Millard Ayo, mtangazaji tajiri zaidi Tanzania, analipwa Mil 50-80/month na Youtube

Millard Ayo, mtangazaji tajiri zaidi Tanzania, analipwa Mil 50-80/month na Youtube

Namnukuu Harmonize kwenye Kipindi cha Xxl Cloudsfm. Alisema , "Kila mwezi napokea Million 5 toka YouTube. Kwahyo najisikia raha Mama yangu kumpa elfu 50 za matumizi kila siku."

Jiulize kama Harmonize ana Subscribers 139K anavuta hiyo. je, Millard Ayo mwenye 500K? Si anavuta si chini ya Million 25 + Matangazo yake binafsi =Million 50.

Kwahyo mtoa mada hajacheza mabali.

NOTE:
YouTube wanalipa kupitia matangazo hata kama Uki skip, Jua hiyo ni hela tayari maana lazima ulitazame kwa muda flani ndio uskip.
 
Namnukuu Harmonize kwenye Kipindi cha Xxl Cloudsfm. Alisema , "Kila mwezi napokea Million 5 toka YouTube. Kwahyo najisikia raha Mama yangu kumpa elfu 50 za matumizi kila siku."

Jiulize kama Harmonize ana Subscribers 139K anavuta hiyo. je, Millard Ayo mwenye 500K? Si anavuta si chini ya Million 25 + Matangazo yake binafsi =Million 50.

Kwahyo mtoa mada hajacheza mabali.

NOTE:
YouTube wanalipa kupitia matangazo hata kama Uki skip, Jua hiyo ni hela tayari maana lazima ulitazame kwa muda flani ndio uskip.
Tafakari pia operating costs, zinazopelekea hayo matangazo na watazamaji wake kuwepo, lazima kuna gharama hiyo pesa haijaja hivihivi tuu.
 
Namnukuu Harmonize kwenye Kipindi cha Xxl Cloudsfm. Alisema , "Kila mwezi napokea Million 5 toka YouTube. Kwahyo najisikia raha Mama yangu kumpa elfu 50 za matumizi kila siku."

Jiulize kama Harmonize ana Subscribers 139K anavuta hiyo. je, Millard Ayo mwenye 500K? Si anavuta si chini ya Million 25 + Matangazo yake binafsi =Million 50.

Kwahyo mtoa mada hajacheza mabali.

NOTE:
YouTube wanalipa kupitia matangazo hata kama Uki skip, Jua hiyo ni hela tayari maana lazima ulitazame kwa muda flani ndio uskip.
umenena vema!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafakari pia operating costs, zinazopelekea hayo matangazo na watazamaji wake kuwepo, lazima kuna gharama hiyo pesa haijaja hivihivi tuu.
Nahisi hicho ni kiwango anachoingiza kwa Mwezi. Akilipa Wafanyakazi wake , Jengo , Umeme , Usafiri, Mawasiliano , Kodi anabakiwa na pesa yake.
 
Namnukuu Harmonize kwenye Kipindi cha Xxl Cloudsfm. Alisema , "Kila mwezi napokea Million 5 toka YouTube. Kwahyo najisikia raha Mama yangu kumpa elfu 50 za matumizi kila siku."

Jiulize kama Harmonize ana Subscribers 139K anavuta hiyo. je, Millard Ayo mwenye 500K? Si anavuta si chini ya Million 25 + Matangazo yake binafsi =Million 50.

Kwahyo mtoa mada hajacheza mabali.

NOTE:
YouTube wanalipa kupitia matangazo hata kama Uki skip, Jua hiyo ni hela tayari maana lazima ulitazame kwa muda flani ndio uskip.

Wewe ni moja ya wajinga ninao waita hapa. Youtube hawalipi kama usemavyo wewe, youtube wanalipa endapo hilo tangazo litaangaliwa kwa sekunde 30, tena mtu analipwa kama video ni yake, mtu analipwa dollar 7 kwa views 1000 za matangazo yaani ad views 1000, tofauti na hapo utakuwa wadanganya watu na ndio maana nakuita mjinga...
Kingine usichojua ni kuwa kwenye hayo malipo bado kuna 45% ya youtube ambayo wanaikata kwenye malipo yako.
Muulize huyo harmo lini kapokea hiyo hela tena tokea alipo pata siku ya kwanza...

Ingekuwa rahisi hivyo watu wangetengeneza stations za kuangalia tu youtube ili mwisho wa sku wapate hela ndefu
 
Kama hamna uhakika msiwe mnakuja tudanganya hapa
Youtube hailipi kwa views au kwa idadi ya watu walio view content yako

Youtube wanalipa kwa matangazo yanayotokea kwenye video uliyoweka
Piga hesabu sasa ni matangazo mangapi ya youtube unayakuta kwenye video za millardi au diamond

Kwa ad views 1000 mtu hupata approximately 7.9 dollars ambazo hapo youtube wanakata 45pc wanaichukua wao
Ili upate angalau dollar 3000 watakiwa upate viewers watakao view ads kwenye video zako zaidi ya viewers milioni moja

Kuna youtube superstars wenye subscribers zaidi ya milioni wanaishia hicho ulichosema kuhusu diamond na hiyo ni hela ya mwaka mzima sio ya mwezi kama unavyotaka danganya watu
SASA We Ndo Hujui Unachokiongea! Hata Idadi Ya Viewers Inaangaliwa Kwenye Malipo Ya YouTube! Thought Na Hilo La Matangazo Pia Huingiza Mkwanja Pia.
 
Uyu angefungua station yake au atengeneze vipind auze...
boss mbona vyote hivyo anafanya mda tuu s ndo ayotv au wataka hadi ionekane kwe tv na anastudio anaandaa vipindi na kuuza redio na tv mbalimbali
 
Back
Top Bottom