Milioni 3 na mbususu wapi na wapi? Wanawake badilikeni

nilikuwa nawatetea wasukuma maana nilikuwa nakutana na wale wasukuma wa mjini hawana hata ile accent na wajanja sana nikajua wengi wako vile... hiyo stereotype ya ushamba nikawa siielewi ila

Kuna siku nlikutana na toleo la mwisho la wasukuma aisee nilichoka, nkajua kwa nini wanadharauliwa hasa... maana mwanzo Sikuelewa
Sijui kwann mnatuona washamba sana.
 

Nitumie namba yake pm naona vijana mnashindwa kuluka viunzi vidogo kama hivi 3M inakukimbiza
 
Kabisa yaan siku hizi ukiwa na Gari tu, unaweza usitoe hata Mia

Unambeba, unampeleka Mahali anakula Ndizi, Kitimoto na Bia .

Unaenda maliza.

Ila ukiwa Hauna ndinga, aisee wanakuzungusha sana ili hali wewe ndio unaweza kumuachia Pesa ya kujikimu.
Wacha vijana wakope kununua magari. Kwa kweli bila gari kula mbususu ni ngumu sana.
Gari lako tia wese peleka mrembo ale kitimoto na ndizi ongeza na vi savannah ah unajilia vizuri
 
Endelea kututetea, sisi sote watanzania
 
Wee utakuwa unachakata sana mbususu hadi budget unaijua🤣🤣🤣🤣
 
Hivi mkikutana na hao wanawAKE AJALI... HUWA MNAOMBAJE MZIGO? MAANA MIMI NAKUTANA NA PISI KALI ILA NAOMBA MZIGO WANANINYIMA.. SASA SIJUI NAKOSEA WAPI.

Kuna hii toto moja hapa ni kali... nimeibembeleza ila wapi... mwishowe anaanza kuniambia ananichukulia kama kaka yake.. yaaani dah... sijui wananiona kibwengo? hahahahahaha
 
Wanakukataa sababu ya hiyo ID yako, wamekushtukia
 
Ila ungemsamehe tu mkuu.. anaonekana mbona decent tu? sijapenda ulivomsema.

Unajua hawa viumbe ni dhaifu sana.. wana mapungufu mengi sana...
 
Mkuu wanawake wa siku hizi wengi wanauza, wala usijisumbue kutongoza, ukielewa mzigo mchane mapema dau ulilonalo then muanze ku bargain
Hii naona Ina ukweli , Na nmekuja kugundua Kwa kadiri unavyojupanua kiuchumi... Nguvu za kutongoza zinapungua na muda wa kuzungushwa unapunguwa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…