Millard Ayo kapoteza maboya vijana wengi waliokuwa wanatamani kuwa kama yeye

Millard Ayo kapoteza maboya vijana wengi waliokuwa wanatamani kuwa kama yeye

eti skuizi naskia mtu akiwa bize sana na mambo yake bila kuwa na dem au madem au asipojihusisha na mapenzi na ke yeyote tena ukute ni maarufu na anapesa anaitwa shoga au anaambiwa hadindishi.

Je ni lazima kujihusisha na mapenzi au kuoa????
Ukijibiwa nitag,
Na sio watu maarufu hata watu wa kawaida lol
 
Mbona mashoga wameoa kabisa na Wana watoto mbona, hyo kutokuenekana na demu sio excuse sikuhizi wanaume mnakulana nyie kwa nyie mbona, hata wasio na hela
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimekuwlewa ila wewe umekuwa mnafiki wa kiwango Cha juu sana, kwanza milard ayo zaidi ya hii topic au mbili sijawahi ziona, naomba uweke ushahidi usio na mashaka yoyote, maana humu jukwaani na comments zaidi ya 10000 iweje useme huwa na msema huyo ayo.
Hafu nyie wanaume si ndio mnakula vijambio vya wanaume wengine mkija hadharani mnapinga huo ushoga kwanini usihalalishwe kuliko huu unafiki wa kujifanya kupinga huku mnafanya, maana kila mtu si yuko huru na mwili wake aisee.
Unikome kunilisha maneno tena ya ushoga ni wewe umesema hadharani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lisemwalo lipo mkuu na duniani hamna Siri, shida sikuhizi hyo ni michezo ya wanaume wengi sema hao ni maarufu, ndio maana wanawake tumekuwa na kimsemo chetu, sikuhizi ukikuta mchepuko ni mwanamke mwenzako shukuru Mungu, waweza kuta mwanaume ni mke mwenza kwako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
As long as anazalisha no problem at all, unfortunately hajawahi fanya hivo ka kina b twelve so usiingize hapa na hata akifanya naheshimu maamuzi na starehe yake mkuu, so relax
Jibu zuri na umemkomesha. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bora hata wewe umeona hili watu wananishambulia tu bure, hii kitu haijawahi kuwa nyepesi hata huko kwa wazungu napo bado Hali haijawa wazi nikiangaliaga clip jinsi wazazi wanavosikitishwa na hyo Hali Hadi kulia watoto wao wakiume wakibadili jinsia hata Caitlyn Jenner alivo jibadili Jinsia yake na kuwa mwanamke familia yake nzima ililia sana kuanzia mke Hadi watoto, akaanzisha na kipindi cha being Caitlin Jenner kikakosa watazamaji kikafutwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukiwa shoga lazima watu waseme tu. Hata ulaya na marekani bado ni hivyo. Siyo kitu cha kawaida. Kwetu kama usemavyo mkuu. Ni aina ya mapenzi iliyochukuwa kasi sana. Hasa kwa vijana walio na kazi nzuri malazi nk. Hata fununu kwamba kituo fulani kwa upande wa muziki wanahusika na rushwa ya ngono tena ya jinsia moja. Huyu Ayo ishazungumzwa mpaka twaona kawaida. Na siyo kana kwamba hatumpendi. Ila ukweli ndio huo. Hongera kwake kwa kupanchi. Ila ni ……
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku hizi hii kitu inapigiwa promo sana katika movie zote hata series unakutana nayo sana hayo manyanya na wanajifaharisha kwa kusema mbele za watu kwamba wao ni manyanya .Mungu tustiri tunakoelekea siko kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23]if stress was a person oooh, dah principle yangu moja nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko I'm sometimes blunt, na haihusiani na ugumu wa maisha, I have a roof to sleep, nakula lolote, Sina stress I'm happy enjoying my life na kubishana na watu humu JF mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hii sio kwa celebrities tu, hata kwa watu wa kawaida mitaani, ukiwa bize na mambo yako ukaachana na mambo yasiyo na maana ya mademu, basi stori zako utazikuta mtaa mzima kwamba unaliwa, hudindishi, mchicha mwiba, nyoka wa maonesho, nyuki wa mashineni etc. Kumbe umefocus tu na maisha, wabongo inabidi mbadilike pumbav.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukweli hauwezi kubadilika kuwa Uongo..
Lakini ni kheri tujifunze kukaa kimya kwa jambo tusiloweza kulithibitisha..
Shutuma za namna hii kwa jamii yetu ni nzito sana,bila uthibitisho ni kuharibiana sifa tu..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom