Mimi binafsi nakutakia safari njema baba, japo sina uwezo wa kuambatana na wewe

Hayo maajabu sitoyaona kama hautonifanyia maajabu pia.
 
Sasa wee si umeshapachoka huko Dar hasa Pwani huko Msata kwa Mzee Mshana Jr. hahahahaahah.
Siku ukiwa tayari kuja Mwanza niambie tu mpendwa utanikuta, tena mtu mwenyewe mie ni wa viwanja nitakuzungusha kila kona
[emoji15][emoji1787][emoji23][emoji1540]
 
Bado tunaruhusiwa kuchangia au mda umeisha.. maana leo ndio naona huu uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…