frankkilulya
JF-Expert Member
- Apr 6, 2022
- 590
- 1,494
ozaaa Ngosha mwanangu uzi wa moto huu 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukua room mtafune halafu mpe nauli tu, na hakuna kitu atafanya. Hiiiiiiii...nkoiiiNimesema mwanzo, Mimi Sina habari za kukufukuzia wiki, mwezi ,miezi, Sinaga... Na Kwa kadiri siku zinaenda huenda nitakua nikishaongea Mara Moja, hueleweki naacha ujitafakari mwenyewe.
( Kama umesoma na kuelewa Uzi wote ).. niyeye aliyenitafuta baada ya ukimya wake wa muda mrefu .
Hata hivo Nikitaka nimtie Leo namtia , in facts yeye sio wakwanza au wa mwisho kua na Mwanaume na Bado akalika... Haya mambo ni maelewano tu.
Na ndio Sababu hata yeye nilipomwambia Leo tuonane. Lodge, kakubaki na ananisihii sana, "Ukishachukua chumba niambie ".
ukweli ni kwamba, huyu anahisi Mimi mjinga.
Hesabu iko balanced kabisa,Oya toa milion 3 hiyo ukigawanya kwa mwaka ni 250000 kila mwezi ukiwa unamla mara 3 kwa mwezi ni 83000 kila mnapokutana hiyo ni jumla ya pesa ya lodge, Savannah na kitimoto na nauli yake kabisa kakubalansia [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Hahahh kazi kweli. Uhonge ml 3 ili uvumbue nini labda?Acheni kujikuta wakina HASH PAPY kwa pesa gani mlizonazo mpaka msiwaze kutoa m3. ? Acheni kuigiza maisha . Mishahara yenu ya miezi miwili haifiki m3 afu ukazihonge kwa siku1 tu?. Afu kesho muanze kusumbua taasisi za kifedha kutafta mikopo!
Kuna watu wajinga wajinga sanaUnaweza kuwa na 200m na usitoe hata 300k kwa ajili ya vitu vya kipuuzi na mwingine anaweza kuwa na 3.5m akatoa 3m Kwa vitu vya kipuuzi. The latter wako wengi.
HahahaChukua room mtafune halafu mpe nauli tu, na hakuna kitu atafanya. Hiiiiiiii...nkoiii
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣 Mara biashara imeyumbaUkishampa baada ya mwezi anabadilika anakukwepa mzee baba huo ni mtego tu.
Ukishampa baadae anaanza maneno ya nyodo"Kwa hiyo kwa vile ulinisaidia hicho kimilioni 3 chako ndio unataka unisumbue tugandane kama ruba,si ndio"
Na kwa vile umempa mwenyewe kwa ridhaa yako huna pa kumshitaki.
Hahaha Cha mwaka ,Sasa Sijui Kwa Wife wangu nitakua sipigiCombo pack😂😂..sema nini umeenda kasi sana,ungemwambia aje muongee kwanza ila usimamalize mazungumzo siku moja,then ungekuja kuichakataa mbususu kirahisi sana bila hata mia
Sawa Boss, ngoja niwe mvulana!!Hapa ndipo utatofautisha Mwanaume na Mvulana. Mleta mada ni Mvulana hajafikia hadhi ya kuitwa Mwanaume. Over📌
Unacheka Mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee [emoji119]
Na tuziheshim .Tutafute hela
Bora umempa za USOKuna watu mna moyo,yaani utoe mil 3,labda uwe hizo hela unapata bure,au ni fisadi.
Wanawake Malaya wana msemo "usionee hela ya mwanaume huruma" au "hela zake hazinaga kazi yule "
Wakiambiana hivo wanawafuata wazembe wazembe kama nyie wanawapiga hela.
Watu kama nyie hataa ndugu zenu hamuwajali,wana dhiki mpk kwenye kope za macho 😝
Ndioo mkuuYaani ungempa tu angekuona boya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukweli ni kwamba wanawake Huwa wanawaona wanaume wote wanao wahonga honga Pesa hovyo kuwa ni wanaume wajinga na wasiojielewa kabisaa, na Wanajua mwanaume yupo mjanja yupi bwege
Halafu ungempa hizo pesa baada ya kumla mara 1 angeanza kukupiga sound na kukukimbia
Ungekaaa na manguli wakupe weledi na akili ya kiume siyo kulia lia unashusha hadhi ya Wanaume Mkuu na huduma ungeipata kwa unyooooofu bila shidaSawa Boss, ngoja niwe mvulana!!
Lkn nyie ndo humuhum mmemlaumu SAMIA kwakutoongeza mshahara
Takers have no shameAise usinikumbishe majanga yangu ya laki tatu....mwanamke mshezi kweli yule😭😭😭😭
Alafu hawa warembo wanadhani pesa tunachuma tuu.
Ili tutumie kwa akili na siyo kishambaTutafute hela
🤣🤣🤣Baadae yatafuata matusi hayoNenda kamgonge andaa 150k tu 50k room 50k chakula na vinywaji , then 50k mpe baada ya show Kali , then muahidi hiyo ml 3 utakuja kumpa baada ya siku 3 .. Baada ya hapo mkiondoka mpige tofali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
👊👊Acheni kujikuta wakina HASH PAPY kwa pesa gani mlizonazo mpaka msiwaze kutoa m3. ? Acheni kuigiza maisha . Mishahara yenu ya miezi miwili haifiki m3 afu ukazihonge kwa siku1 tu?. Afu kesho muanze kusumbua taasisi za kifedha kutafta mikopo!