Mimba ni biashara kubwa mjini

Mimba ni biashara kubwa mjini

Inaitaji akili kubwa kuelewa nn unazungumzia

Iv unalichoandika kinawezekana kwel?
Ukinambia mimba haina baba anapew mwanaume wingne ntaelewa ila mimba ina baba af apewe baba mwingne mtoto inakuaje iyo
Hili taifa litakuja kuwa na kizazi cha laana sababu ya maamuzi ya kipumbavu na kibinafsi wanayofanya watu wasiojielewa.

Sasa hawa watoto watakua wakubwa wakijiuliza kuwa nafasi ya baba katika maisha yake ni ipi mbona kama baba hana faida? [emoji848][emoji848]

Huu upumbava ukemewe na kukomeshwa.
 
Hii ishu ipo wapi?
Kuna pisi kali hapa katiwa mimba mwanaume kaikataa na kaondoka kabisa mjini. Nadhani angempata mtu wakuihudumia angefarijika sana. Maana anasema kuilea hawezi na kuitoa anaogopa ndio kwanza mwezi mmoja
Niunge naye mkuu nko serious. huyo hawez kuzngua maana akili ishamkaa sawa kutelekezwa. vp lkn ana chura?
 
Kwa sisi wakazi wa jiji la maraha, jiji la bandari tunakubaliana kitu kimoja, jiji letu lina watu wengi wenye matatizo ya nguvu za kiume na low sperms count, yaani wanaume ni wagonjwa kuliko wanawake kwenye afya ya uzazi.

Sasa basi, kumekuwa na madalali wanawakutanisha wanaume wenye màtatizo ya uzazi na wanawake wenye mimba wasio na mababa zao.

Dalali anakula, mama anakula na Baba anafaidika kisheria. Kujipatia mtoto asiye wake.

Mijidudu ya Uswazi ime take advantage, unahudumia mimba, mwisho wa siku dada anajiunga kliniki tatu, hiyo ndiyo changamoto.

Play smart
Hakuna mimba isiyokuwa na baba jichanganye uje kujutia.
 
Kwa sisi wakazi wa jiji la maraha, jiji la bandari tunakubaliana kitu kimoja, jiji letu lina watu wengi wenye matatizo ya nguvu za kiume na low sperms count, yaani wanaume ni wagonjwa kuliko wanawake kwenye afya ya uzazi.

Sasa basi, kumekuwa na madalali wanawakutanisha wanaume wenye màtatizo ya uzazi na wanawake wenye mimba wasio na mababa zao.

Dalali anakula, mama anakula na Baba anafaidika kisheria. Kujipatia mtoto asiye wake.

Mijidudu ya Uswazi ime take advantage, unahudumia mimba, mwisho wa siku dada anajiunga kliniki tatu, hiyo ndiyo changamoto.

Play smart
Mjini mipango
 
Kwa sisi wakazi wa jiji la maraha, jiji la bandari tunakubaliana kitu kimoja, jiji letu lina watu wengi wenye matatizo ya nguvu za kiume na low sperms count, yaani wanaume ni wagonjwa kuliko wanawake kwenye afya ya uzazi.

Sasa basi, kumekuwa na madalali wanawakutanisha wanaume wenye màtatizo ya uzazi na wanawake wenye mimba wasio na mababa zao.

Dalali anakula, mama anakula na Baba anafaidika kisheria. Kujipatia mtoto asiye wake.

Mijidudu ya Uswazi ime take advantage, unahudumia mimba, mwisho wa siku dada anajiunga kliniki tatu, hiyo ndiyo changamoto.

Play smart
Jiji limejaa mahanithi huwa mnakula nini huko ?
 
Hicho ni cheo cha mtume Mwamposa mkuu. Yeye hambagui mtu yeyote. Ni mtume wa dini zote na hata wapagani. Mwezi ujao atakuwa Morogoro akiuza tani 10 za udongo wenye upako. Imagine kijiko cha udongo anauza Tsh 1000. Je, tani 10 atavuna trillion ngapi?
Fungu la kumi anatoa kwenye madhabahu ipi?
 
Kuna mwamba wangu mmoja alikua analea mtoto si wake. Demu alimdanganya ana mimba kumbe Hana mjeda katoka kwa mission nchi jirani anataka aone mtoto. Akawa anapelekewa mtoto wa jirani maana hawakai pamoja wako wilaya tofauti. Demu mjanja sana yule alitafuta katoto kakufanana na huyo baba kwa weusi na bichwa. Wanawake Wana roho ngumu sana mwamba alikua stuka baada ya yule mtoto kuhama na familia yake. So mjeda akitaka kwenda ona mtoto mizungusho kibao. Huduma kahudumia sana more than 3 yrs
 
Back
Top Bottom