Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
- Thread starter
-
- #141
Kuna watu bado wanamwona msukuma wa Leo ni sawa nayule wa 1900+Wasukuma tumejanjaruka nowdayz! Tumetoa dozi ya miaka mitano murua kabisa.wasituchukulie poa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa Mkuu, mwanamke unaweza kumpa pesa inayomfanya aendesha maisha yake kila hata kwa kumpatia kidogo kidogo alafu anasahau na kukuona haujafanya chochote. Nilikuwa na mahusiano na mwanamke kwa miaka mitatu kwa kipindi chote hicho hakuwahi kutumia pesa yake kwa mahitaji niseme madogo madogo hata chakula nilikuwa nagharamia. Lakini alikuja kunizarau sana na kuniambia nipigr hesabu alipe kiasi cha fedha nilichotumia katika muda wote huo. Nikaone huu ni ujinga. Bado nipo naye lakini amepunguza thamani yake kwangu, "nahusiananaye kwa akili" hawa watu baadhi yao ni wainga sana.Utampa hio milion 3 na bado akaomba ten hela matumizi mengine wanawake wanadharau sana pesa.
ni kitu ambacho ni impossible3m kisa K..dadeq!
Naupitia Huu uzi !! Niongeze maujuziTakers have no shame
Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani
Wakuu salaam, Tofauti na mama yako na mke wako wanawake wengine wote achana kujifanya kuwasaidia wanakuchora tu. Wanawake ni viumbe wabinafsi kuliko viumbe wengine wote chini ya mawingu mpaka chini ya bahari. Kuna tofauti ndogo ndogo baina yao ila kwa ujumla package nzima wako sawa wote...www.jamiiforums.com
Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani
Na Hilo ni tatizoWanawake asilimia kubwa saiv wamekuwa kweny kundi la omba omba wakijifanya matawi ya juu kumbe omba omba
Pesa sio Rahisi kuitoa kiivo Mkuuozaaa Ngosha mwanangu uzi wa moto huu 😂😂😂
Takers have no shame.Aise usinikumbishe majanga yangu ya laki tatu....mwanamke mshezi kweli yule😭😭😭😭
Alafu hawa warembo wanadhani pesa tunachuma tuu.
Out of pointIshini nao kwa akili....
Hili nitalizzungatiaChukua room mtafune halafu mpe nauli tu, na hakuna kitu atafanya. Hiiiiiiii...nkoiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha kwamba uitifuefue mpaka baasi . Sema nn, K haikomolowi Mkuu!!Punguza makasiriko dokta,
Imeandikwa "muishi nao kwa akili"
Na hizi ndo akili zenyewe Sasa.
Sasa unataka mpk utamkiwe kwamba "nauza uchi kwa mil.3" ili isaidie Nini?
Wee jikadirie tu,
Kama uwezo unao, na mbunye yake Ni kipaumbele kwako.
Wee mpe tu ila hakikisha unamfuja ipasavyo mpk ufidie ile thamani halisi ya pesa yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni impossible tense kabisa. Kwanza mwanamke anayeomba kila mara hafai, ni bora kutafuta mwanamke ambaye ukimhitaji mnakamuana mkitoka unampa chake life linasonga. Hizi mambo za every now and then mara 50k mara 100k, huo uchumi uko wapi wa kutoa pesa hovyo.ni kitu ambacho ni impossible
Alishakudharau ndio amaana alitaka kukupiga mzinga. Aliona we kama wakuja tu. Sema amegonga kisiki cha mpingo.Huyu Bidada niliwah fika Ofisi kwake nilikua nahitaji huduma Fulani ivi.
Nilivutiwa naye yaan ni ile Tamaa tu kuona ni jeupe jeupe Nene limejaa mahips matako n.k.
Alinipea namba ila kwenye kumuomba Mzigo akawa mgumu, alafu madharau mengi sana Sijui na kunichukulia poaaa
Unajua Binafsi huwa sitaki kua kama nanunua, Huwa napenda nimjali mwanamke Kwa Msukumo wa Moyo wangu sio sababu ana K !! Ndio kama K si zipo nyingi yanini Sasa habari za 'fanya hivi fanya vile, aaa bwanaa wewe wengine kamba zetu zinatukutanisha na PISI/VISU mamia Kwa mamia na Kila siku !.
Tuyaache hayo, Siku Kadhaa mbele ndo akapata kunijua Jua hivi naona Sasa akahisi kumuhitaji ndio sehem ya yeye kunipiga......Basi Jana mida ya saa 10 Huyu Bidada Jana anarudia kosa lilelile, " et Nimkopeshe Milioni 3 za kitanzania jamani, kwamba nikishampa ndio naye anipe mbunye yake " hiiiiiiiiiiiiii Nkoiiii !!!
