Hivi nae kabebwa?Ni kama walikuwa wana mpango wa kuzizindika nyumba za huyo Milembe ndo Dayfat akatumia nafasi hiyo kupanga mauaji, mi naona kama alikuwa na kisasi cha kuua angemroga tu kimya kimya, sasa anaenda kuishia jela duh
kuzindika ni kama kutambika au? hili neno nalisikia sanaNi kama walikuwa wana mpango wa kuzizindika nyumba za huyo Milembe ndo Dayfat akatumia nafasi hiyo kupanga mauaji, mi naona kama alikuwa na kisasi cha kuua angemroga tu kimya kimya, sasa anaenda kuishia jela duh
Nilikuwa na mtazamo kwamba mabinti wa Mbeya hawana maajabu Kwa bed, ila wewe unataka kufanya nibadiri mtazamo...Kwa mfano ninapokuwa nakushika 1000 afu wewe ukasogeza mkono wangu kwenye 200 ...hapo ndo nakuwa najiongeza kuwa kumbe anapenda na hizo mbili ziminyweminywe.
🤣🤣🤣Em stafu haya Mambo bhana...utawapa kesi mabinti wa watu🤣🤭Nilikuwa na mtazamo kwamba mabinti wa Mbeya hawana maajabu Kwa bed, ila wewe unataka kufanya nibadiri mtazamo...
Naomba nilipie hela ya Tuition ili uanze kunipa darasa ili kilaza Mimi nianze kuelewa somo 😜
Kwani si utaniwahi kunipa dawa zangu za Presha pindi ikipanda katikati ya safari 😜🤣🤣🤣Em stafu haya Mambo bhana...utawapa kesi mabinti wa watu🤣🤭
🤭Kwani si utaniwahi kunipa dawa zangu za Presha pindi ikipanda katikati ya safari 😜
Wazee pia tuna moyo mjue 🤗
Ngoja tuanze kufanya mazoezi 🤸🏋️
NdiyoHivi nae kabebwa?
Niko fresh sana, vipi wewe hujamboHello,upo? Unaendeleaje mkuu?
Hivi hii story iliishaje mkuu?Ndo maana tukio lolote mtu hautakiwi kukurupuka kuliongelea bila investigation,watu uwa wanakurupuka sana kuzungumzia matukio bila investigation ata lile tukio la Tanga Bara Bara ya 4,la mama mwenye nyumba na house gal wake kuuwawa watu walikurupuka kuwa mume ndo kawauwa ila baada ya siku kadhaa wakashangaa kuukuta mwili WA jamaa kauwawa .
Ndiyo, yaani zipate wateja sana maana zilikuwa ni apartments, ila pia huenda zilikuwa zinasuasua akahisi labda zimewekewa nuksi, au pia alikuwa anataka nyumba zake wapangaji wasipatwe na mauzauza wakipanga, kati ya hayo matatu lazima moja limo. Ndo maana utaona kule juu alimuomba Dayfat amsaidie kumaliza jambo fulani ndo kushauriwa watu wa kuzindikakuzindika ni kama kutambika au? hili neno nalisikia sana
kabla ya hapo ilishindikana kumrogaNi kama walikuwa wana mpango wa kuzizindika nyumba za huyo Milembe ndo Dayfat akatumia nafasi hiyo kupanga mauaji, mi naona kama alikuwa na kisasi cha kuua angemroga tu kimya kimya, sasa anaenda kuishia jela duh
Ama don't follow follow me without because you can't me am another.PDF ina kila kitu ila imeandikwa katika ile lugha ambayo inatupiga chenga, ukizingatia Kiingereza chetu ni cha "She took my book, Tookn't she?".
Muwe mnasoma na kuelewa kilichoandikwaWakati nasoma kisa cha haya mauaji hapa JF, sababu kubwa zilizotolewa na Wakuu humu, sababu ya Dhuruma ya Fedha ama Wanaume kuwa na Wivu wa kuibiwa Wake zao na huyo Milembe ndiyo zilizotajwa
Kumbe Kisa ni huyo DayFath kuchoka kukobolewa 🙌
Itakuwa alitaka aolewe na Mwanaume ili aweze kuwa na Watoto wake, badala ya mahusiano yao ya kukoboana pasipo kuwa na uwezo wa kupeana Mimba 🙌