Milembe Alivyouawa Kwenye Pagale

Milembe Alivyouawa Kwenye Pagale

Wenyewe huamini kuwa anayefanya uhalifu ni binaadamu na moja ya sifa yake kuu ni kufanya makosa! Utaacha alama yoyote hata kama ndogo ambayo wataalamu wataifanya kuwa kubwa!

Crime Scene Investigation​

Principles of Crime Scene Investigation​


The key principle underlying crime scene investigation is a concept that has become known as Locard’s Exchange Principle. It states that:

"whenever someone enters or exits an environment, something physical is added to and removed from the scene"
.

This principle is generally summed up by stating: “Every contact leaves a trace.”


Crime Scene and DNA Basics for Forensic Analysts​



Trace Evidence: The Role in Forensic Science​

Chapter 8: Crime Scene Management​


Someni hapa walau mpate A,B,C za matukio ....
 
Professional killer huwa hawaachi chochote.

Ndio maana wanasema watu wasio julikana.
There is no such a thing like a perfect murder, ni ishu tu ya muda, ndiyo maana unaona kuna kesi zinasolviwa miaka 30 and 40 baada ya tukio.
Sometimes sio lazima mtu aache DNA kwenye tukio, mzigo unaweza kuanzia kwenye Alibi yake wakaanza kuconnect tukio na unajua hawa watu wanakuwa na MO (modus operandi) kwa hiyo inakuwa rahisi kuwatengezea profile.

Mzee ni ngumu kinoma, mbona kuna mapolisi marekani wanadakwa tu,kesi mwanzo inakuwa ngumu kwa sababu jamaa anaondoa evidence zote kwenye scene, ila kwa upande mwingine inasaidia kumtengenezea profile yake kwamba ni mtu wa namna gani kahusika kwenye tukio, either mfanyakazi ana ndugu au ana fuatilia sana mambo ya crimes.

Kisu, container au mfuko ulitumia kuzikia, simu, bidhaa (drinks, sigara au chochote kinachoweza patikana maeneo ya karibu) au watu wanaishi maeneo hayo (ukiwa mgeni utajulikana) na tabia yao perpetuator kupenda attention au kufuatilia matukio kwa ukaribu (mke au mtu wake wa karibu anaweza mchoma,unakuta mtu ananunua kila gazeti linalozingumzia case ya mauaji, kila video anatazama anapenda kuengage kwenye discusion za kesi husika).

Jana (kiufupi) nimetoka kucheki case moja ya jamaa alimuua manzi kama mchepuko baada ya kumwambia ana mimba yake miaka 30 iliyopita na akamuweka kwenye pipa akaweka na machemical kibao kwenye pipa na baada ya uchunguzi akajulikana, sema aliishia kujiua kwahiyo hawakumpeleka mahakamani.

Kitu cha kuomba ni watu wa foreinscic waichuklie serious case, ata uache mifupa kuna wale wanadeal na facial reconstruction, na kwa dunia ya sasa almost kila mtu anatumia Internet, hautoboi.
 
