Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Tuombe uzima tu my friend, utafurahi tu😂Sema na moyo wako
Kwani nimeandika Uzi WA kuomba mchango mahi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuombe uzima tu my friend, utafurahi tu😂Sema na moyo wako
Kwani nimeandika Uzi WA kuomba mchango mahi?
Ni utapeli mkuu .Uwe unasema ujavuta jiko huna hela na sio useme ndoa ni utapeli
Basi usipendeNi utapeli mkuu .
Hiyo ni kamusi ya kigogo ni kuloga na sio kurogaNimeenda kwenye kamusi ni kuroga na sio kuloga
Umejuaje hawazi hayo uliyotaja 😂Huwazi jinsi gani utailea familia yako(ndoa yako) unachowaza ni sherehe. Sijui aliyewaloga ni nani.
Tatizo mna fikiri upendo ndio ndoa , kumbuka upendo ni kitu cha asili ila ndoa ni kitu cha kubuni tu ,mimi napenda kufuata asili.Basi usipende
Kwenye R vs llL najua sipo perfect ila siwezi kuchanganya hata iweje.Nakutana na hii changamoto ninapowarekebisha wazee tu😂
Sawa mchinaTatizo mna fikiri upendo ndio ndoa , kumbuka upendo ni kitu cha asili ila ndoa ni kitu cha kubuni tu ,mimi napenda kufuata asili.
Kwenye mwandiko wake mbona vinasomeka.Umejuaje hawazi hayo uliyotaja 😂
Why mchina ? Unanichanganya ujueSawa mchina
Dada nyamwi anaolewa tutume chochote kitu basi.Tujikite kwenye mada
'MIMI HUYO TAREHE 13 JULY 024😁'
Milion 2 mkuu japo nyingine nilimalizia baada ya kuniletea kipenzi changu ruqaiya..(mtoto wangu wa kwanza )Ulitoaga/utatoa ngapi?
Astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah play safe mkuu 😂 😂7m unapata lifetime supply of p*ssy za 30k @ 😄
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kaka mkubwa bado sina pesa ya kutunza mke na mimi .
Hapa Yesu akirudi wakisema wenye hela hata shillingi 50 wanaenda Mbinguni mimi mtaniachaDada nyamwi anaolewa tutume chochote kitu basi.
Aaaaaaah sasa kaka mbona kama ....Dada nyamwi anaolewa tutume chochote kitu basi.
Upo sahihi neno loga limetoholewa kwenye neno ulozi na sio urozi.Aliyewaloga✅️
Aliyewaroga❌️
Rudi kwa mwalimu wako uanze upya.
Kaka nini bro sema tu 😄Aaaaaaah sasa kaka mbona kama ....
Au basi