Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Sawa Nabii uchwara.Signature yako inathibitisha utoto ulionao
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Nabii uchwara.Signature yako inathibitisha utoto ulionao
Hivi vitu vyote una uhakika na wwe ulivipata kihalali!? Isije kua na wwe ulikanyaga haki za watu enzi ya ujana wako sasa karma ndiyo imekuja ili ulipe dhuluma zote za ujanani wako!?Mimi sio MTU wa kukaa kwa wheelchair, asubuhi natembea kutoka kwangu Mikocheni A, Migombani Street hadi sanamu ya Askari, Samora na kurudi. Nina maisha mazuri kuliko ninavyoweza kueleza. Ujana wangu niliutumia vyama. Nakukaribisha inbox uulize maswali, uone na picha, videos, na wewe uje uone shamba kubwa la SAMAKI, mabanda makubwa ya kuku na maghorofa ya ng'ombe wa maziwa.
POle sana mtu mzima mwenzangu.....vp tu inbox nikufariji 🙂Kuna mtu mmoja yuko kwenye taasisi fulani nyeti ya serikali. NI MTU mzito sana, Akaniambia Bibi, kazini kwangu kuna fursa ya kupiga, ambayo itakunufaisha na wewe.
Nikamwambia ni fursa gani hiyo? Akanipa mpango mzima. Akasema tuanzishe kampuni, yeye na jamaa zake, Ila kwasababu ya conflict of interest hisa zake ziwe kwa jina langu.
Basi, michakato ikaanza, kampuni ikawa registered Brela, na biashara ikaanza, kampuni inapiga dili hela zinaingia.
Makubaliano yetu yalikuwa mwisho wa mwaka anipe 5,000,000/. Mwisho wa mwaka wetu ni mwezi November.
November ikapita, sina kitu, piga simu jamaa hapokei, naenda nyumbani kwake anajificha, ofisini naambiwa yuko meeting.
Mwisho wa siku nikamwambia Kaka, naona hauko tayari kunilipa, basi furahia matunda ya dhuluma yako.
Akaanza kunipiga mikwala kwamba hata kwenye ma shareholders simjui hata mmoja, wala sijawahi kuhudhuria vikao vya bodi ya wakurugenzi na wala sijui vinafanyika wapi.
Basi nikamwambia namwachia Mungu, mi uchawi siuwezi. Yaani unafanya biashara kwa jina langu na hela hutaki kunipa!!!!
Basi kaa nayo.
Akaniambia nenda mahakamani kama unaweza utapata haki yako.
Au tukamloge...Amen. Yeye mwamba ana watu, ana connection, ana access, ana hela, nifanye nini kapuku Mimi zaidi ya kumwachia Mungu?
Nabii?Sawa Nabii uchwara.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Nitafute shangazi nishughulike nae huyo tapeli kwa njia yoyote ile utakayotaka weweNina umri MKUBWA kuliko mama yako, nimekoma hedhi mwaka 1984
Mwambie hasa hawa hawo waliokariri mm siwezi kuwaita wasomi mana wanachokisimamia hawakielewMkuu kufanya ubia na mtanzania kwa 99.9% ni kama suicide mission, lazima ulie tu, mimi nimepoteza zaidi ya 150m kwa kuamini watu na kufanya partnership nao usimuamini mtanzania kabisa hasa hao wasomi.
Hapana, kwa sababu hili lina implications za kisheria, unatakiwa uchukue hatua hasa za kujiondoa kwenye hiyo kampuniAmen. Yeye mwamba ana watu, ana connection, ana access, ana hela, nifanye nini kapuku Mimi zaidi ya kumwachia Mungu?
Hahahaha
Kwanza pole sana kwa dhuruma ulizofanyiwa.Mkuu kufanya ubia na mtanzania kwa 99.9% ni kama suicide mission, lazima ulie tu, mimi nimepoteza zaidi ya 150m kwa kuamini watu na kufanya partnership nao usimuamini mtanzania kabisa hasa hao wasomi.