1.milembe na dayfath walikuwa wapenzi.
2.mapenzi Yao yalikiwa moto Moto baadae wivu ukaanza kumea
3.milembe akawa aanampiga sana dayfath...dayfath akaumia kuona king aanampiga kila mara(king ndivyo alivyomsevu milembe kwenye sim)
4.siku Moja wakapigana sana mpaka dayfath akaondoka .wakati huo mtoto WA milembe aitwaeae grace alikuwepo na aliona ugomvi huo .
5.mtoto huyu tayar Alisha jua mama yake anaishi na mwanamke mwenzake kama wapenzi..mtoto alikuwa Marian girls darasa la sita.
6.dayfath akaanza kupanga mipango ya kumuua milembe..akawasialiana na mshitakiwa WA pili ...Ili amsaidie kutafute mganga atakeyemuua milembe Kwa kutumia uchawi .njia hii ilishindikana..
7. Baadae siku Moja mshitakiwa WA pili akampigia siku dayfath na Kumwambia hii njia ya mganga imeshindikana..tunaweza kutumia njia ya mkato tu kufanya kazi hiyo..
8.dayfsth akauliza njia Gani..akasema tumuue tu..naweza kupata watu wakufanya kazi hiyo .
9.dayfsth akakubali njia hiyo maana tayari alikuwa amechoka manyanyaso..
10.yule mtoto wa milembe (grace) aliwahi Kumwambia dayfath .aachane na milembe maana kila siku wanapigana na anapigwa...dayfath akamwambia yule mtoto..nikaondoka tu lakini mpaka nifikie malengo yangu.
11. Mshitakiwa WA pili akatafuta wenzake wawili...wakapanga mauaji..mauaji yalipangiwa SENGEREMa..
12.dayfath akamwambia mshitakiwa wa pili kuwa amsubiri milembe mwanza kwani kila jumatatu Huwa anatokea mwanza kwenda geita...na hivyo aombe lift na aseme ni mganga WA kienyeji anaesaidia kuwapa zindiko wachimba madini..
13.milembe akamwelewa jamaa wakabidilishana namba...Kwa lengo jamaa ataenda kumzindikia nyumba yake(apartments)anazojenga geita..
14.mshitakiwa akawapanga wenzake wawili ..na taafira zikafika Kwa dayfath.
15.dayfath akakubaliana nao Tena kwamba kazi yote itafanyika Kwa tsh 2.6 million...
16.siku ya siku ikafika..milembe akiwa na mshitakiwa wa pili na wenzake ambao wamejifanya kuwa ni waganga WA jadi..walichukua bajaji..wakaeleke site.
17.kule site kulikuwa na mafundi ambao hawakutakiwa kujua kama nyumba zile zinaenda kufanyiwa zondiko ..
18.walipofika njian wale jamaa watatu wakashuka..mmoja alikuwa amekaa mbele ya bajaji akaomba 5000 kutoka Kwa milembe ya sigara..akapewa
19.bajaji ikaelekea site ikiwa na milembe tu akiwa na chupa ya maziwa na mazaga mengine....bajaji ikamuacha pale...
20.milembe na fundi wake wakayajenga na milembe akamwambia fundi wake mda umeisha aende tu home...fundi akatii akasema..
21. Kisha milembe akawaita Kwa simu wale jamaa(wauaaji) akawaambia waje kwani hakuna mtu mwingine Ili wafanye zindiko...
22.walipofika mara Moja wakamwambia milembe wakiwa wote ndani ya pagale lile achukue dawa apige hatua 3 Kisha aifukie chini ..milembe akapewa dawa akafanya kama alivyoagizwa..
23.akiwa pale chini anafukia gafla akakatwa na panga..alipoleta upinzani..akakatwa mkono na kiganja kutenganishwa...akakatwa shingoni...na Kisha usoni....roho ikauacha mwili..
24. Mara baada ya tukio...wauwaji wakachukua simu mbili za milembe (iphone na sumsung galaxy) kwanza wakaenda kutupa panga lililotumika si mbali sana na eneo la tukio chini ya Mti kwenye nyasi...
25 Kisha wakaenda kutupa sim zile ndani ya shimvla choo .(Chamber)
26.kisha wote wakatoweka kuelekea makwao huku malipo ya mwisho ya tsh laki nane yakifsnyika toka Kwa dayfath..
27.mtoto WA marehem yaan yule grace alipokujuja kutoka shule na kufika Kisha akaelezwa kuwa mama yake amefariki Kwa kuuwawa na baadae akafunuliwa jeneza...alilia na akazimia...
28 .alipozinduka akaenda akawaambia polis waliokuwa pale juu ya mtu anaemhisi kufanya mauaji hayo na hakupepesa macho akamtaj dayfath...na akasema alipomshauri Kwa nini asiondoke na kuachana na mama yake kwani wanapigana kila mara..dayfath akajibu akasema ataondoka mara baada ya kikamilisha mpango wake...hivyo anahisi huyu dayfath ndo kahusika....
29.polis wakaanzia hapo kufatilia nakichunguza ..watuhumiwa wakati WA mbaloni...
30..wote kwenye maelezo ya onyo walikiri kuhusika isipokuwa mshitakiwa WA nne Ambae mahakama ilikosa ushahidi WA Moja WA Moja hivyo akawa Hana kesi ya kujibu..akaachiwa...
31.ile chupa ya fanta,panga,simu zote zilionyesha ushahidi WA vinasaba kuhusika Kwa wauwaji...
32.watyhukiwa waliku4wa na hatia na kuhukumiwa kunyongea mpaka kufa.....
33.dereva bajaji alimtambua mtuhumiwa WA tatu..aliyekuwa amekaa Siti ya mbele siku wanaelekea site......


Kwa kifupi story nzima Iko hivyo.....nimesoma pdf ya hukumu Kwa mda WA saa Moja na dk tano.
Uzi ufungwe
 
There is no such a thing like a perfect murder, ni ishu tu ya muda, ndiyo maana unaona kuna kesi zinasolviwa miaka 30 and 40 baada ya tukio.
Sometimes sio lazima mtu aache DNA kwenye tukio, mzigo unaweza kuanzia kwenye Alibi yake wakaanza kuconnect tukio na unajua hawa watu wanakuwa na MO (modus operandi) kwa hiyo inakuwa rahisi kuwatengezea profile.

