Baada ya kuhangaika sana dada Millen magese ama zamani happiness magese na aliyewahi kuwa miss Tanzania, hatimaye mnamo tarehe 13 july 2017, 06:58 am amefanikiwa kupata mtoto wa kiume KAIRO MICHAEL MAGESE
Ikumbukwe dada millen amehangaika sana lakini hakukata tamaa, nadhani watu wenye matatizo kama hayo msikate tamaa.....
Hongera Millen
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya matatizo yana matibabu ya dawa za kienyeji ila wengi wanaamini kwenye wazungu...ila na yeye anasali sana atapata tu.Yule jamaa mwenye hati miliki ya Mkoa wa Dar mkewe nae si anatatizo kama hilo? aombe ushauri......
Matatizo gani hayo?...maana huyu mwanamitindo alikuwa na tatizo lingine zaidi la ziada ina nimesahau kidogoHaya matatizo yana matibabu ya dawa za kienyeji ila wengi wanaamini kwenye wazungu...ila na yeye anasali sana atapata tu.
love thé love or hâte thé love.....
her workBaada ya kutafuta mtoto kwa kipindi kirefu hatimaye, mwanamitindo happiness magese maarufu kama ladivamillen amepata mtoto wa kiume aitwae kairo.
Hongera sana Millen Mungu ni mwema na wakati wa Mungu ni wakati sahihi.
View attachment 547116
View attachment 547115
Kuna kitu kama hicho nilisikia and of course aliwahi kutoa ushuhuda kama sehemu ya kampeni zake
Endometriosis....ilikua tatizo la millen pia kuna fibroid n.k..Matatizo gani hayo?...maana huyu mwanamitindo alikuwa na tatizo lingine zaidi la ziada ina nimesahau kidogo
Waja mna mambo jamani, millen mimba kaibeba mwenyewe na kuna video ipo siku anaenda kujifungua.Watanzania wengi ni kama hawana akili, hata ukiwadanganya watajitokeza na kusema hongera, na kuna uwezekano mkubwa san akuwa huwa hawasomi kinacho andikwa kwenye makala husika ila baada ya kuona wenzao wanasifia na wao pia wanasifia.
Huyu mdada aliwahi sema kuwa hana uwezo wa kuzaa, na keshafanyiwa operations zaidi ya mara 3 kuhusiana na hilo tatizo.
Huyu atakuwa kapata mtoto kupitia surrogate mothers
Inawezekana awezi kupata kwa njia ya kawaida ndio alisema ivyo ila njia nyingne kama kupandikizwa mbegu na nk inawezekanaNimejaribu kufuatilia interviwe zake za nyuma.... Na nilicho kiona leo, inakuwa vingumu kuamini... Labla nione picha kama za Zari au Linah ndiyo nitaamini... Mungu katenda miujiza
Inawezekana awezi kupata kwa njia ya kawaida ndio alisema ivyo ila njia nyingne kama kupandikizwa mbegu na nk inawezekanaNimejaribu kufuatilia interviwe zake za nyuma.... Na nilicho kiona leo, inakuwa vingumu kuamini... Labla nione picha kama za Zari au Linah ndiyo nitaamini... Mungu katenda miujiza
vip mkuu ulitaka hyo mimba abebe kwenye tumbo lako? hvi ni vitu vya kawaida tu mungu mwenye ndio huamua kukuinua pale ulipodondoka watu wanakuja kuzaa uzeeni washanga huyu dada wa watu kuzaa, watanzania wakati mwingne tusikometi tunekane tunajua coment vitu vingneHe si alisema HAWEZI kuzaa isijekuwa ndio yule mtoto wa yule mama wawatu aliyeibiwa mapacha wake kesi ikazimwa wizarani,achunguzwe haraka huyo mtoto
Anasema aliogopa kuweka wazi kwa kuwa last year alipata miscarriage..so hakuw Na uhakika kama angeweza kufikia hatua ya kujifungua..ndo maana akakaa kimya.Kama ni kweli, nampongeza sana kwa kuweza kuishi kipindi cha ujauzito wake kwa usiri..binafsi sikuwahi kusikia au kuona picha za tumbo lake kama wengine wanavyofanya. Mungu awatunze yeye na mwanawe.
Ahsante mkuuEndometriosis....ilikua tatizo la millen pia kuna fibroid n.k..
love thé love or hâte thé love.....
Huyo ndo millen halisi bila 360 camera na application zozotee