Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamba vipi demu ni fundi au hamna kitu?Usein bolt
Eehh Sasa kama una B Kadhaaaa usihonge Mjengo ?.Mara ya mwisho kupiga puchu ilikuwa lini mzee ?, Tuanzie hapa .
Hints.....
. Watu wanahonga hadi majumba ma range rover kisa mbususu weeeee m3 tuuu wseeeee
AhahahahaaMwamba vipi demu ni fundi au hamna kitu?
Huyo aende tu kwa amani. Muambie utamuombea afanikiwe.Huyu Bidada niliwah fika Ofisi kwake nilikua nahitaji huduma Fulani ivi.
Nilivutiwa naye yaan ni ile Tamaa tu kuona ni jeupe jeupe Nene limejaa mahips makalio n.k.
Alinipea namba ila kwenye kumuomba Mzigo akawa mgumu, alafu madharau mengi sana Sijui na kunichukulia poaaa
Unajua Binafsi huwa sitaki kua kama nanunua, Huwa napenda nimjali mwanamke Kwa Msukumo wa Moyo wangu sio sababu ana K !! Ndio kama K si zipo nyingi yanini Sasa habari za 'fanya hivi fanya vile, aaa bwanaa wewe wengine kamba zetu zinatukutanisha na PISI/VISU mamia Kwa mamia na Kila siku !.
Tuyaache hayo, Siku Kadhaa mbele ndo akapata kunijua Jua hivi naona Sasa akahisi kumuhitaji ndio sehem ya yeye kunipiga......Basi Jana mida ya saa 10 Huyu Bidada Jana anarudia kosa lilelile, " et Nimkopeshe Milioni 3 za kitanzania jamani, kwamba nikishampa ndio naye anipe mbunye yake " hiiiiiiiiiiiiii Nkoiiii !!!
View attachment 2316571
Wee yaan 3M kisa K , sibora mtu anaingia Kwa makubaliano mengine ? Hahaha
Yaan 3M kisa K ?? K ?? Uwiii Mimi sio Bachela nahata kama ningekua Bachela, Mimi sijafikia hatua ya kutoa Pesa Et ndio nipewe K .
Haaaaa Bora kama angekua anauza, ningeenda Moja Kwa Moja kwenye 'Bei', ila Mimi mwenyewe nikutongoze, maana yake nimeamua Kwa Dhamira yangu, wee badala ya kuacha Nikupe Mimi Hela, anataka kulazimisha nitoe Hela kisa mbunye ??.
View attachment 2316568
Alafu nyie Wanawake sikilizeni na heshimuni sana watu , acheni dharau na mbwembwe , Sio mpaka uone mtu ana ndinga ndo uheshimu .yaan Kwa akili ya chekechekea tu Hivi mtu kama Mimi kama siendeshi Gari, Huoni ni maamuzi yangu tu kwamba Pesa yangu Kuna Mahali nimeielekeza ??!!. Haya mambo ya kuheshim watu kisa mnaona wanavitu, matokeo yake "Mmelika Bure sababu jamaa mjini wanaadhima ndinga hawana Hela sana sana atakununulia Pombe na Kitimoto ;!!!!".
unakuta demu anakuchukulia poaaaa kisa unendesha Boxer , baadae akishakujua vizuri kwamba wewe nani, una nn, na nn ,ndo anaanza kukuzoea Kwa speed ya 6G .....
et unakuta Manzi una namba yake naye anayako, huenda unamsalimia lkn anauchuna au yeye tu Salam hamna, alafu Kesho na kesho kutwa anapigwa na kitu kizito kinachohitaji Pesa, hapo ndipo anakumbuka Kuna Boyaa anaitwa Carlos The Jackal hiiiiiiii Nkoiii wasukuma tumeongoza Nchi Kwa miaka 5 !!. Na Si tu KUONGOZA Bali tulitoa Uongozi ambao utaendelea kua Kumbukumbu Kwa vizazi na vizazi hapa Nchini kama uongozi Bora na wakuigwa !!.
Doc bahili sana asee[emoji2957][emoji2957][emoji2957]Hahaha Wee Huwa unapigiwa maeneo gani Boss?.
Asee mi nnajiweza sana...imebaki kununua private jetVipi mrembo nawe watumia mdudu kesho nikutoe out japo nipate kuliona tako skonsi
Tamu au ndo hivo tena?Hahahah utamu Huwa tunao sisi wenyewe
Hongera ...basi uje unipandishe kwenye range rover yako nami nipate kuenjoy kupanda gari zuriAsee mi nnajiweza sana...imebaki kununua private jet
Haaahaaha sawa banaa[emoji38][emoji38]na usikute amewahi liwa Ndani ya ki IST [emoji1787][emoji1787]
ThibitishaAsee mi nnajiweza sana...imebaki kununua private jet
Haaaahaaaaa"Nitaona kweli wanijar"...
Mtu anayeshindwa matumizi sahihi ya herufi r na l, huwa namuona halfwit/moron...
Haina kwereeeHongera ...basi uje unipandishe kwenye range rover yako nami nipate kuenjoy kupanda gari zuri
Na wanaume wote mna nguvu za kiume na Ndinga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mademu wa jf bwana raha sana. Yaani kila demu humu anagegedwa hyatt[emoji1787][emoji1787]
Jf naipenda sana
😆 😆 😆 😆 😆 😆Pole kiongozi, ila wanawake huendekeza sana dhiki na kukomoana.
Jana nimekutana na mama mmoja. Single mother. Basi nikamtupia mawili matatu. Akasema ana haraka nimpe namba ya simu. Nikajua mambo safi.
Usiku saa 2.30 hivi mara text. Nani? Ni mimi uliyenipa namba mahali fulani.
Story zikaendelea. Leo ananiambia kabla hajavua pichu nimpe laki 3.
Jinga na nusu wewe, laki tatu inakisha familia yangu mwezi mzima.
Nimem block.
Huwa hawaelew wanaume WAnataka niniBob angekua mjanja tungeemda ivi , tunakulana tu wakati huo namsev sev, baadae anachomekea "Oyaa Kuna inshu napelewa , embu nibebe baada ya muda Fulani narejesha".
Alinikwaza hapo "Ibaki tunaenjoy mwaka mzima".
Ivi unajua kwenye kutiana, mademu ndo wanaopata Raha sana kuliko Me ???
Hahahaha ...acha tuu nikulishana matango pori.Na wanaume wote mna nguvu za kiume na Ndinga
Hahahahahahah
Na Mimi NAkupa hii hakuna hela ya mwanaume inayoenda bure, IPO siku utairudisha Kwa namna yoyote.Huyo anakukimbiza kwa kizinga
Mbinu nzuri sana ya kumkimbiza mwanaume anayekusumbua na wewe uko na mtu wako na hutaki other affairs ni kumpiga kizinga cha ukweli, mwingine ataishia kukublock tu na simu hapokei.
Million tatu kwa uchumi wa Samia lazima ufungue uzi aisee
Nimewaibia mbinu kutoka kwenye kikao chetu