Mimi Bibi Yenu Mpambanaji nimedhulumiwa kwa kutokujua sheria

Hapo uliposema unamuachia Mungu ndo unaenda kwa mganga
 


Sasa Bibi, Kuna siku hiyo kampuni itafanya issue ngumu na pengine tayari, itakuwa na kesi ya uhujumu uchumi na wewe kama mmiliki utasombwa!

Bibi kawai haraka Brella ujitenge nayo, achana na 5m, unaweza ozea jela!
 
Hawa vijana nimewaona siku nyingi. Wakati kuna Yahoo, Dar Hotwire, Hi 5 na MSN messenger wao walikuwa kwenye mashamba ya karanga hawajui hata waingie kwenye kiuno Cha nani
🤔🤣🤣🤣 Khaa! Bibi ulikua nesi au Hakimu mstaafu?
 
Bibi usijioneshe kuwa na hela hapa Kuna vijana watakufuata wanataka kuwa vibenteni
Ogopa Sana Bibi mtu kibenteni sio najua ni msamiati mgumu huwezi kuuelewa Ila usiwaambie mafanikio yako bibi
 
Mkuu kufanya ubia na mtanzania kwa 99.9% ni kama suicide mission, lazima ulie tu, mimi nimepoteza zaidi ya 150m kwa kuamini watu na kufanya partnership nao usimuamini mtanzania kabisa hasa hao wasomi.
Nongo huwa tunaviziana ukilegea imekula kwako!
 
Noma sana, jamaa wanatapeli hadi vikongwe
 
Deal limebuma, Poleeeee bibi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mambo ya fraud ndo yako hivyo.Nyie wote ni wezi.
 
Samaki gani unafuga bibi?
Hongera pia
 
Amen. Yeye mwamba ana watu, ana connection, ana access, ana hela, nifanye nini kapuku Mimi zaidi ya kumwachia Mungu?
Unaweza kumwchia Mungu Ila km wanatumia jina lako unaweza ingia matatani.
Mfano hiyo kampuni ikikopa hela au ikadhulumu mtu,Basi wewe nawe utahusishwa kwani jina lako lipo.
Fuatilia kwa makini ,ukihakikisha kuwa liko basi utafute namna ya kuliondoa huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…