Hapa ndipo utatofautisha Mwanaume na Mvulana. Mleta mada ni Mvulana hajafikia hadhi ya kuitwa Mwanaume. Over📌Yaan umeombwa ka milioni 3 umekimbilia kuja kutangaza huku JF kweli ushamba ni mzigo ila umaskini ni gunia la misumari ya moto!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ndipo utatofautisha Mwanaume na Mvulana. Mleta mada ni Mvulana hajafikia hadhi ya kuitwa Mwanaume. Over📌Yaan umeombwa ka milioni 3 umekimbilia kuja kutangaza huku JF kweli ushamba ni mzigo ila umaskini ni gunia la misumari ya moto!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aise usinikumbishe majanga yangu ya laki tatu....mwanamke mshezi kweli yule[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Alafu hawa warembo wanadhani pesa tunachuma tuu.
Factos [emoji28]Easy kabisa !!! Nitumie laki 3 ?
Kuna Mmoja ilibidi nimuulize on the spot , Unauza ???. Tumalizane leoleo.
Isije kesho na kesho kutwa ukawa unanisumbua Bure .
Kama Unauza eleweka ili niwe nakupa Hela pale napokuhitaji.
Yaani popoma la mwisho [emoji1787]Tajiri hapa Duniani usicheke Umasikini na Gereza .
Kama unaweza Toa Milioni 3 ndio upewe Mbususu, utakua TAHIRA ,ZOBA, DOMO ZEGE ,BOYAAA JINGA KABISA.
Umezaliwa pekeako utakufa pekeako. M3 Zina matumizi mengi ya msingi ambayo yatakunufaisha mbeleni kuliko kumpa malaya ambae hujui mmeombwa wangapi hiyo m3. Hizo m3 bora ukamtibishie yule dem wako majini kuliko kuhonga kk.Yaan umeombwa ka milioni 3 umekimbilia kuja kutangaza huku JF kweli ushamba ni mzigo ila umaskini ni gunia la misumari ya moto!
Kuna watu mna moyo,yaani utoe mil 3,labda uwe hizo hela unapata bure,au ni fisadi.Oya toa milion 3 hiyo ukigawanya kwa mwaka ni 250000 kila mwezi ukiwa unamla mara 3 kwa mwezi ni 83000 kila mnapokutana hiyo ni jumla ya pesa ya lodge, Savannah na kitimoto na nauli yake kabisa kakubalansia [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Hyo type ya mademu ya mjini sema anajifunza baada ya kuskia stori kwa wenzake.
Ukimpa hyo hela naamini baada ya mwezi atakuletea stori nigei 50k nikasuke, nipe 100k ya kula Mara mama anaumwa inatakiwa 500k mie Nina 200k hyo yote anataka akufukuze ili mtemane kwenye Ile 3m na ukiwa unampa inamana mtaendelea kuwa wapenzi na Ile 3m ndo usahau kuipata hata muwe mmeandikishiana mahakamani.
Hawa wanawake wa sikuhz wanakuwa na win-win situation mchongo usiokuwa na ushuru yaan ukiendelea kulea penzi Ile 3m hupati na ukikataa kulea penzi Ile 3m hupati.
Vijana wasikuhz hiz akili hawana ndio Mana unaskia mtu kapiga sijui kaua sababu n Hawa wadada wa win-win situation.
Ulikuwa na haji gani ya kumjibu mpumbavu na wewe utakuwa mpumbavu!Wewe ni mpumbavu jaribu kuuficha mbele ya hadhira
Nenda kamgonge andaa 150k tu 50k room 50k chakula na vinywaji , then 50k mpe baada ya show Kali , then muahidi hiyo ml 3 utakuja kumpa baada ya siku 3 .. Baada ya hapo mkiondoka mpige tofali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimesema mwanzo, Mimi Sina habari za kukufukuzia wiki, mwezi ,miezi, Sinaga... Na Kwa kadiri siku zinaenda huenda nitakua nikishaongea Mara Moja, hueleweki naacha ujitafakari mwenyewe.
( Kama umesoma na kuelewa Uzi wote ).. niyeye aliyenitafuta baada ya ukimya wake wa muda mrefu .
Hata hivo Nikitaka nimtie Leo namtia , in facts yeye sio wakwanza au wa mwisho kua na Mwanaume na Bado akalika... Haya mambo ni maelewano tu.
Na ndio Sababu hata yeye nilipomwambia Leo tuonane. Lodge, kakubaki na ananisihii sana, "Ukishachukua chumba niambie ".
ukweli ni kwamba, huyu anahisi Mimi mjinga.
