Mimi Bibi Yenu Mpambanaji nimedhulumiwa kwa kutokujua sheria

Mimi Bibi Yenu Mpambanaji nimedhulumiwa kwa kutokujua sheria

Hawa vijana nimewaona siku nyingi. Wakati kuna Yahoo, Dar Hotwire, Hi 5 na MSN messenger wao walikuwa kwenye mashamba ya karanga hawajui hata waingie kwenye kiuno Cha nani
Basi Bibi Sasa nimekutetea na wewe umeanza kuwananga watarudi tena oooh .

Maana vijana wa leo wakianza kukushambulia hapa hautawezana nao Wana maneno makali alafu yanauma Bibi wasamehe usijinishane nao Wala kuwananga maana watakuvamia na Mimi sitaki wakushushue bibi
 
Amen. Yeye mwamba ana watu, ana connection, ana access, ana hela, nifanye nini kapuku Mimi zaidi ya kumwachia Mungu?
Unamwachiaje Mungu wewe, pambania haki yako. Ufalme au Mamlaka huchukuliwa na wenye nguvu. Onyesha strength yako Mungu ameshakupa akili na uwezo wa kupambana na mazingira
 
Ajuza alichezea ujana wake ndio maana anahangaika sasa. Atulie kwenye wheel chair.
Mimi sio MTU wa kukaa kwa wheelchair, asubuhi natembea kutoka kwangu Mikocheni A, Migombani Street hadi sanamu ya Askari, Samora na kurudi. Nina maisha mazuri kuliko ninavyoweza kueleza. Ujana wangu niliutumia vyama. Nakukaribisha inbox uulize maswali, uone na picha, videos, na wewe uje uone shamba kubwa la SAMAKI, mabanda makubwa ya kuku na maghorofa ya ng'ombe wa maziwa.
 
Ajuza alichezea ujana wake ndio maana anahangaika sasa. Atulie kwenye wheel chair.

Nafikiri sio lazima kuchangia kila mada lakini muhimu zaidi EPUKA KUTUMIA LUGHA ZA KUUDHI/MATUSI...
Mtu aliyechezea maisha anaweza kunyoosha mwandiko kama huyu? Mimi simjui huyu bibi (kwangu atakuwa ni mama) ila yupo vizuri
Ngoja tuone namna ya kumsaidia, asije kuishia kudaiwa kodi na TRA
 
Msidhulumu wazee please!!!
Wazee wa nchi hii ni mafisadi na wazulumati ile mbaya,siyo wa kuonea huruma hata chembe.
Mimi sio MTU wa kukaa kwa wheelchair, asubuhi natembea kutoka kwangu Mikocheni A, Migombani Street hadi sanamu ya Askari, Samora na kurudi. Nina maisha mazuri kuliko ninavyoweza kueleza. Ujana wangu niliutumia vyama. Nakukaribisha inbox uulize maswali, uone na picha, videos, na wewe uje uone shamba kubwa la SAMAKI, mabanda makubwa ya kuku na maghorofa ya ng'ombe wa maziwa.

Mimi sio MTU wa kukaa kwa wheelchair, asubuhi natembea kutoka kwangu Mikocheni A, Migombani Street hadi sanamu ya Askari, Samora na kurudi. Nina maisha mazuri kuliko ninavyoweza kueleza. Ujana wangu niliutumia vyama. Nakukaribisha inbox uulize maswali, uone na picha, videos, na wewe uje uone shamba kubwa la SAMAKI, mabanda makubwa ya kuku na maghorofa ya ng'ombe wa maziwa.
Yaani wewe kama unaishi maisha haya seems ufisadi uko kwenye damu. Na miaka 80 ni bora ukamrudia Mungu na hizo mishe waachie wajukuu sasa.
 
Mtu aliyechezea maisha anaweza kunyoosha mwandiko kama huyu. Wewe Serengeti boy, don't judge a book by its cover!!! Mimi simjui huyu bibi (kwangu atakuwa ni mama) ila yupo vizuri
Ngoja tuone namna ya kumsaidia, asije kuishia kudaiwa kodi na TRA
Serengeti boy niko vizuri natunzwa ila unamteteaje mtu ambaye umekiri humjui na kusema yuko vizuri.
 
kama unayoyasema ni kweli humsingizii mtu basi njoo inbox...

ataisoma namba kuanzia kazini kwake, nyumbani kwake na hata mtaani kwake..
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa...🤔

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Nina umri MKUBWA kuliko mama yako, nimekoma hedhi mwaka 1984
JamiiForums561838404.jpeg

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Kuna mtu mmoja yuko kwenye taasisi fulani nyeti ya serikali. NI MTU mzito sana, Akaniambia Bibi, kazini kwangu kuna fursa ya kupiga, ambayo itakunufaisha na wewe.

Nikamwambia ni fursa gani hiyo? Akanipa mpango mzima. Akasema tuanzishe kampuni, yeye na jamaa zake, Ila kwasababu ya conflict of interest hisa zake ziwe kwa jina langu.

Basi, michakato ikaanza, kampuni ikawa registered Brela, na biashara ikaanza, kampuni inapiga dili hela zinaingia.

Makubaliano yetu yalikuwa mwisho wa mwaka anipe 5,000,000/. Mwisho wa mwaka wetu ni mwezi November.

November ikapita, sina kitu, piga simu jamaa hapokei, naenda nyumbani kwake anajificha, ofisini naambiwa yuko meeting.

Mwisho wa siku nikamwambia Kaka, naona hauko tayari kunilipa, basi furahia matunda ya dhuluma yako.

Akaanza kunipiga mikwala kwamba hata kwenye ma shareholders simjui hata mmoja, wala sijawahi kuhudhuria vikao vya bodi ya wakurugenzi na wala sijui vinafanyika wapi.

Basi nikamwambia namwachia Mungu, mi uchawi siuwezi. Yaani unafanya biashara kwa jina langu na hela hutaki kunipa!!!!

Basi kaa nayo.
Akaniambia nenda mahakamani kama unaweza utapata haki yako.
Kimekukuta kitu
 
Back
Top Bottom