Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]bora walimu watembeze tu kichapo maana kama akili zenyewe ndo hizi hakuna jinsi
Ndio first time ndugu!!! Lakn kamaa aliteleza kwenye Ganda la Ndizi!!!Kwani kabla ya hiyo siku hawakuwahi kufanya hilo tendo?
Ni mara ya kwanza kukutana?
Kama ni wapenzi wa muda mrefu yawezekana ila kama ndo wamekutana siku hiyo anaingizwa choo cha kike.
biology haifundishwi tena?Yaani duh. Elimu ya bongo ni majanga sana. Hivi sisi tunafanyaje au tumelogwa.
umesoma hadi darasa la ngapi?Miss natafuta hujanisaidia kujua kitu hapo! Lengo langu ni kufaham kwa fact!!!
Mwambie amsaidie mwanaume mwenzie kulea mimba maana naona jamaa alikuwa anafanya palilizi kwa shamba lililooteshwaHabari zenu wadau!!
Kuna Binti mmoja!!mpenzi wa Rafiki yangu kipenzi!! Jana waligegedana saana cha ajabu ambacho jamaa alichonieleza ni kwamba baada ya kama Nusu SAA Bi Dada akaanza kutapika na kichefu chefu cha kufa MTU et Binti anadai ana mimba ya jamaa hata lisaa halijaisha!!! Alivyonielezea nikaona isiwe taabu ngoja niingie jukwaa la wajuvi wa mambo waniongezee maarifa!! Inawezekana kweli? Hapo imekaaje Wadau!! Naombeni wajuvi na wajuzi juu ya hili mtusaidie!!!
Ahsanten!!