Mimi kada wa CCM lakini mauaji ya kada wa CHADEMA Ali Kibao limetukera

Mimi kada wa CCM lakini mauaji ya kada wa CHADEMA Ali Kibao limetukera

Wambieni wanachama wenzako mkitumaliza ndio hamtakufa?
Hakuna mwanachama wa CCM mwenye hofu ya Mungu anaweza kuungo.mkono ubaradhuli kama huu wa mauaji ya kikatili..
Haki ya kuishi ni takwa la kibinadamu, kidini na hata kikatiba.
 
Hivi 4R maana yake nini kwa sasa sijui maana yake nini.

Mauaji ya kada wa CHADEMA Ali Kibao, mauaji ambayo yanaashiria kufanyika na state agents si suala la kulifumbia macho.
Kwa kawaida state agents wanaagizwa operation za kutekeleza.

Kama tumeanza kuingia katika mauaji ya kisiasa hata mimi mwa CCM siliungi mkono hilo.
Na kwa vyovyote mauaji haya hayaashirii upepo mzuri kwa uchaguzi mwakani na hali ya utulivu kuweza kuharibika.

Kuna wanaotaka kuleta mchafuko wa kisiasa maana siamini kwamba operations kama hizi mama Samia anaweza kuziagiza zitekelezwe.

UPDATE
Tayari nchi imechafuliwa kimataifa.View attachment 3090846View attachment 3090848View attachment 3090848
Wasakwe, na itashangaza dunia kama hawatapatikana.
 
Hivi 4R maana yake nini kwa sasa sijui maana yake nini.

Mauaji ya kada wa CHADEMA Ali Kibao, mauaji ambayo si suala la kulifumbia macho.
Kwa kawaida

Kama tumeanza kuingia katika mauaji ya kisiasa hata mimi mwa CCM siliungi mkono hilo.
Na kwa vyovyote mauaji haya hayaashirii upepo mzuri kwa uchaguzi mwakani na hali ya utulivu kuweza kuharibika.

Kuna wanaotaka kuleta mchafuko wa kisiasa maana siamini kwamba operations kama hizi mama Samia anaweza kuziagiza zitekelezwe.
Kama hajaagiza ameshindwaje akiwa kama Rais wa nchi kuhakikisha wanaofanya haya matukio wanakamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya Sheria.

Haya matukio yalianza tokea akiwa Makamu wa Rais, na sasa ni Rais.

Kama yeye hausiki alete timu huru ya uchunguzi iliyobobea kwenye masuala ya kiuchunguzi kutoka nje ya Tanzania waje wafanye uchunguzi wa haya matukio la sivyo wengi wataendelea kuamini haya matukio yanafanywa na Serikali yake na chama chake..

FaizaFoxy
 
Hivi 4R maana yake nini kwa sasa sijui maana yake nini.

Mauaji ya kada wa CHADEMA Ali Kibao, mauaji ambayo si suala la kulifumbia macho.
Kwa kawaida

Kama tumeanza kuingia katika mauaji ya kisiasa hata mimi mwa CCM siliungi mkono hilo.
Na kwa vyovyote mauaji haya hayaashirii upepo mzuri kwa uchaguzi mwakani na hali ya utulivu kuweza kuharibika.

Kuna wanaotaka kuleta mchafuko wa kisiasa maana siamini kwamba operations kama hizi mama Samia anaweza kuziagiza zitekelezwe.
Mbona kada ni kama vile una taarifa za kiintllinjinsia kuwa CCM wanahusika? Unaweza kuusadia uchunguzi wew
 
Tumeumia mno wana Tanga na watanganyika kwa ujumla...
 
Back
Top Bottom