Milioni 3 na mbususu wapi na wapi? Wanawake badilikeni

Milioni 3 na mbususu wapi na wapi? Wanawake badilikeni

Yaan umeombwa ka milioni 3 umekimbilia kuja kutangaza huku JF kweli ushamba ni mzigo ila umaskini ni gunia la misumari ya moto!
Hapa ndipo utatofautisha Mwanaume na Mvulana. Mleta mada ni Mvulana hajafikia hadhi ya kuitwa Mwanaume. Over📌
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Aisee [emoji119]
 
Yaan umeombwa ka milioni 3 umekimbilia kuja kutangaza huku JF kweli ushamba ni mzigo ila umaskini ni gunia la misumari ya moto!
Umezaliwa pekeako utakufa pekeako. M3 Zina matumizi mengi ya msingi ambayo yatakunufaisha mbeleni kuliko kumpa malaya ambae hujui mmeombwa wangapi hiyo m3. Hizo m3 bora ukamtibishie yule dem wako majini kuliko kuhonga kk.
 
Oya toa milion 3 hiyo ukigawanya kwa mwaka ni 250000 kila mwezi ukiwa unamla mara 3 kwa mwezi ni 83000 kila mnapokutana hiyo ni jumla ya pesa ya lodge, Savannah na kitimoto na nauli yake kabisa kakubalansia [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Kuna watu mna moyo,yaani utoe mil 3,labda uwe hizo hela unapata bure,au ni fisadi.

Wanawake Malaya wana msemo "usionee hela ya mwanaume huruma" au "hela zake hazinaga kazi yule "
Wakiambiana hivo wanawafuata wazembe wazembe kama nyie wanawapiga hela.

Watu kama nyie hataa ndugu zenu hamuwajali,wana dhiki mpk kwenye kope za macho 😝
 
Yaani ungempa tu angekuona boya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ukweli ni kwamba wanawake Huwa wanawaona wanaume wote wanao wahonga honga Pesa hovyo kuwa ni wanaume wajinga na wasiojielewa kabisaa, na Wanajua mwanaume yupo mjanja yupi bwege

Halafu ungempa hizo pesa baada ya kumla mara 1 angeanza kukupiga sound na kukukimbia
 
Hyo type ya mademu ya mjini sema anajifunza baada ya kuskia stori kwa wenzake.

Ukimpa hyo hela naamini baada ya mwezi atakuletea stori nigei 50k nikasuke, nipe 100k ya kula Mara mama anaumwa inatakiwa 500k mie Nina 200k hyo yote anataka akufukuze ili mtemane kwenye Ile 3m na ukiwa unampa inamana mtaendelea kuwa wapenzi na Ile 3m ndo usahau kuipata hata muwe mmeandikishiana mahakamani.

Hawa wanawake wa sikuhz wanakuwa na win-win situation mchongo usiokuwa na ushuru yaan ukiendelea kulea penzi Ile 3m hupati na ukikataa kulea penzi Ile 3m hupati.

Vijana wasikuhz hiz akili hawana ndio Mana unaskia mtu kapiga sijui kaua sababu n Hawa wadada wa win-win situation.

Kwenye hoja yako mbona hakuna win win. Ama maana ya neno win win situation imebadilika
 
Nimesema mwanzo, Mimi Sina habari za kukufukuzia wiki, mwezi ,miezi, Sinaga... Na Kwa kadiri siku zinaenda huenda nitakua nikishaongea Mara Moja, hueleweki naacha ujitafakari mwenyewe.

( Kama umesoma na kuelewa Uzi wote ).. niyeye aliyenitafuta baada ya ukimya wake wa muda mrefu .

Hata hivo Nikitaka nimtie Leo namtia , in facts yeye sio wakwanza au wa mwisho kua na Mwanaume na Bado akalika... Haya mambo ni maelewano tu.


Na ndio Sababu hata yeye nilipomwambia Leo tuonane. Lodge, kakubaki na ananisihii sana, "Ukishachukua chumba niambie ".


ukweli ni kwamba, huyu anahisi Mimi mjinga.
Nenda kamgonge andaa 150k tu 50k room 50k chakula na vinywaji , then 50k mpe baada ya show Kali , then muahidi hiyo ml 3 utakuja kumpa baada ya siku 3 .. Baada ya hapo mkiondoka mpige tofali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapa ndipo utatofautisha Mwanaume na Mvulana. Mleta mada ni Mvulana hajafikia hadhi ya kuitwa Mwanaume. Over[emoji419]
Acheni kujikuta wakina HASH PAPY kwa pesa gani mlizonazo mpaka msiwaze kutoa m3. ? Acheni kuigiza maisha . Mishahara yenu ya miezi miwili haifiki m3 afu ukazihonge kwa siku1 tu?. Afu kesho muanze kusumbua taasisi za kifedha kutafta mikopo!
 