Mzee ni ngumu kinoma, mbona kuna mapolisi marekani wanadakwa tu,kesi mwanzo inakuwa ngumu kwa sababu jamaa anaondoa evidence zote kwenye scene, ila kwa upande mwingine inasaidia kumtengenezea profile yake kwamba ni mtu wa namna gani kahusika kwenye tukio, either mfanyakazi ana ndugu au ana fuatilia sana mambo ya crimes.

Kisu, container au mfuko ulitumia kuzikia, simu, bidhaa (drinks, sigara au chochote kinachoweza patikana maeneo ya karibu) au watu wanaishi maeneo hayo (ukiwa mgeni utajulikana) na tabia yao perpetuator kupenda attention au kufuatilia matukio kwa ukaribu (mke au mtu wake wa karibu anaweza mchoma,unakuta mtu ananunua kila gazeti linalozingumzia case ya mauaji, kila video anatazama anapenda kuengage kwenye discusion za kesi husika).

Jana (kiufupi) nimetoka kucheki case moja ya jamaa alimuua manzi kama mchepuko baada ya kumwambia ana mimba yake miaka 30 iliyopita na akamuweka kwenye pipa akaweka na machemical kibao kwenye pipa na baada ya uchunguzi akajulikana, sema aliishia kujiua kwahiyo hawakumpeleka mahakamani.

Kitu cha kuomba ni watu wa foreinscic waichuklie serious case, ata uache mifupa kuna wale wanadeal na facial reconstruction, na kwa dunia ya sasa almost kila mtu anatumia Internet, hautoboi.
Umesema vyema Mkuu.
 
Unatoa uhai kwa ujira wa laki name..
Kuna mtu juzi kafungua thread anawaambia umuhimu wa kuwa na silaha ukiwa mkoa wa mwanza maana mauaji ni dakika tu.
Mtu hata akipewa laki kamponde tofali la kichwa Fulani fasta anakuja.inasikitisha
 
Yeah, Mussa kusikia aliyoyafanya sirini , yanaropokwa hovyo mtaani,..alianua kama ngiri mkia juu V16 TURBO CHARGER,..🐗🐗🐗.huku wana wa Israel wakimsindikiza goma la
"kasongo yeye, mobali na ngai,........

*****, chezea damu ya MTU, alijisahau hadi kuwa yeye ni PRINCE,...🏃🏃
Muongo wewe 😂😂 Nimecheka aseee!
 
Jamani mbona kafupi hivi, natamani kusikia story ya Milembe,

Kiukweli, sasa hv ili uishi vzr lazima umpate msiri wako ambae mtaishi vzr na asiye msaliti kama Dayfath. Nimechukia sana alivyofanya Dayfath kumsaliti mwenzake kwa kweli, Mimi nimelelewa na Mtu alitarakiana na mkewe kwa kweli heshima kwake wala sikupata shida wakati niko chuo, amenisaidia sanaa. Na sasa tunawasiliana sana na mimi ni rafiki yake mkubwa ingawa kwa sasa niko mkoa tofauti ila natanbua mchango wake kwa kweli.
huyo wako alikua anakusaga? pls be open usifiche fiche mambo maana umejielezea vizur sana ila unaficha, je wewe ni msagwaji au msagaji?
 
Kivuli cha Giza la Milembe

HAKUKUWA na njia rahisi kuelekea majibu dhidi ya wauaji wa Milembe. Kila hatua ya uchunguzi ilionekana kama kuanguka gizani, na kila kipande cha ushahidi kilionekana kuwa na uzito wa siri.

Polisi walijua kuwa mauaji haya hayakuwa ya bahati mbaya; ilikuwa ni mipango ya kishetani iliyotayarishwa kwa usahihi.

Uchunguzi wa alama za vidole kwenye chupa ya Fanta ulielekeza moja kwa moja kwa Genja. Alikuwa ameacha alama zake, lakini alikuwa na mbinu za kutoroka.

Polisi walijua walikuwa katika mbio za muda—kila sekunde ilionekana kuwa muhimu. Alipofahamu kuwa majina yao yanatafutwa, Genja alijificha kwenye kivuli, akipanga hatua yake ya kuficha ushahidi.

Picha za CCTV za California Lodge zilionyesha picha za kutisha. Milembe aliingia akitabasamu, lakini alionekana kuwa na wasiwasi.

