Mimi Bibi Yenu Mpambanaji nimedhulumiwa kwa kutokujua sheria

Kwa huo umri wako Bibi mwachie laana tu itampata yeye na ukoo wake ,Pole sana.
 
Hivi vitu vyote una uhakika na wwe ulivipata kihalali!? Isije kua na wwe ulikanyaga haki za watu enzi ya ujana wako sasa karma ndiyo imekuja ili ulipe dhuluma zote za ujanani wako!?
 
POle sana mtu mzima mwenzangu.....vp tu inbox nikufariji 🙂
 
Mkuu kufanya ubia na mtanzania kwa 99.9% ni kama suicide mission, lazima ulie tu, mimi nimepoteza zaidi ya 150m kwa kuamini watu na kufanya partnership nao usimuamini mtanzania kabisa hasa hao wasomi.
Mwambie hasa hawa hawo waliokariri mm siwezi kuwaita wasomi mana wanachokisimamia hawakielew
 
Hapo wamekwisha kutoa wewe kama shareholder kwa kushimdwa kuhudhuria vikao ama kulipia shares

Angalia brela kama bado upo

Alafu mil 5 ni hela gani kujirisk kiasi hicho?

Lingetolea lolote wewe ndie ungepewa kesi

Hapo ndio basi tena
 
Mkuu kufanya ubia na mtanzania kwa 99.9% ni kama suicide mission, lazima ulie tu, mimi nimepoteza zaidi ya 150m kwa kuamini watu na kufanya partnership nao usimuamini mtanzania kabisa hasa hao wasomi.
Kwanza pole sana kwa dhuruma ulizofanyiwa.
Pili, usipoteze imani kwa generalized instinct kwamba Watanzania wote ni wazurumaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…