Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Nakubaliana na hiyo namna 2.Hapa panaweza kuwa na Mambo mawili.
1. Ukraine amemshambulia Russia.
2. Russia anajitafutia mandate ya Kufanya full combat bila kulaumiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana na hiyo namna 2.Hapa panaweza kuwa na Mambo mawili.
1. Ukraine amemshambulia Russia.
2. Russia anajitafutia mandate ya Kufanya full combat bila kulaumiwa.
Weka link hayo maneno hata wewe unaweza andikaKwenye habari umeambiwa kabisa "Russia Defense Ministry said....". Au lugha ya malkia mtihani kaka
Ukraine hawezi fanya hilo kosa, bado anakumbuka mziki wa urusi alipo lipua daraja kule crimea.Siku mbili kabla, Ukraine ilijaribu drone zake mpya zinazoweza fikia target mpaka 1000km. Jana Base mbili ndani ya Urusi zilizoko mamia ya km zikapigwa.
Sasa tutaaminije kama wameshambulia wao ama kwanini hua hawatangazi au kuna kitu wanakikhofia !!!??Ukraine wakifanya mashambulizi ndani ya Urusi hua hawakubali wala kukataa,so mpk ss hawajatoa tamko lolote.
Kuna sehem nimetilia shaka hii habari !!!??Kwanza kabisa unakubali hii habari sio propaganda?
Wizara ya Ulinzi ya Urusi imethibisha ni shambulizi lililofanywa na Ukraine.Sasa tutaaminije kama wameshambulia wao ama kwanini hua hawatangazi au kuna kitu wanakikhofia !!!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo munaamini wizara ya URUSI tena [emoji16]Wizara ya Ulinzi ya Urusi imethibisha ni shambulizi lililofanywa na Ukraine.
S-400 ilichomwa na Byraktar tb 2 kule Nothern Syria na Qatar walikuwa wametoa Oder naona Walicancell.
Tuliambiwa hata mbegu ya mtama inaonekana, kumbe ilikuwa fix yale mapipa ni ulaghai tu.
Mkuu nchi zote za kikomunisti uongo ni mwingi sana,kuanzia urusi,china na nchi za afrika zilizowahi ingia huko.Tuliambiwa hata mbegu ya mtama inaonekana, kumbe ilikuwa fix yale mapipa ni ulaghai tu.
Hata saa mbovu kuna wakati inasema ukweli
Hawa Warussi wa hapa Rau Madukani naona wamekaa kikao na kila mmoja anaongea kwa jazba na wanamtaja-taja sana Putin. Yawezekana wamechanganyikiwa pakubwa.Katika kitu kibaya ambacho Putin umetuuzi washabiki wako ni hili, haiwezekani kanchi kadogo kashambulie Superpower tena kwao tena kambi za jeshi muhimu, kweli Putin umeshindwa kudhibiti anga? Ki uhalisia, Putin umetuudhi sana Warusi wa Chato, Chamwino, Tabora na Ubungo. Warusi wenzangu wa Madale na Kawe leo tumeamua tuweke siku ya maombolezo kwa warusi wenzetu waliokufa kutokana na shambulio la Ukraine.
Hatari sana,, hizi air defence ziko overated, haijalishi ziwe za Russia ama NATO,, mpaka sasa mchina na iran tu ndio hawajaniangusha kwa air defence. 😂
Halafu drones zilizotumika ni za enzi za soviet union, miaka ya 70,, nina wasiwasi israel wanasaidia kuzisuka upya, utumbo(electronics, sensors, explosive, guidence systems)Hawa Warussi wa hapa Rau Madukani naona wamekaa kikao na kila mmoja anaongea kwa jazba na wanamtaja-taja sana Putin. Yawezekana wamechanganyikiwa pakubwa.
Tatizo la Russia, wana pull punches🙆♀️😁,huwezi ukapigana na adui huku unamuonea huruma,, sasa transformer wanaharibu, wazungu wanajaza mpya na zinafungwa faster,, kiufupi umeme wa ukraine hauharibikiki, kwana magharibi yote wako standby kusaidia na hata uturuki wanataka kutuma meli za kufua umeme ukraine,, Russia anatakiwa kulenga targets za ukweli bila kujali kuumiza hao waukraine, ama sivyo hii ngoma itaenda miaka hata 5,ukraine wakifumua mshono. wananyamaza wanamuachia mwenye mshono wake apige mayowe.
kazi ya ukraine airforce ni kumfundisha superpower ku hit tough target. na sio soft target kama vile matransfoma ya umeme ya mitaani.
Hana huo ubavu tena. Ameshatepeta mazima. Hiyo milipuko kwenye viwanja 2 vya ndege T-95 ni advertisement(trailer) tu. Shida ya Mrussi ni kwamba alijisahau sana na kuendelea kujilimbikizia na kuhifadhi mazagazaga ya zana-vita za zamani sana e.g. T-95 ni ndege kubwa ya kivita ya 1952. Hata inawezekana hizo nuklia anazojigamba nazo zikawa ni mojawapo katika hayo mazagazaga. Ilipaswa intelijensia yake iwe makini sana na kumsoma Ukraine kabla hajafanya Uvamizi. Kwa maneno ya mitaani = Imekula kwake.Tatizo la Russia, wana pull punches🙆♀️😁,huwezi ukapigana na adui huku unamuonea huruma,, sasa transformer wanaharibu, wazungu wanajaza mpya na zinafungwa faster,, kiufupi umeme wa ukraine hauharibikiki, kwana magharibi yote wako standby kusaidia na hata uturuki wanataka kutuma meli za kufua umeme ukraine,, Russia anatakiwa kulenga targets za ukweli bila kujali kuumiza hao waukraine, ama sivyo hii ngoma itaenda miaka hata 5,
Pia Russia anatakiwa aingize majeshi via belarus ili aichukue kiev,, alifanya kosa sana kurudisha askari nyuma kutoka kiev,,
Huwezi kupigana na adui yako huku unamuonea imani eti ni dugu moya
HahahahaHawa Warussi wa hapa Rau Madukani naona wamekaa kikao na kila mmoja anaongea kwa jazba na wanamtaja-taja sana Putin. Yawezekana wamechanganyikiwa pakubwa.