white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Nyingi sana!! Mkuu labda kama pia itatumika kwenye ukarabati wa eneoMilion 10 inatosha kuanzisha biashara ya Baa? Uzuri wa biashara hii unaweza fanya popote budget yangu ni mil 10 ambayo itajumuisha TV 3, friji, viti, meza, jiko, wafanyakazi 3 wa kuanzia, mziki mkubwa (sijui bei yake) ingependeza kama kuna watu wanafanya biashara waje watoe uzoefu wao.
Nani kaomba ushauri? Uzi wangu unauliza swali badala ya kujibu unanilisha maneno yako kwasababu tu nimezungumzia heavy duty music mbona pia nilitaka kujua bei ya music size ya kati yaani both alafu niamue. Reasoning capacity yako haipo sawa!Samahani, unaonekana una kiburi na dharau na unapenda kubishana na hutaki ushauri!...
Faida ya hivi ni kiduchuMimi nnaona fanya kaz ya kuuza vinywaji vikal,Beer na Soda kwa Jumla.
Ukipenda njoo nkupe Tips zaid
kuliko kunishusha ni bora ukatoa ushauri kulingana na matakwa yangu, ulipaswa kusema ongeza mil 5 au 10 ingine au fanya ivi na vile ili utimize lengo ivyo ulivyosema ni bora niache na kuacha siwezi vile nimeamua mpango utimie.ni
Hela yako ndogo,,,,achana na wazo la bar kwa hela hio,,,naongea kwa uzoefu mkubwa, unashauriwa unashupaza shingo,,, walau uwe na 50m+ walau ufungue chimbo la kueleweka,,,kwa hela yako hio jikite kwenye kigrocery tu ,,,,kuliko kunishusha ni bora ukatoa ushauri kulingana na matakwa yangu, ulipaswa kusema ongeza mil 5 au 10 ingine au fanya ivi na vile ili utimize lengo ivyo ulivyosema ni bora niache na kuacha siwezi vile nimeamua mpango utimie.
Ukiwa na mzunguko mkubwa Faida inakua kubwa.Faida ya hivi ni kiduchu
Narudia tena sijaomba ushauri, nimeuliza swali hukupaswa kuniambia niachane na biashara hiyo! ulitakiwa ujibu swali kwa kusema ongeza pesa.Hela yako ndogo,,,,achana na wazo la bar kwa hela hio,,,naongea kwa uzoefu mkubwa, unashauriwa unashupaza shingo,,, walau uwe na 50m+ walau ufungue chimbo la kueleweka,,,kwa hela yako hio jikite kwenye kigrocery tu ,,,,
Toa muongozo kwanini grocery na sio b
Upo sahihi mkuu kitalembwa naona wengi humu waliomshauri hawana uzoefu kabisa na hii biashara kiundani. Tukija kwenye uhalisia milioni 10 ni ndogo sana kufungua bar labda kama atafungua grocery au pub uchwara tu, nakumbuka kuna kipindi nimemaliza chuo 2018 nilifanikiwa kupata mtaji wa mil 6 nikafungua kipub ambacho kilikuw cha kawida tu huko mkoani lakin running cost zake zilikuwa sio mchezo kuanzia kodi ya eneo, bill za umeme,kufanya maboresho ya mara kwa mara ili kuendana na wakati, kuwalipa wahudumu, tra n.k. Kwa hyo wanaosema 10ml inatosha kwa upande wangu nawashangaa sana labda km atafungua nanjilinji huko lakini sio Dar.Hela yako ndogo,,,,achana na wazo la bar kwa hela hio,,,naongea kwa uzoefu mkubwa, unashauriwa unashupaza shingo,,, walau uwe na 50m+ walau ufungue chimbo la kueleweka,,,kwa hela yako hio jikite kwenye kigrocery tu ,,,,
Punguza ujuaji mzee, acha kukariri vituSasa kama hujawahi fanya huo utafiti, au huna experience ya hiyo biashara, kwanini unatoa ushauri?
Mkuu acha ubishi hapa watu wanakupa uhalisia wa mambo kwa vile umesema haujawahi kuifanya hii biashara. Kiufupi hela yako bado haitoshi kwa bar iliyokamilika, mfano umezungumzia mziki heavy duty hiv unaijua bei ya huo mziki??? Yaani(mixer njia tatu, speaker2, amplifier, booster na waya zake ongeza na laptop ya dj)Narudia tena sijaomba ushauri, nimeuliza swali hukupaswa kuniambia niachane na biashara hiyo! ulitakiwa ujibu swali kwa kusema ongeza pesa.
Yeye ana 10m onlyUkiwa na mzunguko mkubwa Faida inakua kubwa.
Toa muongozo kwanini grocery na sio bar.
Mkuu wameamua kuongea ili muda uende. Huwaambii kitu maana wao wapo hapa kufurahishana.Mkuu acha ubishi hapa watu wanakupa uhalisia wa mambo kwa vile umesema haujawahi kuifanya hii biashara. Kiufupi hela yako bado haitoshi kwa bar iliyokamilika, mfano umezungumzia mziki heavy duty hiv unaijua bei ya huo mziki??? Yaani(mixer njia tatu, speaker2, amplifier, booster na waya zake ongeza na laptop ya dj)
Basi nenda kaulize hata kariokoo, kwa milion 3 unapata speker Tu, tena fidek Na wala sio candy au oprah, jbl ndio kabisaa hugusi. Bass nzuri kwa sasa Ni oprah, inauzwa ml 1 doble inasoma 1.8mill ,hiyo ya single Ni 1000 watts rms,peak Ni 2000w pmpo. Bass fidek yao singe ni laki 7.5 ina 800wts rms, double ni 1.5 mln, mid fidek ni laki 8 800wts rms,Mid nzuri Ni candy inauzwa laki 650 mpaka laki 8 . Ni nzuri sababu zina tweeter kubwa Na Ni imara,haziunguzi crossover au coil ya tweeter ivyo, Ni nzuri kwa mziki wa nje Na ndani. Booster fidek p7000 inakutosha bei Ni Kati ya 1.5m Na p 5000 Ni 1.3 milion. Crossover candy Ni laki 2.5 au 3,equlizer Ni Kati yalaki 3 mpaka 6 kulingana na size ,ila dbx 2channel inakutosha kwa laki 3 kwa kuanzia.
N.B hizi ni bei za muda kidog kipindi naagiza zinaweza kuwa chini ya hapo.
Anatakiwa apate millioni Mia ngapi ?Hiyo siyo budget mkuu na simaanishi kukuharibia siku yako ila achana na hiyo biashara huiwezi.
Yeye ana 10m only
N Mtaji mkubwa sana. Wapo walio anza kwa 6million. Kikubwa n kupata Business Location nzur.Yeye ana 10m only
Namaanisha budget haielezewi kihivyo. Au wewe unaona kuwa hiyo aliyoielezea ni budget?Anatakiwa apate millioni Mia ngapi ?
Naona yeye ametaja mtaji wake tu huenda kutokana na ujuzi duni juu ya biashara husika ameitaja kama bajeti ?Namaanisha budget haielezewi kihivyo. Au wewe unaona kuwa hiyo aliyoielezea ni budget?
Kuanzisha Bar at least awe na 30m.
nimefanya kazi kama Bar manager, kwenye manunuzi yangu kila siku nilikuwa sivushi Laki 5.Vinywaji (bia) kreti 20 vinyaji vingine nitakadiria
nakubali, ila sio kila eneo litataka hio helaNamaanisha budget haielezewi kihivyo. Au wewe unaona kuwa hiyo aliyoielezea ni budget?
Kuanzisha Bar at least awe na 30m.