Anasema aliogopa kuweka wazi kwa kuwa last year alipata miscarriage..so hakuw Na uhakika kama angeweza kufikia hatua ya kujifungua..ndo maana akakaa kimya.
love thé love or hâte thé love.....
Waja mna mambo jamani, millen mimba kaibeba mwenyewe na kuna video ipo siku anaenda kujifungua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa tofauti zetu ndizo zinaifanya dunia kuwa ilivyo.Ndio maana nimempongeza, kuna wengine siju ya kwanza tu ameshavaa dera
Kwa Mungu hakuna linaloshindikana
Baada ya kutafuta mtoto kwa kipindi kirefu hatimaye, mwanamitindo happiness magese maarufu kama ladivamillen amepata mtoto wa kiume aitwae kairo.
Hongera sana Millen Mungu ni mwema na wakati wa Mungu ni wakati sahihi.
View attachment 547116
View attachment 547115
Mbona sioni Alipomsifia aliyempa Mimba au Aliipandikiza Mbegu???Baada ya kutafuta mtoto kwa kipindi kirefu hatimaye, mwanamitindo happiness magese maarufu kama ladivamillen amepata mtoto wa kiume aitwae kairo.
Hongera sana Millen Mungu ni mwema na wakati wa Mungu ni wakati sahihi.
View attachment 547116
View attachment 547115
Tatizo alilokuwanalo ukiwa masikini huwezi kupata ujauzito,lakini ukiwa na pesa unapata ujauzito na kuzaa.Ma Dr walikua waongo waliposema hatozaa
Hapana yeye aliambiwa na ma- daktari so walaumiwe wao....mara ngapi utasikia mgonjwa kaambiwa hivi kumbe ni uongo.Basi alikuwa anatudanganya hapo mwanzoni
Akili ya wadanganyika ni ya kushikiwa. Amehubiri sana kuwa hawezi kuzaa, leo anakuja na stori za kuzaa majitu mfu wa kufikiri yanashangilia
Sent using Jamii Forums mobile app
Siwezi upload video ila ningeupload uone kwa Mungu hakuna kinachoshindikana, wangapi wanaumwa magonjwa yasiyotibika lakini wanapona kwa uwezo wa Mungu. Imani inaponya
Watu wote wangekuwa kama wewe dunia ingekuwa mahala salama pakuishiOoh! Samahani kwa maneno yangu makali.
Nayabatilisha rasmi.
Namshukuru Mungu kwa ajili yake (Happiness)
Awajuagi mama akitoka kujifungua anakuwaje uso unakuwa mchovu zaidi akiamka kitandani!Ni yeye uchovu wa kusukuma mtoto mkuu
Siwezi upload video ila ningeupload uone kwa Mungu hakuna kinachoshindikana, wangapi wanaumwa magonjwa yasiyotibika lakini wanapona kwa uwezo wa Mungu. Imani inaponya
Sent using Jamii Forums mobile app