Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatenda dhambi sasa, kwanini uje kulalamika humu badala ya kuchukua hatua madhubuti ya kuipambania haki yako ?Nguvu yangu is too spiritual, misuli yangu ya mwili imeshalegea
Kuna mtu mmoja yuko kwenye taasisi fulani nyeti ya serikali. NI MTU mzito sana, Akaniambia Bibi, kazini kwangu kuna fursa ya kupiga, ambayo itakunufaisha na wewe.
Nikamwambia ni fursa gani hiyo? Akanipa mpango mzima. Akasema tuanzishe kampuni, yeye na jamaa zake, Ila kwasababu ya conflict of interest hisa zake ziwe kwa jina langu.
Basi, michakato ikaanza, kampuni ikawa registered Brela, na biashara ikaanza, kampuni inapiga dili hela zinaingia.
Makubaliano yetu yalikuwa mwisho wa mwaka anipe 5,000,000/. Mwisho wa mwaka wetu ni mwezi November.
November ikapita, sina kitu, piga simu jamaa hapokei, naenda nyumbani kwake anajificha, ofisini naambiwa yuko meeting.
Mwisho wa siku nikamwambia Kaka, naona hauko tayari kunilipa, basi furahia matunda ya dhuluma yako.
Akaanza kunipiga mikwala kwamba hata kwenye ma shareholders simjui hata mmoja, wala sijawahi kuhudhuria vikao vya bodi ya wakurugenzi na wala sijui vinafanyika wapi.
Basi nikamwambia namwachia Mungu, mi uchawi siuwezi. Yaani unafanya biashara kwa jina langu na hela hutaki kunipa!!!!
Basi kaa nayo.
Akaniambia nenda mahakamani kama unaweza utapata haki yako.
🤔🤣🤣🤣 Khaa! Bibi ulikua nesi au Hakimu mstaafu?Hawa vijana nimewaona siku nyingi. Wakati kuna Yahoo, Dar Hotwire, Hi 5 na MSN messenger wao walikuwa kwenye mashamba ya karanga hawajui hata waingie kwenye kiuno Cha nani
😁😁😁Hawa vijana nimewaona siku nyingi. Wakati kuna Yahoo, Dar Hotwire, Hi 5 na MSN messenger wao walikuwa kwenye mashamba ya karanga hawajui hata waingie kwenye kiuno Cha nani
Bibi usijioneshe kuwa na hela hapa Kuna vijana watakufuata wanataka kuwa vibenteniMimi sio MTU wa kukaa kwa wheelchair, asubuhi natembea kutoka kwangu Mikocheni A, Migombani Street hadi sanamu ya Askari, Samora na kurudi. Nina maisha mazuri kuliko ninavyoweza kueleza. Ujana wangu niliutumia vyama. Nakukaribisha inbox uulize maswali, uone na picha, videos, na wewe uje uone shamba kubwa la SAMAKI, mabanda makubwa ya kuku na maghorofa ya ng'ombe wa maziwa.
Nongo huwa tunaviziana ukilegea imekula kwako!Mkuu kufanya ubia na mtanzania kwa 99.9% ni kama suicide mission, lazima ulie tu, mimi nimepoteza zaidi ya 150m kwa kuamini watu na kufanya partnership nao usimuamini mtanzania kabisa hasa hao wasomi.
Noma sana, jamaa wanatapeli hadi vikongweKuna mtu mmoja yuko kwenye taasisi fulani nyeti ya serikali. NI MTU mzito sana, Akaniambia Bibi, kazini kwangu kuna fursa ya kupiga, ambayo itakunufaisha na wewe.
Nikamwambia ni fursa gani hiyo? Akanipa mpango mzima. Akasema tuanzishe kampuni, yeye na jamaa zake, Ila kwasababu ya conflict of interest hisa zake ziwe kwa jina langu.
Basi, michakato ikaanza, kampuni ikawa registered Brela, na biashara ikaanza, kampuni inapiga dili hela zinaingia.
Makubaliano yetu yalikuwa mwisho wa mwaka anipe 5,000,000/. Mwisho wa mwaka wetu ni mwezi November.
November ikapita, sina kitu, piga simu jamaa hapokei, naenda nyumbani kwake anajificha, ofisini naambiwa yuko meeting.
