Wewe bwana kuna mwanamke gani ana commection ya maana bwana. Its a mans world wee deal na wanaume wenzio kama marafiki hawa wanawake wee omba mzigo basi. Akikuoa kula akikunyima sepa zako.Kuna wanawake decent ukiwa na urafiki nao pande zote zinanufaika. Ila kuna mikurumbembe ukiwa rafiki unaumia wewe kila siku utoe msaada mara ukopeshe mara uombwe pesa mara akifiwa au ndugu yake anaoa utoe mchango. Ukiangalia wewe hujawahi pokea kutoka kwake, unatoa tu. Hao ni kupe hata ukiwaomba huna cha kupoteza wakikataa.
Kuna wanawake ukiwapoteza kuna channel umeipunguza, anaweza kuwa sio yeye direct ila mtu wake wa karibu ambaye huna access naye bila huyo mwanamke. Be strategic sio kila mara unadindisha tu
Hhuyu ni mimiEti vidume wenzangu nyie mnaweza kuwa marafiki na hawa watoto wazuri wa kike mimi siwezi aiseeeh, yaani ukiona tu najisogeza kwa manzi hiyo mbinu ya kuomba tunda.
Akininyima namwambia sawa mama pita hivi na mimi nipite hivi.
Kumekuwa na kasumba mtaani eti urafiki kati me na ke inawezekana hiyo kitu haipo, yaani hapo kuna mmoja ni domo zege hawezi omba chochote. Hivyo anajificha kwenye kimvuli cha urafiki kumbe domo ndio limejaaa mate.
View attachment 2858368
🤣Pia mimi, mkuu yaani ndo awe analo wowowo alafu mweupe, singoji hata huo urafiki 🙏
Mi naomba moja kwa moja 😂
Na hakatai maana naweza ng'ang'ania mpk akachoka mwenyewe kurusha mateke😂😂🤣
Hauna muda wa kupoteza. Mapeema tu unaomba wowowo, akikataa unapita hivi 👉🏿👉🏿
🤣Na hakatai maana naweza ng'ang'ania mpk akachoka mwenyewe kurusha mateke😂😂
tako jeupe kubwa kiasi ni sikio la kufa🙏
Sawa mkuu unaweza kumruhusu mke wako awe na urafiki na njemba yeyote hapo kitaaa?Ukimaliza shule utakua umekua kua.
Huo ni utoto unakusumbua.
Miaka kadhaa nyuma nilikua na mawazo kama hayo ila nikaja kujua ulikua utoto tu.
Haupo urafiki wa hivyo lazima final mechi ichezeke tu
Hata kama hana mvuto au sio mzuri yaani hamna unachokitamani kwake.Eti vidume wenzangu nyie mnaweza kuwa marafiki na hawa watoto wazuri wa kike mimi siwezi aiseeeh, yaani ukiona tu najisogeza kwa manzi hiyo mbinu ya kuomba tunda.
Akininyima namwambia sawa mama pita hivi na mimi nipite hivi.
Kumekuwa na kasumba mtaani eti urafiki kati me na ke inawezekana hiyo kitu haipo, yaani hapo kuna mmoja ni domo zege hawezi omba chochote. Hivyo anajificha kwenye kimvuli cha urafiki kumbe domo ndio limejaaa mate.
View attachment 2858368
Huu ndo uanaume sasa kwanini ucheke na manziEti vidume wenzangu nyie mnaweza kuwa marafiki na hawa watoto wazuri wa kike mimi siwezi aiseeeh, yaani ukiona tu najisogeza kwa manzi hiyo mbinu ya kuomba tunda.
Akininyima namwambia sawa mama pita hivi na mimi nipite hivi.
Kumekuwa na kasumba mtaani eti urafiki kati me na ke inawezekana hiyo kitu haipo, yaani hapo kuna mmoja ni domo zege hawezi omba chochote. Hivyo anajificha kwenye kimvuli cha urafiki kumbe domo ndio limejaaa mate.
View attachment 2858368
Naomba...Wachache sana mnaweza hio urafiki