Walinzi walikuwa na wasiwasi, lakini hawakuwa tayari kutoa taarifa. Mtu mmoja aligundua kuwa kuna kitu kisichokuwa sawa, lakini alishindwa kuzungumza kabla ya kutoweka gizani.

Hali iliongezeka kuwa mbaya kadri polisi walipokutana na vikwazo vya kuzungumza.

Uchunguzi wa kidigitali na wa DNA ulileta mwangaza. Damu iliyopatikana kwenye upanga, iliyoachwa nyuma kama ishara ya kutisha, ilithibitishwa kuwa ya Milembe.

Siku zilizofuata, polisi walikamata watuhumiwa, lakini kila mmoja alikuja na hadithi tofauti za kutaka kujinasua.

Walijua walikuwa na jambo moja la pamoja: walihusika kwa namna moja au nyingine katika mpango wa kumuua Milembe.

Genja aliongoza polisi hadi kwenye choo cha shimo, ambapo simu za Milembe zilipatikana, zikiwa zimetupwa ndani. Simu hizo zilikuwa na majina, picha, na jumbe za mtego wa mauaji.

Siri za giza za Milembe, Dayfath, na wenzake zilibainika mbele ya sheria, lakini ukweli ulikuwa wazi kama mchana. Kwa muda mrefu, wakiwa katika kivuli cha chuki, walikumbatia nyuso zao za uongo.

Na hatimaye, wakati wa mwisho ulifika—kuhukumiwa kwa wale waliopanga na kutekeleza mauaji hayo ya kikatili.

Hatimaye, wote wanne walikamatwa—Dayfath, Safari, Genja, na Mussa. Wakiwa mahakamani, kila mmoja alikana kuhusika.

Lakini mashahidi wa siri walikua na ushahidi wa kutisha. Kila alama ya vidole, kila shati lililotupiwa kwenye mahakama, lilionyesha dhahiri kuwa walikuwa na hatia. Sauti ya ushahidi ilikuwa ikipanda, huku ukumbi wa mahakama ukishindwa kuficha hamu ya kujua ukweli.

Hatima ya Siku za Giza
Kesi ilipokamilika, siri za giza za uhusiano wa kimapenzi kati ya Milembe na Dayfath zilifichuliwa hadharani.

Upendo uligeuka kuwa wivu, na wivu uliozaa kisasi, hatimaye ulileta kifo kibaya kwa Milembe. Alijua kuwa hatari ilikuwa karibu, lakini ilikuwa tayari imechelewa.

Kila mtu alijua, lakini hakuna aliyekuwa tayari kusema. Kila mtu alikuwa na woga wa kumwambia ukweli—ni nani angeweza kuishi kwa kutambua kwamba walihusika katika mauaji?

Dayfath, aliyejaribu kudhibiti uhusiano kwa nguvu, sasa alikuwa amefungwa katika mnyororo wa sheria. Alijua, kwa siri, kuwa hakukuwa na kuondoka kwake.

Kwa siku nyingi, mambo yalionekana kuwa siri, lakini sasa ukweli wote ulikuwa wazi kama mchana. Hakuna aliyeweza kukwepa. Dayfath, Genja, Mussa, na Safari walifungwa kwa mikono ya sheria, wakikumbuka kila hatua ya njama yao.

Wakati hukumu ilipotangazwa, joto la hadhira lilionekana. Nyuso za watu zilikuwa zimeshika pumzi, kila mmoja akijaribu kuelewa hatima ya wahusika.

Na huku ukimya wa usiku ukiendelea kupenya, hadithi ya Milembe na Dayfath ilikamilika—kwa damu, kisasi, na hatimaye haki. Watuhumiwa Dayfath, Genja, na Safari walihukumiwa kunyongwa.

Tuishie hapa. Labda, nitarejea tena kwa tukio la kifo cha aliyekuwa mwigizaji nyota nchini, marehemu Steven Kanumba.

Ova
 
Kivuli cha Giza la Milembe

HAKUKUWA na njia rahisi kuelekea majibu dhidi ya wauaji wa Milembe. Kila hatua ya uchunguzi ilionekana kama kuanguka gizani, na kila kipande cha ushahidi kilionekana kuwa na uzito wa siri.

Polisi walijua kuwa mauaji haya hayakuwa ya bahati mbaya; ilikuwa ni mipango ya kishetani iliyotayarishwa kwa usahihi.

Uchunguzi wa alama za vidole kwenye chupa ya Fanta ulielekeza moja kwa moja kwa Genja. Alikuwa ameacha alama zake, lakini alikuwa na mbinu za kutoroka.

