Mimi kada wa CCM lakini mauaji ya kada wa CHADEMA Ali Kibao limetukera

Mimi kada wa CCM lakini mauaji ya kada wa CHADEMA Ali Kibao limetukera

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
Hivi 4R maana yake nini kwa sasa sijui maana yake nini.

Mauaji ya kada wa CHADEMA Ali Kibao, mauaji ambayo si suala la kulifumbia macho.
Kwa kawaida

Kama tumeanza kuingia katika mauaji ya kisiasa hata mimi mwa CCM siliungi mkono hilo.
Na kwa vyovyote mauaji haya hayaashirii upepo mzuri kwa uchaguzi mwakani na hali ya utulivu kuweza kuharibika.

Kuna wanaotaka kuleta mchafuko wa kisiasa maana siamini kwamba operations kama hizi mama Samia anaweza kuziagiza zitekelezwe.
 
Hivi 4R maana yake nini kwa sasa sijui maana yake nini.

Mauaji ya kada wa CHADEMA Ali Kibao, mauaji ambayo yanaashiria kufanyika na state agents si suala la kulifumbia macho.
Kwa kawaida state agents wanaagizwa operation za kutekeleza.

Kama tumeanza kuingia katika mauaji ya kisiasa hata mimi mwa CCM siliungi mkono hilo.
Na kwa vyovyote mauaji haya hayaashirii upepo mzuri kwa uchaguzi mwakani na hali ya utulivu kuweza kuharibika.

Kuna wanaotaka kuleta mchafuko wa kisiasa maana siamini kwamba operations kama hizi mama Samia anaweza kuziagiza zitekelezwe.
Hili jambo linasikitisha sana
 
Kondoo alikuwa anapita akamuona simba akilia akiwa amenasa kwenye boksi la chuma(grili), simba akamsihi sana kondoo amuokoe na kumuahidi kuwa hatamuua wala kumla, lakini kondoo akakataa.... Baada ya simba kubembeleza sana na kwa upumbavu wa kondoo, akafungua lile boksi la chuma.

Sasa simba alikuwa na njaa kali mno baada ya kukaa kifungoni kwa siku kadhaa bila kula chakula... Mara moja alimrukia kondoo na kukaribia kumuua ili amle, lakini kondoo alimkumbusha kiapo chake.

Waliendelea kubishana hadi wanyama wengine waliokuwa wanapita wakauliza kulikoni? Basi simba na kondoo wote wakaelezea jinsi ilivyokuwa, lakini kwa hofu ya simba na kutaka kupata huruma machoni pa simba, wanyama wote wakamsapoti simba isipokuwa kobe ambaye alidai kuwa hakuelewa mazingira na stori yenyewe.

Sasa kobe akamuomba simba aoneshe mahali alipokuwa kabla ya kondoo kumuokoa, simba akamuonesha kobe kwa mguu wake wa mbele, pale... Kobe akamuuliza tena, "ulikuwa ndani ama nje kabla ya kondoo kuja??"...Simba akamjibu, "nilikuwa ndani".

Kobe akamuuliza tena simba, "sawa, embu ingia tena ili tuone jinsi ilivyokuwia vigumu kukaa ndani ya grili kwani sielewi stori hii yote vizuri"... Simba akaingia, na mara moja(chapu!), kobe akafunga lile boksi la chuma (grili)... Na simba sasa alikuwa amenasa tena!!

Kwa mshangao mkubwa, wale wanyama wengine wakamuuliza kobe "Kwanini?" na kobe akawajibu..."Kama tukimruhusu simba amle kondoo leo, bado atasikia njaa tena kesho na hatujui kati yetu ni nani atakayeliwa kesho..!!"

#FUNDISHO

Usiunge mkono uovu leo kwa vile haukuathiri moja kwa moja, pengine kesho inaweza kuwa zamu yako.!!

Nafikri tunahitaji kobe wengi zaidi katika jamii yetu. Umejifunza nini?
 
Hivi 4R maana yake nini kwa sasa sijui maana yake nini.

Mauaji ya kada wa CHADEMA Ali Kibao, mauaji ambayo yanaashiria kufanyika na state agents si suala la kulifumbia macho.
Kwa kawaida state agents wanaagizwa operation za kutekeleza.

Kama tumeanza kuingia katika mauaji ya kisiasa hata mimi mwa CCM siliungi mkono hilo.
Na kwa vyovyote mauaji haya hayaashirii upepo mzuri kwa uchaguzi mwakani na hali ya utulivu kuweza kuharibika.

Kuna wanaotaka kuleta mchafuko wa kisiasa maana siamini kwamba operations kama hizi mama Samia anaweza kuziagiza zitekelezwe.
Mangula alipolishwa sumu uliendelea kubaki ccm, wewe unaweza kuwahurumia Chadema kweli?
 
Hivi 4R maana yake nini kwa sasa sijui maana yake nini.

Mauaji ya kada wa CHADEMA Ali Kibao, mauaji ambayo yanaashiria kufanyika na state agents si suala la kulifumbia macho.
Kwa kawaida state agents wanaagizwa operation za kutekeleza.

Kama tumeanza kuingia katika mauaji ya kisiasa hata mimi mwa CCM siliungi mkono hilo.
Na kwa vyovyote mauaji haya hayaashirii upepo mzuri kwa uchaguzi mwakani na hali ya utulivu kuweza kuharibika.

Kuna wanaotaka kuleta mchafuko wa kisiasa maana siamini kwamba operations kama hizi mama Samia anaweza kuziagiza zitekelezwe.
kiuhalisisia siyo kila mtu atakupenda ukiwa kiongozi, na wasiyokupenda wanakupa changamoto ya kujikosoa, lakini siyo kwamba uwateke na kuwauwa
 
Hivi 4R maana yake nini kwa sasa sijui maana yake nini.

Mauaji ya kada wa CHADEMA Ali Kibao, mauaji ambayo yanaashiria kufanyika na state agents si suala la kulifumbia macho.
Kwa kawaida state agents wanaagizwa operation za kutekeleza.

Kama tumeanza kuingia katika mauaji ya kisiasa hata mimi mwa CCM siliungi mkono hilo.
Na kwa vyovyote mauaji haya hayaashirii upepo mzuri kwa uchaguzi mwakani na hali ya utulivu kuweza kuharibika.

Kuna wanaotaka kuleta mchafuko wa kisiasa maana siamini kwamba operations kama hizi mama Samia anaweza kuziagiza zitekelezwe.
Kuna mtu alisema watawapoteza wapinzani na ni UVCCM mzuri tuu, nadhan kauli ile ingetolewa na CHADEMA angekuwa amesha chukuliwa hatua
 
Hivi 4R maana yake nini kwa sasa sijui maana yake nini.

Mauaji ya kada wa CHADEMA Ali Kibao, mauaji ambayo yanaashiria kufanyika na state agents si suala la kulifumbia macho.
Kwa kawaida state agents wanaagizwa operation za kutekeleza.

Kama tumeanza kuingia katika mauaji ya kisiasa hata mimi mwa CCM siliungi mkono hilo.
Na kwa vyovyote mauaji haya hayaashirii upepo mzuri kwa uchaguzi mwakani na hali ya utulivu kuweza kuharibika.

Kuna wanaotaka kuleta mchafuko wa kisiasa maana siamini kwamba operations kama hizi mama Samia anaweza kuziagiza zitekelezwe.
Tatizo Policcm walianza kuua tokea zamani hawawezi kuacha
 
Back
Top Bottom