Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Sisi tunagombea like huku JF.
Sijui kwa mwezi tunapokea sh ngap?
Sijui kwa mwezi tunapokea sh ngap?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na tumefungua uzi kabisa wa ukitaka "like" unakwenda kule unachukua "like" kadhaaSisi tunagombea like huku JF.
Sijui kwa mwezi tunapokea sh ngap?
Tafakari pia operating costs, zinazopelekea hayo matangazo na watazamaji wake kuwepo, lazima kuna gharama hiyo pesa haijaja hivihivi tuu.Namnukuu Harmonize kwenye Kipindi cha Xxl Cloudsfm. Alisema , "Kila mwezi napokea Million 5 toka YouTube. Kwahyo najisikia raha Mama yangu kumpa elfu 50 za matumizi kila siku."
Jiulize kama Harmonize ana Subscribers 139K anavuta hiyo. je, Millard Ayo mwenye 500K? Si anavuta si chini ya Million 25 + Matangazo yake binafsi =Million 50.
Kwahyo mtoa mada hajacheza mabali.
NOTE:
YouTube wanalipa kupitia matangazo hata kama Uki skip, Jua hiyo ni hela tayari maana lazima ulitazame kwa muda flani ndio uskip.
Usiamini vya kuambiwa hata mimi naweza kuandika hapa nina bilioni mia tisa....u see so simple.
umenena vema!Namnukuu Harmonize kwenye Kipindi cha Xxl Cloudsfm. Alisema , "Kila mwezi napokea Million 5 toka YouTube. Kwahyo najisikia raha Mama yangu kumpa elfu 50 za matumizi kila siku."
Jiulize kama Harmonize ana Subscribers 139K anavuta hiyo. je, Millard Ayo mwenye 500K? Si anavuta si chini ya Million 25 + Matangazo yake binafsi =Million 50.
Kwahyo mtoa mada hajacheza mabali.
NOTE:
YouTube wanalipa kupitia matangazo hata kama Uki skip, Jua hiyo ni hela tayari maana lazima ulitazame kwa muda flani ndio uskip.
Nahisi hicho ni kiwango anachoingiza kwa Mwezi. Akilipa Wafanyakazi wake , Jengo , Umeme , Usafiri, Mawasiliano , Kodi anabakiwa na pesa yake.Tafakari pia operating costs, zinazopelekea hayo matangazo na watazamaji wake kuwepo, lazima kuna gharama hiyo pesa haijaja hivihivi tuu.
Waache waendelee kudanganywa hao ....ni rahisi hata kutumia tigo zao ..maanaSijui ni kwanini Watanzania tunapenda Kudanganyana hivi kila uchao.
kwa kuwa mtangazaji boraHongera kwa Kudanganywa au?
Ka sababu umemtolea lugha si mzuri ndo maana nikasema hivyo. Sorry
Mitanzania mingi ni mijinga sana
Mbumbumbu haielewi hata kusoma haijui na mingi iko mitandaoni
Hata kwenda google tu kujua jinsi wanavyolipa youtube hawawezi
Tuna safari ndefu sana
SHEMEJI yetu kwake au kwa hela zake..?Kumbee. Loh. Ivi ameoa kweli. Niwe shemeji yenu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ujana haubagui.[emoji53][emoji53]
Namnukuu Harmonize kwenye Kipindi cha Xxl Cloudsfm. Alisema , "Kila mwezi napokea Million 5 toka YouTube. Kwahyo najisikia raha Mama yangu kumpa elfu 50 za matumizi kila siku."
Jiulize kama Harmonize ana Subscribers 139K anavuta hiyo. je, Millard Ayo mwenye 500K? Si anavuta si chini ya Million 25 + Matangazo yake binafsi =Million 50.
Kwahyo mtoa mada hajacheza mabali.
NOTE:
YouTube wanalipa kupitia matangazo hata kama Uki skip, Jua hiyo ni hela tayari maana lazima ulitazame kwa muda flani ndio uskip.
SASA We Ndo Hujui Unachokiongea! Hata Idadi Ya Viewers Inaangaliwa Kwenye Malipo Ya YouTube! Thought Na Hilo La Matangazo Pia Huingiza Mkwanja Pia.Kama hamna uhakika msiwe mnakuja tudanganya hapa
Youtube hailipi kwa views au kwa idadi ya watu walio view content yako
Youtube wanalipa kwa matangazo yanayotokea kwenye video uliyoweka
Piga hesabu sasa ni matangazo mangapi ya youtube unayakuta kwenye video za millardi au diamond
Kwa ad views 1000 mtu hupata approximately 7.9 dollars ambazo hapo youtube wanakata 45pc wanaichukua wao
Ili upate angalau dollar 3000 watakiwa upate viewers watakao view ads kwenye video zako zaidi ya viewers milioni moja
Kuna youtube superstars wenye subscribers zaidi ya milioni wanaishia hicho ulichosema kuhusu diamond na hiyo ni hela ya mwaka mzima sio ya mwezi kama unavyotaka danganya watu
boss mbona vyote hivyo anafanya mda tuu s ndo ayotv au wataka hadi ionekane kwe tv na anastudio anaandaa vipindi na kuuza redio na tv mbalimbaliUyu angefungua station yake au atengeneze vipind auze...
We mjaze ujinga aje apolomoke.....Uyu angefungua station yake au atengeneze vipind auze...
Ukiona katika nchi kuna raia anakula mshahara zaid ya rais wa nchi hiyo.....ni hatar kwa usalama wa nchi....[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]Ml 80 kwa mwezi that's means anamzidi Magu kwa mshahara? Haaaa haaaa hi hatarii
boss mbona vyote hivyo anafanya mda tuu s ndo ayotv au wataka hadi ionekane kwe tv na anastudio anaandaa vipindi na kuuza redio na tv mbalimbali