masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Ndiyo mhusika mkuu, amejificha kwenye diniHangaya hafai hata kuwa mwenyekiti wa jumuiya ya mtakatifu Monica
Hili jambo linasikitisha sanaHivi 4R maana yake nini kwa sasa sijui maana yake nini.
Mauaji ya kada wa CHADEMA Ali Kibao, mauaji ambayo yanaashiria kufanyika na state agents si suala la kulifumbia macho.
Kwa kawaida state agents wanaagizwa operation za kutekeleza.
Kama tumeanza kuingia katika mauaji ya kisiasa hata mimi mwa CCM siliungi mkono hilo.
Na kwa vyovyote mauaji haya hayaashirii upepo mzuri kwa uchaguzi mwakani na hali ya utulivu kuweza kuharibika.
Kuna wanaotaka kuleta mchafuko wa kisiasa maana siamini kwamba operations kama hizi mama Samia anaweza kuziagiza zitekelezwe.
Mangula alipolishwa sumu uliendelea kubaki ccm, wewe unaweza kuwahurumia Chadema kweli?Hivi 4R maana yake nini kwa sasa sijui maana yake nini.
Mauaji ya kada wa CHADEMA Ali Kibao, mauaji ambayo yanaashiria kufanyika na state agents si suala la kulifumbia macho.
Kwa kawaida state agents wanaagizwa operation za kutekeleza.
Kama tumeanza kuingia katika mauaji ya kisiasa hata mimi mwa CCM siliungi mkono hilo.
Na kwa vyovyote mauaji haya hayaashirii upepo mzuri kwa uchaguzi mwakani na hali ya utulivu kuweza kuharibika.
Kuna wanaotaka kuleta mchafuko wa kisiasa maana siamini kwamba operations kama hizi mama Samia anaweza kuziagiza zitekelezwe.
Hakuna Mwanaccm Mcha MunguAndiko zuri ,ila mpaka mda huu nimeichukia ccm na wafuasi wake wote , na haya nasema nikiwa akili timam
kiuhalisisia siyo kila mtu atakupenda ukiwa kiongozi, na wasiyokupenda wanakupa changamoto ya kujikosoa, lakini siyo kwamba uwateke na kuwauwaHivi 4R maana yake nini kwa sasa sijui maana yake nini.
Mauaji ya kada wa CHADEMA Ali Kibao, mauaji ambayo yanaashiria kufanyika na state agents si suala la kulifumbia macho.
Kwa kawaida state agents wanaagizwa operation za kutekeleza.
Kama tumeanza kuingia katika mauaji ya kisiasa hata mimi mwa CCM siliungi mkono hilo.
Na kwa vyovyote mauaji haya hayaashirii upepo mzuri kwa uchaguzi mwakani na hali ya utulivu kuweza kuharibika.
Kuna wanaotaka kuleta mchafuko wa kisiasa maana siamini kwamba operations kama hizi mama Samia anaweza kuziagiza zitekelezwe.
Tupo Wana CCM tusiopenda dhuluma dhidi ya raia yoyote.Hakuna Mwanaccm Mcha Mungu
Kwa kweli hili sakata ka mauaji lazima serikali ijisafishe.Tupo Wana CCM tusiopenda dhuluma dhidi ya raia yoyote.
Kuna mtu alisema watawapoteza wapinzani na ni UVCCM mzuri tuu, nadhan kauli ile ingetolewa na CHADEMA angekuwa amesha chukuliwa hatuaHivi 4R maana yake nini kwa sasa sijui maana yake nini.
Mauaji ya kada wa CHADEMA Ali Kibao, mauaji ambayo yanaashiria kufanyika na state agents si suala la kulifumbia macho.
Kwa kawaida state agents wanaagizwa operation za kutekeleza.
Kama tumeanza kuingia katika mauaji ya kisiasa hata mimi mwa CCM siliungi mkono hilo.
Na kwa vyovyote mauaji haya hayaashirii upepo mzuri kwa uchaguzi mwakani na hali ya utulivu kuweza kuharibika.
Kuna wanaotaka kuleta mchafuko wa kisiasa maana siamini kwamba operations kama hizi mama Samia anaweza kuziagiza zitekelezwe.
Tatizo Policcm walianza kuua tokea zamani hawawezi kuachaHivi 4R maana yake nini kwa sasa sijui maana yake nini.
Mauaji ya kada wa CHADEMA Ali Kibao, mauaji ambayo yanaashiria kufanyika na state agents si suala la kulifumbia macho.
Kwa kawaida state agents wanaagizwa operation za kutekeleza.
Kama tumeanza kuingia katika mauaji ya kisiasa hata mimi mwa CCM siliungi mkono hilo.
Na kwa vyovyote mauaji haya hayaashirii upepo mzuri kwa uchaguzi mwakani na hali ya utulivu kuweza kuharibika.
Kuna wanaotaka kuleta mchafuko wa kisiasa maana siamini kwamba operations kama hizi mama Samia anaweza kuziagiza zitekelezwe.