Acheni kujikuta wakina HASH PAPY kwa pesa gani mlizonazo mpaka msiwaze kutoa m3. ? Acheni kuigiza maisha . Mishahara yenu ya miezi miwili haifiki m3 afu ukazihonge kwa siku1 tu?. Afu kesho muanze kusumbua taasisi za kifedha kutafta mikopo!
Ishini nao kwa akili....
 
Huyu Bidada niliwah fika Ofisi kwake nilikua nahitaji huduma Fulani ivi.

Nilivutiwa naye yaan ni ile Tamaa tu kuona ni jeupe jeupe Nene limejaa mahips matako n.k.

Alinipea namba ila kwenye kumuomba Mzigo akawa mgumu, alafu madharau mengi sana Sijui na kunichukulia poaaa

Unajua Binafsi huwa sitaki kua kama nanunua, Huwa napenda nimjali mwanamke Kwa Msukumo wa Moyo wangu sio sababu ana K !! Ndio kama K si zipo nyingi yanini Sasa habari za 'fanya hivi fanya vile, aaa bwanaa wewe wengine kamba zetu zinatukutanisha na PISI/VISU mamia Kwa mamia na Kila siku !.



Tuyaache hayo, Siku Kadhaa mbele ndo akapata kunijua Jua hivi naona Sasa akahisi kumuhitaji ndio sehem ya yeye kunipiga......Basi Jana mida ya saa 10 Huyu Bidada Jana anarudia kosa lilelile, "  et Nimkopeshe Milioni 3 za kitanzania jamani, kwamba nikishampa ndio naye anipe mbunye yake " hiiiiiiiiiiiiii Nkoiiii !!!

View attachment 2316571

Wee yaan 3M kisa K , sibora mtu anaingia Kwa makubaliano mengine ? Hahaha
Yaan 3M kisa K ?? K ?? Uwiii Mimi sio Bachela nahata kama ningekua Bachela, Mimi sijafikia hatua ya kutoa Pesa Et ndio nipewe K .


Haaaaa Bora kama angekua anauza, ningeenda Moja Kwa Moja kwenye 'Bei', ila Mimi mwenyewe nikutongoze, maana yake nimeamua Kwa Dhamira yangu, wee badala ya kuacha Nikupe Mimi Hela, anataka kulazimisha nitoe Hela kisa mbunye ??.


View attachment 2316568

Alafu nyie Wanawake sikilizeni na heshimuni sana watu , acheni dharau na mbwembwe , Sio mpaka uone mtu ana ndinga ndo uheshimu .yaan Kwa akili ya chekechekea tu Hivi mtu kama Mimi kama siendeshi Gari, Huoni ni maamuzi yangu tu kwamba Pesa yangu Kuna Mahali nimeielekeza ??!!. Haya mambo ya kuheshim watu kisa mnaona wanavitu, matokeo yake "Mmelika Bure sababu jamaa mjini wanaadhima ndinga hawana Hela sana sana atakununulia Pombe na Kitimoto ;!!!!".
unakuta demu anakuchukulia poaaaa kisa unendesha Boxer , baadae akishakujua vizuri kwamba wewe nani, una nn, na nn ,ndo anaanza kukuzoea Kwa speed ya 6G .....

et unakuta Manzi una namba yake naye anayako, huenda unamsalimia lkn anauchuna au yeye tu Salam hamna, alafu Kesho na kesho kutwa anapigwa na kitu kizito kinachohitaji Pesa, hapo ndipo anakumbuka Kuna Boyaa anaitwa Carlos The Jackal hiiiiiiii Nkoiii wasukuma tumeongoza Nchi Kwa miaka 5 !!. Na Si tu KUONGOZA Bali tulitoa Uongozi ambao utaendelea kua Kumbukumbu Kwa vizazi na vizazi hapa Nchini kama uongozi Bora na wakuigwa !!.
Wasukuma tumejanjaruka nowdayz! Tumetoa dozi ya miaka mitano murua kabisa.wasituchukulie poa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni kujikuta wakina HASH PAPY kwa pesa gani mlizonazo mpaka msiwaze kutoa m3. ? Acheni kuigiza maisha . Mishahara yenu ya miezi miwili haifiki m3 afu ukazihonge kwa siku1 tu?. Afu kesho muanze kusumbua taasisi za kifedha kutafta mikopo!
Jf kila mtu tajiri.
 
Back
Top Bottom