Mimi huwa sina urafiki na mwanamke, ukiingia kwenye rada zangu lazima nikuombe!

Mimi huwa sina urafiki na mwanamke, ukiingia kwenye rada zangu lazima nikuombe!

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Eti vidume wenzangu nyie mnaweza kuwa marafiki na hawa watoto wazuri wa kike mimi siwezi aiseeeh, yaani ukiona tu najisogeza kwa manzi hiyo mbinu ya kuomba tunda.

Akininyima namwambia sawa mama pita hivi na mimi nipite hivi.

Kumekuwa na kasumba mtaani eti urafiki kati me na ke inawezekana hiyo kitu haipo, yaani hapo kuna mmoja ni domo zege hawezi omba chochote. Hivyo anajificha kwenye kimvuli cha urafiki kumbe domo ndio limejaaa mate.

65FCA572-B712-470A-8BBE-348555A5AC62.jpeg
 
Eti vidume wenzangu nyie mnaweza kuwa marafiki na hawa watoto wazuri wa kike mimi siwezi aiseeeh, yaani ukiona tu najisogeza kwa manzi hiyo mbinu ya kuomba tunda.

Akininyima namwambia sawa mama pita hivi na mimi nipite hivi.

Kumekuwa na kasumba mtaani eti urafiki kati me na ke inawezekana hiyo kitu haipo, yaani hapo kuna mmoja ni domo zege hawezi omba chochote. Hivyo anajificha kwenye kimvuli cha urafiki kumbe domo ndio limejaaa mate.

View attachment 2858368
Hahaha kweli mwanawane mwanamke hapana kuwa rafiki naye kwanza urafiki wao wee unabenefit nini maana hela hawakupi sasa y uwe na urafiki na mwanamke? Wee omba mbususu tuu hataki achana nae
 
Kuna wanawake decent ukiwa na urafiki nao pande zote zinanufaika. Ila kuna mikurumbembe ukiwa rafiki unaumia wewe kila siku utoe msaada mara ukopeshe mara uombwe pesa mara akifiwa au ndugu yake anaoa utoe mchango. Ukiangalia wewe hujawahi pokea kutoka kwake, unatoa tu. Hao ni kupe hata ukiwaomba huna cha kupoteza wakikataa.

Kuna wanawake ukiwapoteza kuna channel umeipunguza, anaweza kuwa sio yeye direct ila mtu wake wa karibu ambaye huna access naye bila huyo mwanamke. Be strategic sio kila mara unadindisha tu
 
Back
Top Bottom