Mimi Bibi Yenu Mpambanaji nimedhulumiwa kwa kutokujua sheria

Mimi Bibi Yenu Mpambanaji nimedhulumiwa kwa kutokujua sheria

Joined
Oct 6, 2024
Posts
147
Reaction score
303
Kuna mtu mmoja yuko kwenye taasisi fulani nyeti ya serikali. NI MTU mzito sana, Akaniambia Bibi, kazini kwangu kuna fursa ya kupiga, ambayo itakunufaisha na wewe.

Nikamwambia ni fursa gani hiyo? Akanipa mpango mzima. Akasema tuanzishe kampuni, yeye na jamaa zake, Ila kwasababu ya conflict of interest hisa zake ziwe kwa jina langu.

Basi, michakato ikaanza, kampuni ikawa registered Brela, na biashara ikaanza, kampuni inapiga dili hela zinaingia.

Makubaliano yetu yalikuwa mwisho wa mwaka anipe 5,000,000/. Mwisho wa mwaka wetu ni mwezi November.

November ikapita, sina kitu, piga simu jamaa hapokei, naenda nyumbani kwake anajificha, ofisini naambiwa yuko meeting.

Mwisho wa siku nikamwambia Kaka, naona hauko tayari kunilipa, basi furahia matunda ya dhuluma yako.

Akaanza kunipiga mikwala kwamba hata kwenye ma shareholders simjui hata mmoja, wala sijawahi kuhudhuria vikao vya bodi ya wakurugenzi na wala sijui vinafanyika wapi.

Basi nikamwambia namwachia Mungu, mi uchawi siuwezi. Yaani unafanya biashara kwa jina langu na hela hutaki kunipa!!!!

Basi kaa nayo.
Akaniambia nenda mahakamani kama unaweza utapata haki yako.
 
Kuna MTU mmoja yuko kwenye taasisi fulani nyeti ya serikali. NI MTU mzito sana, Akaniambia Bibi, kazini kwangu kuna fursa ya kupiga, ambayo itakunufaisha na wewe.

Nikamwambia ni fursa gani hiyo? Akanipa mpango mzima. Akasema tuanzishe kampuni, yeye na jamaa zake, Ila kwasababu ya conflict of interest hisa zake ziwe kwa jina langu.

Basi, michakato ikaanza, kampuni ikawa registered Brela, na biashara ikaanza, kampuni inapiga dili hela zinaingia.

Makubaliano yetu yalikuwa mwisho wa mwaka anipe 5,000,000/. Mwisho wa mwaka wetu ni mwezi November.

November ikapita, sina kitu, piga simu jamaa hapokei, naenda nyumbani kwake anajificha, ofisini naambiwa yuko meeting.


Mwisho wa siku nikamwambia Kaka, naona hauko tayari kunilipa, basi furahia matunda ya dhuluma yako.

Akaanza kunipiga mikwala kwamba hata kwenye ma shareholders simjui hata mmoja, wala sijawahi kuhudhuria vikao vya bodi ya wakurugenzi na wala sijui vinafanyika wapi.

Basi nikamwambia namwachia Mungu, mi uchawi siuwezi. Yaani unafanya biashara kwa jina langu na hela hutaki kunipa!!!!

Basi kaa nayo.
Akaniambia nenda mahakamani kama unaweza utapata haki yako.
Mkuu kufanya ubia na mtanzania kwa 99.9% ni kama suicide mission, lazima ulie tu, mimi nimepoteza zaidi ya 150m kwa kuamini watu na kufanya partnership nao usimuamini mtanzania kabisa hasa hao wasomi.
 
Mkuu kufanya ubia na mtanzania kwa 99.9% ni kama suicide mission, lazima ulie tu, mimi nimepoteza zaidi ya 150m kwa kuamini watu na kufanya partnership nao usimuamini mtanzania kabisa hasa hao wasomi.
So nguruwe ni Bora kuliko Mtanzania. Nyerere Alisha sema ili nchi iendelee, inahitaji watu, siasa safi, ardhi na uongozi Bora.
Huwezi kuwa na siasa safi na uongozi Bora kama huna watu kama taasisi.

Watanzania wengi ni majitu na si watu, wala hawafai kuwepo kwenye taasisi yoyote, ndio maana asasi nyingi za serikali zinazofanya biashara zinakufa.
 
Kuna mtu mmoja yuko kwenye taasisi fulani nyeti ya serikali. NI MTU mzito sana, Akaniambia Bibi, kazini kwangu kuna fursa ya kupiga, ambayo itakunufaisha na wewe.

Nikamwambia ni fursa gani hiyo? Akanipa mpango mzima. Akasema tuanzishe kampuni, yeye na jamaa zake, Ila kwasababu ya conflict of interest hisa zake ziwe kwa jina langu.

Basi, michakato ikaanza, kampuni ikawa registered Brela, na biashara ikaanza, kampuni inapiga dili hela zinaingia.

Makubaliano yetu yalikuwa mwisho wa mwaka anipe 5,000,000/. Mwisho wa mwaka wetu ni mwezi November.

November ikapita, sina kitu, piga simu jamaa hapokei, naenda nyumbani kwake anajificha, ofisini naambiwa yuko meeting.

Mwisho wa siku nikamwambia Kaka, naona hauko tayari kunilipa, basi furahia matunda ya dhuluma yako.

Akaanza kunipiga mikwala kwamba hata kwenye ma shareholders simjui hata mmoja, wala sijawahi kuhudhuria vikao vya bodi ya wakurugenzi na wala sijui vinafanyika wapi.

Basi nikamwambia namwachia Mungu, mi uchawi siuwezi. Yaani unafanya biashara kwa jina langu na hela hutaki kunipa!!!!

Basi kaa nayo.
Akaniambia nenda mahakamani kama unaweza utapata haki yako.
Tuma vijana wafuatilie status ya kampuni TRA na Brela, ikiwezekana fuata utaratibu jina lako litolewe kwenye hiyo kampuni
 
Back
Top Bottom