Mwisho wa siku nikamwambia Kaka, naona hauko tayari kunilipa, basi furahia matunda ya dhuluma yako.
Akaanza kunipiga mikwala kwamba hata kwenye ma shareholders simjui hata mmoja, wala sijawahi kuhudhuria vikao vya bodi ya wakurugenzi na wala sijui vinafanyika wapi.
Basi nikamwambia namwachia Mungu, mi uchawi siuwezi. Yaani unafanya biashara kwa jina langu na hela hutaki kunipa!!!!
Basi kaa nayo.
Akaniambia nenda mahakamani kama unaweza utapata haki yako.
Umekata tamaa kabisa ya maishawakati wakuanzisha hukutushirikisha kwanini sasa hivi unataka utushirikishe ili iweje ?vuna matundà ya ulichopanda
Unabisha nini? FaizaFoxy kahitimu degree yake ya electronics Canada mwaka 1981.View attachment 3180260
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Una uhakika gani kuwa mi ni Dogo kwa huyo Ajuza? Huyo ni Dadaangu tu sawa na Dada wengine kwa umri huo.Unabisha nini? FaizaFoxy kahitimu degree yake ya electronics Canada mwaka 1981.
Mzee Mohamed Said unadhani ana umri GANI?
Kuweni na heshima madogo, kuna Bibi zenu jamvini hapa
Mambo ya fraud ndo yako hivyo.Nyie wote ni wezi.Kuna mtu mmoja yuko kwenye taasisi fulani nyeti ya serikali. NI MTU mzito sana, Akaniambia Bibi, kazini kwangu kuna fursa ya kupiga, ambayo itakunufaisha na wewe.
Nikamwambia ni fursa gani hiyo? Akanipa mpango mzima. Akasema tuanzishe kampuni, yeye na jamaa zake, Ila kwasababu ya conflict of interest hisa zake ziwe kwa jina langu.
Basi, michakato ikaanza, kampuni ikawa registered Brela, na biashara ikaanza, kampuni inapiga dili hela zinaingia.
Makubaliano yetu yalikuwa mwisho wa mwaka anipe 5,000,000/. Mwisho wa mwaka wetu ni mwezi November.
November ikapita, sina kitu, piga simu jamaa hapokei, naenda nyumbani kwake anajificha, ofisini naambiwa yuko meeting.
Mwisho wa siku nikamwambia Kaka, naona hauko tayari kunilipa, basi furahia matunda ya dhuluma yako.
Akaanza kunipiga mikwala kwamba hata kwenye ma shareholders simjui hata mmoja, wala sijawahi kuhudhuria vikao vya bodi ya wakurugenzi na wala sijui vinafanyika wapi.
Basi nikamwambia namwachia Mungu, mi uchawi siuwezi. Yaani unafanya biashara kwa jina langu na hela hutaki kunipa!!!!
Basi kaa nayo.
Akaniambia nenda mahakamani kama unaweza utapata haki yako.
Samaki gani unafuga bibi?Mimi sio MTU wa kukaa kwa wheelchair, asubuhi natembea kutoka kwangu Mikocheni A, Migombani Street hadi sanamu ya Askari, Samora na kurudi. Nina maisha mazuri kuliko ninavyoweza kueleza. Ujana wangu niliutumia vyama. Nakukaribisha inbox uulize maswali, uone na picha, videos, na wewe uje uone shamba kubwa la SAMAKI, mabanda makubwa ya kuku na maghorofa ya ng'ombe wa maziwa.
Signature yako inathibitisha utoto ulionaoUna uhakika gani kuwa mi ni Dogo kwa huyo Ajuza? Huyo ni Dadaangu tu sawa na Dada wengine kwa umri huo.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Unaweza kumwchia Mungu Ila km wanatumia jina lako unaweza ingia matatani.Amen. Yeye mwamba ana watu, ana connection, ana access, ana hela, nifanye nini kapuku Mimi zaidi ya kumwachia Mungu?
Ajuza ukijifanya mpambanaji lazima utapigwa na vijana. Ushauri wangu kwao ni kutulia na kucheza na vitukuu.Noma sana, jamaa wanatapeli hadi vikongwe