Milipuko viwanja vya ndege viwili vya Jeshi Moscow

Katika kitu kibaya ambacho Putin umetuuzi washabiki wako ni hili, haiwezekani kanchi kadogo kashambulie Superpower tena kwao tena kambi za jeshi muhimu, kweli Putin umeshindwa kudhibiti anga? Ki uhalisia, Putin umetuudhi sana Warusi wa Chato, Chamwino, Tabora na Ubungo. Warusi wenzangu wa Madale na Kawe leo tumeamua tuweke siku ya maombolezo kwa warusi wenzetu waliokufa kutokana na shambulio la Ukraine.
 
Madhara ya mashambulizi ya Ukraine ni madogo Sana
 
ukraine wakifumua mshono. wananyamaza wanamuachia mwenye mshono wake apige mayowe.
kazi ya ukraine airforce ni kumfundisha superpower ku hit tough target. na sio soft target kama vile matransfoma ya umeme ya mitaani.
Anayepata hasara Sana ni Ukraine Kwa sababu anashambuliwa kila mji na kila eneo.hilo shambulio halina madhara makubwa Kwa urusi bado ndege zitaendelea kupiga Ukraine Kila siku.
 
Zinaingizwa gia tu, sasa gia ipo namba 2, soon itaingia 3. NATO kama kawaida yao yamkini wakawa ktk nyuma ya pazia, soon tutaambiwa mikoa ya urusi ilopakana na Ukraine sio salama.
 
Tuna s300, s400 n.k na bado drone zinapiga, sisi ndio bora ktk anga duniani kuliko mtu yoyote, sisi warusi wa chato tunadharirika mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…