View attachment 2316571
Wee yaan 3M kisa K , sibora mtu anaingia Kwa makubaliano mengine ? Hahaha
Yaan 3M kisa K ?? K ?? Uwiii Mimi sio Bachela nahata kama ningekua Bachela, Mimi sijafikia hatua ya kutoa Pesa Et ndio nipewe K .
Haaaaa Bora kama angekua anauza, ningeenda Moja Kwa Moja kwenye 'Bei', ila Mimi mwenyewe nikutongoze, maana yake nimeamua Kwa Dhamira yangu, wee badala ya kuacha Nikupe Mimi Hela, anataka kulazimisha nitoe Hela kisa mbunye ??.
View attachment 2316568
Alafu nyie Wanawake sikilizeni na heshimuni sana watu , acheni dharau na mbwembwe , Sio mpaka uone mtu ana ndinga ndo uheshimu .yaan Kwa akili ya chekechekea tu Hivi mtu kama Mimi kama siendeshi Gari, Huoni ni maamuzi yangu tu kwamba Pesa yangu Kuna Mahali nimeielekeza ??!!. Haya mambo ya kuheshim watu kisa mnaona wanavitu, matokeo yake "Mmelika Bure sababu jamaa mjini wanaadhima ndinga hawana Hela sana sana atakununulia Pombe na Kitimoto ;!!!!".
unakuta demu anakuchukulia poaaaa kisa unendesha Boxer , baadae akishakujua vizuri kwamba wewe nani, una nn, na nn ,ndo anaanza kukuzoea Kwa speed ya 6G .....
et unakuta Manzi una namba yake naye anayako, huenda unamsalimia lkn anauchuna au yeye tu Salam hamna, alafu Kesho na kesho kutwa anapigwa na kitu kizito kinachohitaji Pesa, hapo ndipo anakumbuka Kuna Boyaa anaitwa Carlos The Jackal hiiiiiiii Nkoiii wasukuma tumeongoza Nchi Kwa miaka 5 !!. Na Si tu KUONGOZA Bali tulitoa Uongozi ambao utaendelea kua Kumbukumbu Kwa vizazi na vizazi hapa Nchini kama uongozi Bora na wakuigwa !!.
Kwani wewe na mzazi wake unampa hadi hela ya kula,? Mambo mengine mnajitakia tuKabisa Mkuu, mwanamke unaweza kumpa pesa inayomfanya aendesha maisha yake kila hata kwa kumpatia kidogo kidogo alafu anasahau na kukuona haujafanya chochote. Nilikuwa na mahusiano na mwanamke kwa miaka mitatu kwa kipindi chote hicho hakuwahi kutumia pesa yake kwa mahitaji niseme madogo madogo hata chakula nilikuwa nagharamia. Lakini alikuja kunizarau sana na kuniambia nipigr hesabu alipe kiasi cha fedha nilichotumia katika muda wote huo. Nikaone huu ni ujinga. Bado nipo naye lakini amepunguza thamani yake kwangu, "nahusiananaye kwa akili" hawa watu baadhi yao ni wainga sana.
Naona vitukoUnacheka Mkuu
Jamaa umenichekesha sana[emoji13][emoji13][emoji13]mwanamke akikuona huna gari anakuona wewe ni Mandonga mtukazi tu na wanadharau hao.
Baadae akikujua kiundani upo vyema anaanza kujichekelesha
Siku hizi mimi hata buku sitoi. Kwanza nina mke wangu nyumbani ananipenda wamebaki kunimezea mate tu.Jus nilikopwa laki nikamwambia Sina akasema nipe yeyote ile uliyonayo bas nikasema ipo shiling elf 30 alfu kumbuka siyo demu wangu.nikamuambia aje gehto kuchukuwa ndiopo akanijibu shindwa kwa damu ya yesu
Nikamuuliza ukitka nikupe bure hyo 30 nn
Atajijua mwenyewe siumeshamkula , do you think ukimpa hizo ml 3 then aka kukimbia na wewe utajisikiaje !?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Baadae yatafuata matusi hayo
Sasa kumbe wenyewe ndio mnawajengea kuwa mkiwapa hela lazima waje ghetto, wanarahisisha kuwaambia muwape hela waje ghetto bado mnaanzisha Uzi, mnataka wafanyaje?Jus nilikopwa laki nikamwambia Sina akasema nipe yeyote ile uliyonayo bas nikasema ipo shiling elf 30 alfu kumbuka siyo demu wangu.nikamuambia aje gehto kuchukuwa ndiopo akanijibu shindwa kwa damu ya yesu
Nikamuuliza ukitka nikupe bure hyo 30 nn