Acheni kujikuta wakina HASH PAPY kwa pesa gani mlizonazo mpaka msiwaze kutoa m3. ? Acheni kuigiza maisha . Mishahara yenu ya miezi miwili haifiki m3 afu ukazihonge kwa siku1 tu?. Afu kesho muanze kusumbua taasisi za kifedha kutafta mikopo!Hapa ndipo utatofautisha Mwanaume na Mvulana. Mleta mada ni Mvulana hajafikia hadhi ya kuitwa Mwanaume. Over[emoji419]
Ishini nao kwa akili....Acheni kujikuta wakina HASH PAPY kwa pesa gani mlizonazo mpaka msiwaze kutoa m3. ? Acheni kuigiza maisha . Mishahara yenu ya miezi miwili haifiki m3 afu ukazihonge kwa siku1 tu?. Afu kesho muanze kusumbua taasisi za kifedha kutafta mikopo!
Una uhakika gani kuwa ni mshamba na masikini? Na masikini ni mtu gani? Ufafanuzi tafadhali.Yaan umeombwa ka milioni 3 umekimbilia kuja kutangaza huku JF kweli ushamba ni mzigo ila umaskini ni gunia la misumari ya moto!
Wasukuma tumejanjaruka nowdayz! Tumetoa dozi ya miaka mitano murua kabisa.wasituchukulie poa.Huyu Bidada niliwah fika Ofisi kwake nilikua nahitaji huduma Fulani ivi.
Nilivutiwa naye yaan ni ile Tamaa tu kuona ni jeupe jeupe Nene limejaa mahips matako n.k.
Alinipea namba ila kwenye kumuomba Mzigo akawa mgumu, alafu madharau mengi sana Sijui na kunichukulia poaaa
Unajua Binafsi huwa sitaki kua kama nanunua, Huwa napenda nimjali mwanamke Kwa Msukumo wa Moyo wangu sio sababu ana K !! Ndio kama K si zipo nyingi yanini Sasa habari za 'fanya hivi fanya vile, aaa bwanaa wewe wengine kamba zetu zinatukutanisha na PISI/VISU mamia Kwa mamia na Kila siku !.
Tuyaache hayo, Siku Kadhaa mbele ndo akapata kunijua Jua hivi naona Sasa akahisi kumuhitaji ndio sehem ya yeye kunipiga......Basi Jana mida ya saa 10 Huyu Bidada Jana anarudia kosa lilelile, " et Nimkopeshe Milioni 3 za kitanzania jamani, kwamba nikishampa ndio naye anipe mbunye yake " hiiiiiiiiiiiiii Nkoiiii !!!
View attachment 2316571
Wee yaan 3M kisa K , sibora mtu anaingia Kwa makubaliano mengine ? Hahaha
Yaan 3M kisa K ?? K ?? Uwiii Mimi sio Bachela nahata kama ningekua Bachela, Mimi sijafikia hatua ya kutoa Pesa Et ndio nipewe K .
Haaaaa Bora kama angekua anauza, ningeenda Moja Kwa Moja kwenye 'Bei', ila Mimi mwenyewe nikutongoze, maana yake nimeamua Kwa Dhamira yangu, wee badala ya kuacha Nikupe Mimi Hela, anataka kulazimisha nitoe Hela kisa mbunye ??.
View attachment 2316568
Alafu nyie Wanawake sikilizeni na heshimuni sana watu , acheni dharau na mbwembwe , Sio mpaka uone mtu ana ndinga ndo uheshimu .yaan Kwa akili ya chekechekea tu Hivi mtu kama Mimi kama siendeshi Gari, Huoni ni maamuzi yangu tu kwamba Pesa yangu Kuna Mahali nimeielekeza ??!!. Haya mambo ya kuheshim watu kisa mnaona wanavitu, matokeo yake "Mmelika Bure sababu jamaa mjini wanaadhima ndinga hawana Hela sana sana atakununulia Pombe na Kitimoto ;!!!!".
unakuta demu anakuchukulia poaaaa kisa unendesha Boxer , baadae akishakujua vizuri kwamba wewe nani, una nn, na nn ,ndo anaanza kukuzoea Kwa speed ya 6G .....
et unakuta Manzi una namba yake naye anayako, huenda unamsalimia lkn anauchuna au yeye tu Salam hamna, alafu Kesho na kesho kutwa anapigwa na kitu kizito kinachohitaji Pesa, hapo ndipo anakumbuka Kuna Boyaa anaitwa Carlos The Jackal hiiiiiiii Nkoiii wasukuma tumeongoza Nchi Kwa miaka 5 !!. Na Si tu KUONGOZA Bali tulitoa Uongozi ambao utaendelea kua Kumbukumbu Kwa vizazi na vizazi hapa Nchini kama uongozi Bora na wakuigwa !!.
Wanadhani sisi pia hela hatuna shida nazo!Aise usinikumbishe majanga yangu ya laki tatu....mwanamke mshezi kweli yule[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Alafu hawa warembo wanadhani pesa tunachuma tuu.
Jf kila mtu tajiri.Acheni kujikuta wakina HASH PAPY kwa pesa gani mlizonazo mpaka msiwaze kutoa m3. ? Acheni kuigiza maisha . Mishahara yenu ya miezi miwili haifiki m3 afu ukazihonge kwa siku1 tu?. Afu kesho muanze kusumbua taasisi za kifedha kutafta mikopo!