Milipuko viwanja vya ndege viwili vya Jeshi Moscow

Milipuko viwanja vya ndege viwili vya Jeshi Moscow

Nikikumbuka kabla ya hii vita hzo air defenses zilivyokua zinasifiwa humu kwamba ndo Bora kabisa duniani naishiwa nguvu[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanzo wa vita ulikuwa unatumia ID gani mbona hukuwahi kuonekana hapa?
 
Hahahaha hii comment ni ya Elungata au mwingine?! Leo hii unaiponda S400 wakati miaka yote ulikua unaisifu humu.

Huyo mchina air defenses si ananunua kwa Mrusi,mpk SS sijaona air defenses km za muIsrael.
ISRAEL hii inayopigana na HAMAS ama nyengine

Yaani taifa linapigana na wanamgambo mnalisifu [emoji16][emoji23][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini Ukraine itolee taarifa ya kushambuliwa kwa Russia, taarifa ambayo Wizara ya Russia yenyewe imeshazungumzia. Au huamini taarifa ya Russia, huwa ni waongo au sio
Unajiridhishaje yaani

Wizara ya RUSSIA niwaongo hata ww ushawah sema hili ndio maana tunataka ukweli toka huko UKRAINE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la Russia, wana pull punches🙆‍♀️😁,huwezi ukapigana na adui huku unamuonea huruma,, sasa transformer wanaharibu, wazungu wanajaza mpya na zinafungwa faster,, kiufupi umeme wa ukraine hauharibikiki, kwana magharibi yote wako standby kusaidia na hata uturuki wanataka kutuma meli za kufua umeme ukraine,, Russia anatakiwa kulenga targets za ukweli bila kujali kuumiza hao waukraine, ama sivyo hii ngoma itaenda miaka hata 5,
Pia Russia anatakiwa aingize majeshi via belarus ili aichukue kiev,, alifanya kosa sana kurudisha askari nyuma kutoka kiev,,
Huwezi kupigana na adui yako huku unamuonea imani eti ni dugu moya
Upo manzese kwa mfuga mbwa eti unasema Urusi anamuonea huruma Ukraine? Umekula maharagwe ya wapi wewe? Mrusi wa Buza kwa Mpalange unaleta habari hizi kweli? Huoni hata aibu?tukubali Urusi imetuangusha sana sisi Warusi wa Mchambawima.
 
ISRAEL hii inayopigana na HAMAS ama nyengine

Yaani taifa linapigana na wanamgambo mnalisifu [emoji16][emoji23][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka limeua hadi mwanahabari wa waarabu aljazeera na limegoma kuhojiwa tena kila siku mpalestina mmoja anakufa.....😅😅😅

Kuja kushtuka Palestina yote imekuwa Israel 🤓🤓🤓
 
vita vya siku sita.
mnasahau haraka sana vijana.
Yap. Mkuu naomba uwakumbushe aisee kwani vijana wa dotcom ni wavivu sana kusoma. Tena waambie ni mataifa kumi (10) yalishirikiana dhidi ya kataifa kadogo kama mkoa wa Kilimanjaro- lakini wote 10 waligwaya hawakufua dafu na baadhi walinyanganywa ardhi yao.
 
6 day War. Misri na Mataifa ya Kiarabu hayana hamu kabisa.
Lakini una habari Wairsrael walipoteza ndege ngapi kwenye vita hiyo - mpaka Godier Meyer kala zimika kutuma ndege chungu mzima kutoka Merikani kupeleka ndege za vita -SAM-6 air defense sytems ndio zilohusika zaidi katika ufagizi wa ndege za Israel kutoka air space ya Misri - Syria walukuwa woga kidogo na waliwasaliti wa Misri kwenye operation nzima - ndio maana Waarabu si watu wa kuaminika hata kidogo hata SAM-6 iliibiwa na makomando wa Israel naskia wao walikwenda kusali na kusahau lindo mambo mengine ya Waarabu ukiyasikiliza na pasua kichwa kabisa.
 
Lakini una habari Wairsrael walipoteza ndege ngapi kwenye vita hiyo - mpaka Godier Meyer kala zimika kutuma ndege chungu mzima kutoka Merikani kupeleka ndege za vita -SAM-6 air defense sytems ndio zilohusika zaidi katika ufagizi wa ndege za Israel kutoka air space ya Misri - Syria walukuwa woga kidogo na waliwasaliti wa Misri kwenye operation nzima - ndio maana Waarabu si watu wa kuaminika hata kidogo hata SAM-6 iliibiwa na makomando wa Israel naskia wao walikwenda kusali na kusahau lindo mambo mengine ya Waarabu ukiyasikiliza na pasua kichwa kabisa.
Sasa unadhani kuwa wasingepoteza kitu. Ile vita zaidi ya mataifa 6 ya kiarabu yaliungana. Yaliangamize taifa la israel.
 
Sasa unadhani kuwa wasingepoteza kitu. Ile vita zaidi ya mataifa 6 ya kiarabu yaliungana. Yaliangamize taifa la israel.
Sikiliza kwa umakini nilicho zongomza kwanza nimesema manemo mengine ya Waarabu ukiyasikiliza ni "pasua kichwa kabisa" hawana umoja - hile vita ya 1973 walisha shinda kabisa!!!
 
Aisei tena ndani ya Urusi, he he he!! Supapawa alisema akishambuliwa ndani atafyatua manyuklia...
Sasa Putin ameweka wazi kuwa USA yuko vitani kificho : fighting "Proxy" war. Vita halisi inanukia

FUATILIA HAPA
LIVE UPDATESLIVE UPDATES,

Russia-Ukraine live: US fighting ‘indirect war’, says Kremlin​


By Edna Mohamed and Beatrice Zemelyte
Published On 22 Dec 202222 Dec 2022

  • Kremlin says the United States offering Patriot missile system to Ukraine and a lack of discussions on peace talks is evidence the US was fighting a “proxy war” with Russia.
  • Russian defence minister, Sergey Shoigu, visits armed forces fighting in Ukraine, the RIA news agency cited the defence ministry as saying.
  • Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy has told the US Congress that aid to Ukraine was an investment in democracy and “not charity”.
  • The US announced $1.85bn in additional military assistance for Ukraine, including a transfer of the Patriot missile system.
    INTERACTIVE_PATRIOT_AIR_DEFENCE_SYSTEM_DEC14
Read less
 
Back
Top Bottom