Mimba ya dakika 30

Mimba ya dakika 30

Kiufupi huyo mwenzio siyo muaminifu ana mtu nje.
Ni vigumu sana mimba kuingia siku hiyo hiyo na dalili zikaonekana hata km ukienda kupima vipimo haviwezi kuonesha.
Ni sawa na ww utembee na mtu mwenye ukimwi halafu siku hiyo hiyo uende ukapime. Huwezi kupata jibu km umeathirika hata km uende kwa dr. Bingwa gani hawezi kukupa jibu zaid ya kukuambia uje baada ya muda fulani.
Dalili za mimba huanza kuoneka wiki 3 baada ya kushika ujauzito, lkn kwa siku hiyo hiyo.
Mkuu hapo umeuziwa mbuzi kwenye gunia. Hiyo mimba siyo yako 100% km utaamua kulea basi unalea mimba ya mwanaume mwenzako
Ukimwi inawezekana lakini sio kwa rapid test
 
Kwani mimba huchukua kiasi gani cha muda kuingia kwa ke?
 
Ukimwi inawezekana lakini sio kwa rapid test
Mkuu hakuna kitu km hicho. Leo utembee na mtu mwenye ngoma halafu ww hauna HIV +. Leo leo uchukue vipimo uambiwe umeathirika.
Akikuambia una HIV huyo ni dr. Feki
Ila sikushangai sbb kila mmoja ana HIV -
Atakuandikia una HIV lkn negative
 
Kwani mimba huchukua kiasi gani cha muda kuingia kwa ke?
Muda kuingia huchukua dk kadhaa mpaka kutungwa.
Na mama hawezi kujua km siku hiyo mimba imeingia ila baada ya wiki km 3 ataanza kuona dalili km vile kutoona siku zake za hedhi, kutapika, kichefu chefu, tumbo kuwa kubwa, n.k
Huyo anataka kumbebesha jamaa mzigo wa mwingine.
Ni hatari sana halafu utasikia huyu anasema nawachukia sana wanaume.
Mwanamke kutembea na wanaume wengi amependa mwenyew
 
iyo mimba kwa mwaka huu wa njaa wenye waniita mimba ya mwendokasi au unaweza kusema 4G hapa mimbaaa tu!!!
Hahahahahha[emoji38] [emoji23] hapa kwel mimbaa tyu..power to the tumboz la uyo mdada...
 
Mweeeh huyo dada kakosea angesubiria hata lisaa moja
 
Jamaa kaamuaje sasa?
Dada sio jambo rahisi kukubali kirahisi!!! Nadhani kutokana na michango ya wadau humu ndani kuhitimisha bila suluhisho tumeona ni vema kesho tukamuone Dr mtaalam wa maswala ya uzazi tupate Scientific proof!!!
 
Dada sio jambo rahisi kukubali kirahisi!!! Nadhani kutokana na michango ya wadau humu ndani kuhitimisha bila suluhisho tumeona ni vema kesho tukamuone Dr mtaalam wa maswala ya uzazi tupate Scientific proof!!!
Okey....
 
Back
Top Bottom