Sahihi kabisa, some years back mhariri mmoja aliniambia the leading newspaper Kwa uzalishaji na mauzo nchini ilikuwa Gazeti la udaku la Ijumaa.Mojawapo ya post zinazopendwa na watanzania ni post unazosema "za kijinga"
Ukiwa na social media hapa Tanzania na ukaweka strong or big story watembeleaji wa mtandao wako watakuwa wawili kwa siku.
Kitu kingine hizo story za UMBEA ndizo zinampa pesa kijana kila mnapofungua hiyo site yake.
KIKUBWA.
Jifunze hapa hapa JF angalia post na viewers wanaofungua, kukomenti, kusoma na wale wanaoreply.
Jibu hili hapaMojawapo ya post zinazopendwa na watanzania ni post unazosema "za kijinga"
Ukiwa na social media hapa Tanzania na ukaweka strong or big story watembeleaji wa mtandao wako watakuwa wawili kwa siku.
Kitu kingine hizo story za UMBEA ndizo zinampa pesa kijana kila mnapofungua hiyo site yake.
KIKUBWA.
Jifunze hapa hapa JF angalia post na viewers wanaofungua, kukomenti, kusoma na wale wanaoreply.
NakaziaHaha sasa unataka mda wote aweke serious news?kuna mda wa kurefresh mind bana mbona most ya habari zake ni za kuelimisha?acha wenge na chuki za kimaskini..by the way millard anapiga pesa sana kwenye hzo habari zinazosema za kijinga ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ofcoz sema jamaaa huyu nae ni mlevi lakini hapati airtime kama piere[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Roho inamuuma sanaaa...Wabongo tunacomplicate maisha sana ...habari zote muhimu zinazotokea ndani na nje ya inchi still anaziripoti tena ontime...kupost jokes kwa vipost viwili vitatu tena mtu anamind...kama humpend huyo likwid sijui vumilia tu siku mbili tatu atapita..kwa sababu hana cha kumfanya aendelee kutrend kwa mwaka mzima...wakina Dr shika na hamorapa nao walipita pia ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Milard anaongoza kuwa na subscribers wengi youtube hapa EA kwa upande wa Media sa ana shida gani na hao wapenda ujinga?
Mkuu ukumbuke pia kazi za illuminati ni kuwezesha mambo ya kijinga kuwa promoted.Milard Ayo amekuja vizuri sana kwenye tasnia ya habari amekua kioo kwa baadhi ya vijana wanaotaka kuanzisha chombo kama cha kwake.
Huyu dogo amekuwa kero sana hasa kwa mambo yasio na faida kwa taifa. Anatoa kiki ambazo ni hasara kwa jamii badala ya issues za maana.
Mifano ipo mingi siwezi kutaja yote ila kwa sasa ni hili la Mlevi wa taifa Pierre mzee wa Liquid huyu mlevi sijui ana maana gani mpaka apostiwe kwenye vyombo vya habari. Unapomkuza huyu mlevi unafundisha nin wanaokufatilia? Mtu anapata faida gani kujua alipo mlevi huyu? Amefamya jambo gani la kuelimisha jamii mpaka umpe kiki? Au kaacha ulevi?
View attachment 1056728
Kwa ujinga huu tusije kulaumu vijana kuiga au kuwa kama Pierre.
Ana vituko gani vya kuiga? Watu wanamtazama wanachukua nini toka kwake?, Milard Ayo badilika ushakua na brand kubwa sio mtu wa kupost ujinga tena.
Usikomaze Sana ubongo katika hadithi za kufikirika utajitu chizi na kilichokuchizisha hukijui.Mkuu ukumbuke pia kazi za illuminati ni kuwezesha mambo ya kijinga kuwa promoted.
Ushawahi kufikiri who is behind Millard Ayo hadi ateuliwe kwenda kozi fupi na kugharamiwa kila kitu.
Mafanikio na umaarufu huja kwa kuwezeshwa na elites.
Yesu aliambiwa na shetani kuwa akimtumikia atapewa fahari zote za dunia.
Na wewe mtumikie shetani upate raha za dunia, sio kulaumu tu na kumuonea wifu Piere Gumbo
Sent using Jamii Forums mobile app