Millen Magese (Happiness Magese) apata mtoto

Millen Magese (Happiness Magese) apata mtoto

Baada ya kuhangaika sana dada Millen magese ama zamani happiness magese na aliyewahi kuwa miss Tanzania, hatimaye mnamo tarehe 13 july 2017, 06:58 am amefanikiwa kupata mtoto wa kiume KAIRO MICHAEL MAGESE
30e5a8ccc97c17d47a8e1373e11065c7.jpg
fa875c334776ee581c2c3cdc6eb1878b.jpg
0e9336f47034cdc3271781f299a54bda.jpg
2acba41a944d89fbe9e6d177702fd56f.jpg


Ikumbukwe dada millen amehangaika sana lakini hakukata tamaa, nadhani watu wenye matatizo kama hayo msikate tamaa.....

Hongera Millen

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu akiamua hakuna wa kuzuia, hongera sana Milen
 
Ni kwa sababu alihangaika sana ndio maana imekua habari.
 
Ukimwamini MUNGU. hata uwe na gumu lipi. Atalitatua

Ujana haubagui.[emoji53][emoji53]
 
Waafrika bhana, kila mtu Mungu Mungu Mungu, kama huyo Mungu ndio kamtia mimba vile. Comments kama hizi huwezi kuziona hata kwa hao watu waliomleta Mungu Afrika
Chunga sana maneno yako, bora ukae kimya kuliko kuandika upumbavu wako

Simpi Kiki kunguni wa mwendokasi
 
Yule jamaa mwenye hati miliki ya Mkoa wa Dar mkewe nae si anatatizo kama hilo? aombe ushauri......
Aseme akutanishwe na psychic wa ukweli ambapo wana cast spell on infertile womb kitu inashika faster.
 
Back
Top Bottom