Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Dah! Nianze kujichanga ninunue japo kandinga kama ka mr bean [emoji23][emoji23]Kabisa yaan siku hizi ukiwa na Gari tu, unaweza usitoe hata Mia
Unambeba, unampeleka Mahali anakula Ndizi, Kitimoto na Bia .
Unaenda maliza.
Ila ukiwa Hauna ndinga, aisee wanakuzungusha sana ili hali wewe ndio unaweza kumuachia Pesa ya kujikimu.
hii buti kali timberland au zaraOyaa Wanangu.
Mrejesho ni kwamba, ,Ushauri wenu nimeufanyia kazi.
Mida ya saa 6 mchana alinichek "Vipi G tunafanyaje?"
Nikaona nisiwe kinyonge.
Nikaenda chukua Room ya Standard ya Kati Kati .
Naye akaja, kwanza nikamchana laivu laivu Ubovu wa Tabia yake , Nikamuagizia Pombe zake.
Kisha Nimepiga Bao tatu za uzito wa Kati yaan dakika 30-40 .
Baada ya hapo nikamhamishia 50K Toka CRDB.
nikamwambia hiyo 3 M nitaifikiria upya .
Hajatia neno lolote.
Muda Huu Ndio nimetoka LodgeView attachment 2317336
Na unakuta hata kodi ya mwezi huu huna, na unalala chumba cha giza tena mlimani, halafu unakuja kuomba namba yake hapa, ebo! [emoji34]Nitumie namba yake pm naona vijana mnashindwa kuluka viunzi vidogo kama hivi 3M inakukimbiza
Kuna bidada nilimpa salamu akakaa kimya, nikamwambia basi asimame nimfungukie ya moyoni, akanambia "muda huo sina!" [emoji34][emoji34]Ila hili la salamu kwa kweli ni ujinga sana.
Wana nyodo sana hawa waremboKuna bidada nilimpa salamu akakaa kimya, nikamwambia basi asimame nimfungukie ya moyoni, akanambia "muda huo sina!" [emoji34][emoji34]
Zara Mkuu!!hii buti kali timberland au zara
🤣Wana nyodo sana hawa warembo
Wa kwangu, mahusiano ya jana na leo i.e siku ya kwanza na ya pili yaligharimu 67k na mbususu sikupata!
Wehu ndo unaongezekaaa, siunakumbuka uliniambiaga nikifika umri fulan, itakuaje??Mjaze ajazike,, 😂😂😂hujaachaga wehu tu
😂😂😂Wehu ndo unaongezekaaa, siunakumbuka uliniambiaga nikifika umri fulan, itakuaje??
Sasa ndo nmefikq
🤣🤣🤣 Sasa je
Na unakuta hata kodi ya mwezi huu huna, na unalala chumba cha giza tena mlimani, halafu unakuja kuomba namba yake hapa, ebo! [emoji34]
Uwoya unahangaika sana mara ujianzishie threads kujisifiaYaan umeombwa ka milioni 3 umekimbilia kuja kutangaza huku JF kweli ushamba ni mzigo ila umaskini ni gunia la misumari ya moto!
zile za elfu 45 imetoka poaZara Mkuu!!
Kiatu kikali sana.Oyaa Wanangu.
Mrejesho ni kwamba, ,Ushauri wenu nimeufanyia kazi.
Mida ya saa 6 mchana alinichek "Vipi G tunafanyaje?"
Nikaona nisiwe kinyonge.
Nikaenda chukua Room ya Standard ya Kati Kati .
Naye akaja, kwanza nikamchana laivu laivu Ubovu wa Tabia yake , Nikamuagizia Pombe zake.
Kisha Nimepiga Bao tatu za uzito wa Kati yaan dakika 30-40 .
Baada ya hapo nikamhamishia 50K Toka CRDB.
nikamwambia hiyo 3 M nitaifikiria upya .
Hajatia neno lolote.
Muda Huu Ndio nimetoka LodgeView attachment 2317336
Utapataje wakati no lopher?Wa kwangu, mahusiano ya jana na leo i.e siku ya kwanza na ya pili yaligharimu 67k na mbususu sikupata!
Wajinga ndiyo waliwaoKabisa mwaya! [emoji122][emoji122]
Wewe una bahati ,
Umepona zidi ya huo ujinga.
Ni ujinga kweli na “ Wajinga Ndiyo Waliwao”
Halafu baada ya muda wanaanza kuzikumbuka hela walizoibiwa na kuzitapanya kwa malaya.
Kisha kuanza kusumbua watu kubipbip na kuombaomba hisani.
Watu wanakwambia “enzi zake huyo usimuone hivyo” unaulizila enhee nini Kwani alikuwaje ?
Unaambiwa alikuwa tupatupa a.k.a chimwaga [emoji108][emoji108]
Unaambiwa alikuwa hashikiki humwambii kitu kwa starehe na wanawake !
Haambiliki!
Hapo sasa wakati huo hakuna mchepuko unamjua Kwa kheri wala la shari.
Hata yule mtoto wa kufikia alokuwa akijifanya kumsomesha na kumlea hana habari naye abadan asilani!