Watanzania wanapenda maujingaMojawapo ya post zinazopendwa na watanzania ni post unazosema "za kijinga"
Ukiwa na social media hapa Tanzania na ukaweka strong or big story watembeleaji wa mtandao wako watakuwa wawili kwa siku.
Kitu kingine hizo story za UMBEA ndizo zinampa pesa kijana kila mnapofungua hiyo site yake.
KIKUBWA.
Jifunze hapa hapa JF angalia post na viewers wanaofungua, kukomenti, kusoma na wale wanaoreply.
Jokes au ujinga? Hakuna asiependa utani na vituko lakini viwe na maana hata ukivipa promo sio mbaya... Sasa mtoto anajifunza nn toka kwa huyo mlevi!?Wabongo tunacomplicate maisha sana ...habari zote muhimu zinazotokea ndani na nje ya inchi still anaziripoti tena ontime...kupost jokes kwa vipost viwili vitatu tena mtu anamind...kama humpend huyo likwid sijui vumilia tu siku mbili tatu atapita..kwa sababu hana cha kumfanya aendelee kutrend kwa mwaka mzima...wakina Dr shika na hamorapa nao walipita pia ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Shule ulikimbia umande sasa unataka millard akuelimishe sa hv, unamlipa ada? Iyoooooooooooooo imepaaaaaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo hata mimi simuungi mkono Milad ila na wew mbona umwmpost humu.Milard Ayo amekuja vizuri sana kwenye tasnia ya habari amekua kioo kwa baadhi ya vijana wanaotaka kuanzisha chombo kama cha kwake.
Huyu dogo amekuwa kero sana hasa kwa mambo yasio na faida kwa taifa. Anatoa kiki ambazo ni hasara kwa jamii badala ya issues za maana.
Mifano ipo mingi siwezi kutaja yote ila kwa sasa ni hili la Mlevi wa taifa Pierre mzee wa Liquid huyu mlevi sijui ana maana gani mpaka apostiwe kwenye vyombo vya habari. Unapomkuza huyu mlevi unafundisha nin wanaokufatilia? Mtu anapata faida gani kujua alipo mlevi huyu? Amefamya jambo gani la kuelimisha jamii mpaka umpe kiki? Au kaacha ulevi?
View attachment 1056728
Kwa ujinga huu tusije kulaumu vijana kuiga au kuwa kama Pierre.
Ana vituko gani vya kuiga? Watu wanamtazama wanachukua nini toka kwake?, Milard Ayo badilika ushakua na brand kubwa sio mtu wa kupost ujinga tena.
Asee ww akili yako imeganda kabisa sidhani kama una cha maana unachowaza zaidi ya kutaka kukua bwana mpya wa wema!!! Utafaidika na nin ukijua huo ujinga?Shule ulikimbia umande sasa unataka millard akuelimishe sa hv, unamlipa ada? Iyoooooooooooooo imepaaaaaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaman huyu Pierre sijui nani anahojw had na BBC kwayo mwacheni milad maana ndo kaz yenyewe!Mojawapo ya post zinazopendwa na watanzania ni post unazosema "za kijinga"
Ukiwa na social media hapa Tanzania na ukaweka strong or big story watembeleaji wa mtandao wako watakuwa wawili kwa siku.
Kitu kingine hizo story za UMBEA ndizo zinampa pesa kijana kila mnapofungua hiyo site yake.
KIKUBWA.
Jifunze hapa hapa JF angalia post na viewers wanaofungua, kukomenti, kusoma na wale wanaoreply.
Asee ww akili yako imeganda kabisa sidhani kama una cha maana unachowaza zaidi ya kutaka kukua bwana mpya wa wema!!! Utafaidika na nin ukijua huo ujinga?
Ulivyo na akili ndogo unatamani media zote ziwe na udaku??
Sent using Jamii Forums mobile app
...Ukiona inakuuma vaa nguo uondoke..Milard Ayo amekuja vizuri sana kwenye tasnia ya habari amekua kioo kwa baadhi ya vijana wanaotaka kuanzisha chombo kama cha kwake.
Huyu dogo amekuwa kero sana hasa kwa mambo yasio na faida kwa taifa. Anatoa kiki ambazo ni hasara kwa jamii badala ya issues za maana.
Mifano ipo mingi siwezi kutaja yote ila kwa sasa ni hili la Mlevi wa taifa Pierre mzee wa Liquid huyu mlevi sijui ana maana gani mpaka apostiwe kwenye vyombo vya habari. Unapomkuza huyu mlevi unafundisha nin wanaokufatilia? Mtu anapata faida gani kujua alipo mlevi huyu? Amefamya jambo gani la kuelimisha jamii mpaka umpe kiki? Au kaacha ulevi?
View attachment 1056728
Kwa ujinga huu tusije kulaumu vijana kuiga au kuwa kama Pierre.
Ana vituko gani vya kuiga? Watu wanamtazama wanachukua nini toka kwake?, Milard Ayo badilika ushakua na brand kubwa sio mtu wa kupost ujinga tena.
Hata kama sio serious ila ziwe na maana.... Kupost mlevi kunywa pombe hazarani kuna maana gani?Unataka awe anapost habari kuhusu madini ya uranium ndio umuone yupo serious?
Au awe anapost habari " waziri mkuu afungua zahanati ya wazazi kisiwani ukerewe" unapotoka wewe ?
Acha ushamba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12][emoji16][emoji16]Juz kati hapa kapost 'hatimaye nyumbu wahama serengeti'yaan ss iv ki ukwel kakosa creativity hana weledi kabxa
Acha Wivu Ya Kijinga Jamaa!Milard Ayo amekuja vizuri sana kwenye tasnia ya habari amekua kioo kwa baadhi ya vijana wanaotaka kuanzisha chombo kama cha kwake.
Huyu dogo amekuwa kero sana hasa kwa mambo yasio na faida kwa taifa. Anatoa kiki ambazo ni hasara kwa jamii badala ya issues za maana.
Mifano ipo mingi siwezi kutaja yote ila kwa sasa ni hili la Mlevi wa taifa Pierre mzee wa Liquid huyu mlevi sijui ana maana gani mpaka apostiwe kwenye vyombo vya habari. Unapomkuza huyu mlevi unafundisha nin wanaokufatilia? Mtu anapata faida gani kujua alipo mlevi huyu? Amefamya jambo gani la kuelimisha jamii mpaka umpe kiki? Au kaacha ulevi?
View attachment 1056728
Kwa ujinga huu tusije kulaumu vijana kuiga au kuwa kama Pierre.
Ana vituko gani vya kuiga? Watu wanamtazama wanachukua nini toka kwake?, Milard Ayo badilika ushakua na brand kubwa sio mtu wa kupost ujinga tena.