Polisi walijua walikuwa katika mbio za muda—kila sekunde ilionekana kuwa muhimu. Alipofahamu kuwa majina yao yanatafutwa, Genja alijificha kwenye kivuli, akipanga hatua yake ya kuficha ushahidi.

Picha za CCTV za California Lodge zilionyesha picha za kutisha. Milembe aliingia akitabasamu, lakini alionekana kuwa na wasiwasi.

Walinzi walikuwa na wasiwasi, lakini hawakuwa tayari kutoa taarifa. Mtu mmoja aligundua kuwa kuna kitu kisichokuwa sawa, lakini alishindwa kuzungumza kabla ya kutoweka gizani.

Hali iliongezeka kuwa mbaya kadri polisi walipokutana na vikwazo vya kuzungumza.

Uchunguzi wa kidigitali na wa DNA ulileta mwangaza. Damu iliyopatikana kwenye upanga, iliyoachwa nyuma kama ishara ya kutisha, ilithibitishwa kuwa ya Milembe.

Siku zilizofuata, polisi walikamata watuhumiwa, lakini kila mmoja alikuja na hadithi tofauti za kutaka kujinasua.

Walijua walikuwa na jambo moja la pamoja: walihusika kwa namna moja au nyingine katika mpango wa kumuua Milembe.

Genja aliongoza polisi hadi kwenye choo cha shimo, ambapo simu za Milembe zilipatikana, zikiwa zimetupwa ndani. Simu hizo zilikuwa na majina, picha, na jumbe za mtego wa mauaji.

Siri za giza za Milembe, Dayfath, na wenzake zilibainika mbele ya sheria, lakini ukweli ulikuwa wazi kama mchana. Kwa muda mrefu, wakiwa katika kivuli cha chuki, walikumbatia nyuso zao za uongo.

Na hatimaye, wakati wa mwisho ulifika—kuhukumiwa kwa wale waliopanga na kutekeleza mauaji hayo ya kikatili.

Hatimaye, wote wanne walikamatwa—Dayfath, Safari, Genja, na Mussa. Wakiwa mahakamani, kila mmoja alikana kuhusika.

Lakini mashahidi wa siri walikua na ushahidi wa kutisha. Kila alama ya vidole, kila shati lililotupiwa kwenye mahakama, lilionyesha dhahiri kuwa walikuwa na hatia. Sauti ya ushahidi ilikuwa ikipanda, huku ukumbi wa mahakama ukishindwa kuficha hamu ya kujua ukweli.

Hatima ya Siku za Giza
Kesi ilipokamilika, siri za giza za uhusiano wa kimapenzi kati ya Milembe na Dayfath zilifichuliwa hadharani.

Upendo uligeuka kuwa wivu, na wivu uliozaa kisasi, hatimaye ulileta kifo kibaya kwa Milembe. Alijua kuwa hatari ilikuwa karibu, lakini ilikuwa tayari imechelewa.

Kila mtu alijua, lakini hakuna aliyekuwa tayari kusema. Kila mtu alikuwa na woga wa kumwambia ukweli—ni nani angeweza kuishi kwa kutambua kwamba walihusika katika mauaji?

Dayfath, aliyejaribu kudhibiti uhusiano kwa nguvu, sasa alikuwa amefungwa katika mnyororo wa sheria. Alijua, kwa siri, kuwa hakukuwa na kuondoka kwake.

Kwa siku nyingi, mambo yalionekana kuwa siri, lakini sasa ukweli wote ulikuwa wazi kama mchana. Hakuna aliyeweza kukwepa. Dayfath, Genja, Mussa, na Safari walifungwa kwa mikono ya sheria, wakikumbuka kila hatua ya njama yao.

Wakati hukumu ilipotangazwa, joto la hadhira lilionekana. Nyuso za watu zilikuwa zimeshika pumzi, kila mmoja akijaribu kuelewa hatima ya wahusika.

Na huku ukimya wa usiku ukiendelea kupenya, hadithi ya Milembe na Dayfath ilikamilika—kwa damu, kisasi, na hatimaye haki. Watuhumiwa Dayfath, Genja, na Safari walihukumiwa kunyongwa.

Tuishie hapa. Labda, nitarejea tena kwa tukio la kifo cha aliyekuwa mwigizaji nyota nchini, marehemu Steven Kanumba.

Ova
Shukrani b... Haya, tuisubiri hiyo siku utakayoshushiwa neema ya kutuandikia yaliyojiri kwenye kifo cha Kanumba.
Natamani kufahamu kiundani, najua utaandika ambayo hatujawahi kuyasikia.
 
Back
Top Bottom