenzi sana upuuzi kama huu
Wanashabikia umalaya (amber, sijui gig nini sijui akina fey ni), ulevi etc
Wanaacha kuzungumzia faida ya elimu kilimo kujituma ujasiliamali ubunifu wa vitu etc wanaishia kuwapa promo wapuuzi kama hawa.
Millard Ayo usije ukawa na wewe kama magazeti ya udaku
Media ziiikuuuza sana issue ya malaya wale amber wakaikuza sana ya fey sijui irene.....
 
Milard Ayo amekuja vizuri sana kwenye tasnia ya habari amekua kioo kwa baadhi ya vijana wanaotaka kuanzisha chombo kama cha kwake.
Huyu dogo amekuwa kero sana hasa kwa mambo yasio na faida kwa taifa. Anatoa kiki ambazo ni hasara kwa jamii badala ya issues za maana.
Mifano ipo mingi siwezi kutaja yote ila kwa sasa ni hili la Mlevi wa taifa Pierre mzee wa Liquid huyu mlevi sijui ana maana gani mpaka apostiwe kwenye vyombo vya habari. Unapomkuza huyu mlevi unafundisha nin wanaokufatilia? Mtu anapata faida gani kujua alipo mlevi huyu? Amefamya jambo gani la kuelimisha jamii mpaka umpe kiki? Au kaacha ulevi?
View attachment 1056728
Kwa ujinga huu tusije kulaumu vijana kuiga au kuwa kama Pierre.
Ana vituko gani vya kuiga? Watu wanamtazama wanachukua nini toka kwake?, Milard Ayo badilika ushakua na brand kubwa sio mtu wa kupost ujinga tena.
Hapo hata mimi simuungi mkono Milad ila na wew mbona umwmpost humu.
 
Shule ulikimbia umande sasa unataka millard akuelimishe sa hv, unamlipa ada? Iyoooooooooooooo imepaaaaaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Asee ww akili yako imeganda kabisa sidhani kama una cha maana unachowaza zaidi ya kutaka kukua bwana mpya wa wema!!! Utafaidika na nin ukijua huo ujinga?
Ulivyo na akili ndogo unatamani media zote ziwe na udaku??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mojawapo ya post zinazopendwa na watanzania ni post unazosema "za kijinga"

Ukiwa na social media hapa Tanzania na ukaweka strong or big story watembeleaji wa mtandao wako watakuwa wawili kwa siku.

Kitu kingine hizo story za UMBEA ndizo zinampa pesa kijana kila mnapofungua hiyo site yake.

KIKUBWA.
Jifunze hapa hapa JF angalia post na viewers wanaofungua, kukomenti, kusoma na wale wanaoreply.
Jaman huyu Pierre sijui nani anahojw had na BBC kwayo mwacheni milad maana ndo kaz yenyewe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Milard Ayo amekuja vizuri sana kwenye tasnia ya habari amekua kioo kwa baadhi ya vijana wanaotaka kuanzisha chombo kama cha kwake.
Huyu dogo amekuwa kero sana hasa kwa mambo yasio na faida kwa taifa. Anatoa kiki ambazo ni hasara kwa jamii badala ya issues za maana.
Mifano ipo mingi siwezi kutaja yote ila kwa sasa ni hili la Mlevi wa taifa Pierre mzee wa Liquid huyu mlevi sijui ana maana gani mpaka apostiwe kwenye vyombo vya habari. Unapomkuza huyu mlevi unafundisha nin wanaokufatilia? Mtu anapata faida gani kujua alipo mlevi huyu? Amefamya jambo gani la kuelimisha jamii mpaka umpe kiki? Au kaacha ulevi?
View attachment 1056728
Kwa ujinga huu tusije kulaumu vijana kuiga au kuwa kama Pierre.
Ana vituko gani vya kuiga? Watu wanamtazama wanachukua nini toka kwake?, Milard Ayo badilika ushakua na brand kubwa sio mtu wa kupost ujinga tena.
...Ukiona inakuuma vaa nguo uondoke..

Hivi unataka kila saa awe anapost mihabari ya serious tu. Lazima akave kila eneo. Wakati banakuza wigo wewe inakuyoa povu.
 
Unataka awe anapost habari kuhusu madini ya uranium ndio umuone yupo serious?

Au awe anapost habari " waziri mkuu afungua zahanati ya wazazi kisiwani ukerewe" unapotoka wewe ?

Acha ushamba
 
Unataka awe anapost habari kuhusu madini ya uranium ndio umuone yupo serious?

Au awe anapost habari " waziri mkuu afungua zahanati ya wazazi kisiwani ukerewe" unapotoka wewe ?

Acha ushamba
Hata kama sio serious ila ziwe na maana.... Kupost mlevi kunywa pombe hazarani kuna maana gani?

Sent using smatskills group on telegram
 
Juz kati hapa kapost 'hatimaye nyumbu wahama serengeti'yaan ss iv ki ukwel kakosa creativity hana weledi kabxa
 
Milard Ayo amekuja vizuri sana kwenye tasnia ya habari amekua kioo kwa baadhi ya vijana wanaotaka kuanzisha chombo kama cha kwake.
Huyu dogo amekuwa kero sana hasa kwa mambo yasio na faida kwa taifa. Anatoa kiki ambazo ni hasara kwa jamii badala ya issues za maana.
Mifano ipo mingi siwezi kutaja yote ila kwa sasa ni hili la Mlevi wa taifa Pierre mzee wa Liquid huyu mlevi sijui ana maana gani mpaka apostiwe kwenye vyombo vya habari. Unapomkuza huyu mlevi unafundisha nin wanaokufatilia? Mtu anapata faida gani kujua alipo mlevi huyu? Amefamya jambo gani la kuelimisha jamii mpaka umpe kiki? Au kaacha ulevi?
View attachment 1056728
Kwa ujinga huu tusije kulaumu vijana kuiga au kuwa kama Pierre.
Ana vituko gani vya kuiga? Watu wanamtazama wanachukua nini toka kwake?, Milard Ayo badilika ushakua na brand kubwa sio mtu wa kupost ujinga tena.
Acha Wivu Ya Kijinga Jamaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom