Millard Ayo post zake siku hizi hazina wachangiaji kwa sababu hazingumzii Issue za bandari

Millard Ayo post zake siku hizi hazina wachangiaji kwa sababu hazingumzii Issue za bandari

Joined
Aug 4, 2011
Posts
97
Reaction score
108
Kwa Sasa ukiangalia post nyingi za Milard Ayo hazina (hazitrend ) hata kidogo Kwa sababu hapost kabisa mambo yanayoendelea kuhusu ubinafishishaji wa Bandari ya DSM na bandari nyingine Kwa DP WORLD.

Issue ya bandari imekuwa hot cake Kwa kila mtu anayepita mtandaoni.Hata Yanga na Simba na usajiri wao Bado haujazima issue ya Bandari.

Angalia hapa, mtu yeyote anayepost mambo nje ya bandari wachangiaji ni wachache mno ukilinganisha na kabla ya Issue ya bandari.

Mfano: Angalia post za Milard Ayo Kwa Sasa hazivutii hata kidogo na hii ni Kwa sababu mambo ya bandari ameyaweka pending wakati ndo issue kubwa nchini.
 
Millard mbona yupo vizuri! Sema Kuna mda yupo selective sana

Geita wamemkoma
 
Achana na ishu ya Bandari, Millard naona kashiba.

1. Taarifa zake nyingi zinachelewa sana. Unakuta JF nimesoma taarifa, ila nikaona kwa Millard baada ya siku mbili.

Maana yake ni kuwa, taarifa atakayoiwasilisha, walaji wameshaipata muda mrefu. Hivyo si jambo jipya kwao.

2. Millard kawa 'biased'. Anaripoti taarifa kulinganisha na itakavyompendeza yeye ama wakubwa wake. Kuna taarifa nyingi sana kwa Millard huzikuti.

Millard anaanza kupoteza ushawishi. Hata number za views siku hizi zimepungua mno. Kama ataamua kukaza kichwa, basi atapoteana ama kubaki kuwa mwandishi wa kawaida kabisa.
 
Hata nyimbo nying saiz hazipendwi sababu hazizungumzii bandar, hata bos wangu nimeanza kumuona kama mdada sababu hazungumzii suala la bandar, hata mkewangu sikuiz namuona kawa mbibi sababu hazungumzii suala la bandar
 
Achana na ishu ya Bandari, Millard naona kashiba.

1.Taarifa zake nyingi zinachelewa sana. Unakuta JF nimeskma taarifa, ila nikaona kwa Millard baada ya siku mbili.

Maana yake ni kuwa, taarifa atakayoiwasilisha, walaji wameshaipata muda mrefu. Hivyo si jambo jipya kwao.

2. Millard kawa 'biased'. Anaripoti taarifa kulinganisha na itakavyompendeza yeye ama wakubwa wake. Kuna taarifa nyingi sana kwa Millard huzikuti.

Millard anaanza kupoteza ushawishi. Hata number za views siku hizi zimepungua mno. Kama ataamua kukaza kichwa, basi atapoteana ama kubaki kuwa mwandishi wa kawaida kabisa.

Jf hakuna mhariri, kila mtu anaandika anavyojua yy

Sasa milard lazima ahakikishe uhakika wa taarifa

Na mtu ambae anajali career yake vizuri hawez kujirisk Kwa kujihusisha na mambo ya bandari
 
Not interested na stoty za huyo jamaa, siku zote anatazama matakwa ya wenye mamlaka, sio ya wenye nchi.
 
Jf hakuna mhariri, kila mtu anaandika anavyojua yy

Sasa milard lazima ahakikishe uhakika wa taarifa

Na mtu ambae anajali career yake vizuri hawez kujirisk Kwa kujihusisha na mambo ya bandari
Kabisa ujakosea
 
Siku hizi kweli mjamaa kapoa sana hana hekaheka za newz nzito nzito
 
Kwa Sasa ukiangalia post nyingi za Milard Ayo hazina (hazitrend ) hata kidogo Kwa sababu hapost kabisa mambo yanayoendelea kuhusu ubinafishishaji wa Bandari ya DSM na bandari nyingine Kwa DP WORLD.

Issue ya bandari imekuwa hot cake Kwa kila mtu anayepita mtandaoni.Hata Yanga na Simba na usajiri wao Bado haujazima issue ya Bandari.

Angalia hapa, mtu yeyote anayepost mambo nje ya bandari wachangiaji ni wachache mno ukilinganisha na kabla ya Issue ya bandari.

Mfano: Angalia post za Milard Ayo Kwa Sasa hazivutii hata kidogo na hii ni Kwa sababu mambo ya bandari ameyaweka pending wakati ndo issue kubwa nchini.
Kawa CHAWA
 
Millard ayo bado ni mchanga sana hawezi kusigana na serikali hatofika mbali kwa media zake. Haweki habari kinyume na pinzani kwa serikali ataonekana against government
 
Yeye habari zake kuwapa watu kik tu

Ova
 
Back
Top Bottom