min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Ila kwel mkuu usipo kuwa na pesa unakua na mapenzi ya kujishtukia , uko na bebi mama ako umetoka out unahesabia pesa mfukoni,sio poa ,ngoja tukomae kwanza tutawakuta huko mbele watutese kidgo tufe tuwaachie pesa.Itakuwa anamaanisha vyote kwa pamoja