Mimba ni biashara kubwa mjini

Mimba ni biashara kubwa mjini

Kwa sisi wakazi wa jiji la maraha, jiji la bandari tunakubaliana kitu kimoja, jiji letu lina watu wengi wenye matatizo ya nguvu za kiume na low sperms count, yaani wanaume ni wagonjwa kuliko wanawake kwenye afya ya uzazi.

Sasa basi, kumekuwa na madalali wanawakutanisha wanaume wenye màtatizo ya uzazi na wanawake wenye mimba wasio na mababa zao.

Dalali anakula, mama anakula na Baba anafaidika kisheria. Kujipatia mtoto asiye wake.

Mijidudu ya Uswazi ime take advantage, unahudumia mimba, mwisho wa siku dada anajiunga kliniki tatu, hiyo ndiyo changamoto.

Play smart
Nimerudia kusoma mara tatu lakini nimetoka patupu!! Ngoja nisome comments za wadau tu.
 
Nimerudia kusoma mara tatu lakini nimetoka patupu!! Ngoja nisome comments za wadau tu.
Wanauza Mimba kwa Wanaume wasio na uwezo wa kutungisha Mimba Ila wana Pesa, kwa hio wadada wa uswazi wametake advantage wanapigwa Mimba zisizo na Baba kunakua na dalali anaingia mtu kati mtoto anafaulishwa akizaliwa Baba asieweza kutungisha Mimba analipia anapewa mtoto anaenda, bado hujaelewa
 
Kwa sisi wakazi wa jiji la maraha, jiji la bandari tunakubaliana kitu kimoja, jiji letu lina watu wengi wenye matatizo ya nguvu za kiume na low sperms count, yaani wanaume ni wagonjwa kuliko wanawake kwenye afya ya uzazi.

Sasa basi, kumekuwa na madalali wanawakutanisha wanaume wenye màtatizo ya uzazi na wanawake wenye mimba wasio na mababa zao.

Dalali anakula, mama anakula na Baba anafaidika kisheria. Kujipatia mtoto asiye wake.

Mijidudu ya Uswazi ime take advantage, unahudumia mimba, mwisho wa siku dada anajiunga kliniki tatu, hiyo ndiyo changamoto.

Play smart
I strongly agree with you mkuu
 
Hii ishu ipo wapi?
Kuna pisi kali hapa katiwa mimba mwanaume kaikataa na kaondoka kabisa mjini. Nadhani angempata mtu wakuihudumia angefarijika sana. Maana anasema kuilea hawezi na kuitoa anaogopa ndio kwanza mwezi mmoja
Yeye wakati analala na huyo muhuni alitegemea kuna baba yake atakuja kulea huo ujauzito?

Mwambie apambane na hali yake, alale kitanda alichokitandika, yeye ndie alichagua jamaa amuweke sasa iwaje malezi atafute mfadhili?
 
Back
Top Bottom