Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
- Thread starter
- #41
Kizembe sana na HAIFAI .kaiomba hio hela kizembe sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kizembe sana na HAIFAI .kaiomba hio hela kizembe sana
Ila ungemsamehe tu mkuu.. anaonekana mbona decent tu? sijapenda ulivomsema.
Unajua hawa viumbe ni dhaifu sana.. wana mapungufu mengi sana...
Du noma sana... ila msamehe tu... au msikilize hiyo biashara anayotaka kufungua... maana milioni tatu parefu mno...Mkuu , Baada ya kunichukulia poaaaa ,nilitemana naye..
Hakutaka hata salamu Wala nn ....
Ndo Jana kunitafuta ghafla.
Labda niseme hivi, huyu Manzi Mama yake aliugua ,bahati mbaya akaja kulazwa Hosp napofanya Mimi.
So Manzi ndo kunijulia hapo na pia Kuna vigharamagharama Fulani ivi nikawa navicover kimtindo Kwa ajili ya Mama yake.
Wakatolewa bado akaendelea kua kimya ,namm nikawa nipo kimyaa.
Sasa Jana sms yakwanza baada ya Salam nihiyo .
Wee unafanyaje ??...yaan chukulia mfano, una jamaa ni mwanao, hamuwasiliani hata , alafu baada ya miezi anakutafuta Kwa sms yakwanza tu "Hela".
Unajua watu wengi wanafel sehem ndogo, hawajui kulinda Mahusiano, nadhani TUNACHUKULIANA POA POA SANAAA MPAKA SHIDA IKUKAMATE NDIO UNAONA UMUHIMU WA MTU
hahahaa mzabzab ukiona mtu wakati mwingine hakujibu salamu ujue kuna sababu ndani yake bwanaIla hili la salamu kwa kweli ni ujinga sana.
utakuwa unamkono mfupi naantombeHivi mkikutana na hao wanawAKE AJALI... HUWA MNAOMBAJE MZIGO? MAANA MIMI NAKUTANA NA PISI KALI ILA NAOMBA MZIGO WANANINYIMA.. SASA SIJUI NAKOSEA WAPI.
Kuna hii toto moja hapa ni kali... nimeibembeleza ila wapi... mwishowe anaanza kuniambia ananichukulia kama kaka yake.. yaaani dah... sijui wananiona kibwengo? hahahahahaha
Mmh lakini weweeeeWala hata, maana nmemwambia Kesho nitamjuza Lodge gan aje na akakubali na ananiomba nisimuangushe .
Ila ndo Mimi akili imechekechaaaaa nikaona naelekea kupigwa.
Mvulana kakuaHuyu Bidada niliwah fika Ofisi kwake nilikua nahitaji huduma Fulani ivi.
Nilivutiwa naye yaan ni ile Tamaa tu kuona ni jeupe jeupe Nene limejaa mahips matako n.k.
Alinipea namba ila kwenye kumuomba Mzigo akawa mgumu, alafu madharau mengi sana Sijui na kunichukulia poaaa
Unajua Binafsi huwa sitaki kua kama nanunua, Huwa napenda nimjali mwanamke Kwa Msukumo wa Moyo wangu sio sababu ana K !! Ndio kama K si zipo nyingi yanini Sasa habari za 'fanya hivi fanya vile, aaa bwanaa wewe wengine kamba zetu zinatukutanisha na PISI/VISU mamia Kwa mamia na Kila siku !.
Tuyaache hayo, Siku Kadhaa mbele ndo akapata kunijua Jua hivi naona Sasa akahisi kumuhitaji ndio sehem ya yeye kunipiga......Basi Jana mida ya saa 10 Huyu Bidada Jana anarudia kosa lilelile, " et Nimkopeshe Milioni 3 za kitanzania jamani, kwamba nikishampa ndio naye anipe mbunye yake " hiiiiiiiiiiiiii Nkoiiii !!!
View attachment 2316571
Wee yaan 3M kisa K , sibora mtu anaingia Kwa makubaliano mengine ? Hahaha
Yaan 3M kisa K ?? K ?? Uwiii Mimi sio Bachela nahata kama ningekua Bachela, Mimi sijafikia hatua ya kutoa Pesa Et ndio nipewe K .
Haaaaa Bora kama angekua anauza, ningeenda Moja Kwa Moja kwenye 'Bei', ila Mimi mwenyewe nikutongoze, maana yake nimeamua Kwa Dhamira yangu, wee badala ya kuacha Nikupe Mimi Hela, anataka kulazimisha nitoe Hela kisa mbunye ??.
View attachment 2316568
Alafu nyie Wanawake sikilizeni na heshimuni sana watu , acheni dharau na mbwembwe , Sio mpaka uone mtu ana ndinga ndo uheshimu .yaan Kwa akili ya chekechekea tu Hivi mtu kama Mimi kama siendeshi Gari, Huoni ni maamuzi yangu tu kwamba Pesa yangu Kuna Mahali nimeielekeza ??!!. Haya mambo ya kuheshim watu kisa mnaona wanavitu, matokeo yake "Mmelika Bure sababu jamaa mjini wanaadhima ndinga hawana Hela sana sana atakununulia Pombe na Kitimoto ;!!!!".
unakuta demu anakuchukulia poaaaa kisa unendesha Boxer , baadae akishakujua vizuri kwamba wewe nani, una nn, na nn ,ndo anaanza kukuzoea Kwa speed ya 6G .....
et unakuta Manzi una namba yake naye anayako, huenda unamsalimia lkn anauchuna au yeye tu Salam hamna, alafu Kesho na kesho kutwa anapigwa na kitu kizito kinachohitaji Pesa, hapo ndipo anakumbuka Kuna Boyaa anaitwa Carlos The Jackal hiiiiiiii Nkoiii wasukuma tumeongoza Nchi Kwa miaka 5 !!. Na Si tu KUONGOZA Bali tulitoa Uongozi ambao utaendelea kua Kumbukumbu Kwa vizazi na vizazi hapa Nchini kama uongozi Bora na wakuigwa !!.
😁hapo ndipo anakumbuka Kuna Boyaa anaitwa @Carlos The Jackal hiiiiiiii Nkoiii
Utampa hio milion 3 na bado akaomba ten hela matumizi mengine wanawake wanadharau sana pesa.Hujaelewa iyo million 3 kifurushi iko unlimited unamla mwaka mzima [emoji28][emoji28][emoji28]hujajiongeza kishkaji sema kuitoa kwa mkupuo parefu mwanangu toa ule mambo mwaka mzima .
Unaweza kuwa na 200m na usitoe hata 300k kwa ajili ya vitu vya kipuuzi na mwingine anaweza kuwa na 3.5m akatoa 3m Kwa vitu vya kipuuzi. The latter wako wengi.Yaan umeombwa ka milioni 3 umekimbilia kuja kutangaza huku JF kweli ushamba ni mzigo ila umaskini ni gunia la misumari ya moto!