Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Hahaha. Hili jina linachekesha sana afu ukijumlisha na sare za vitenge linaendana nao kweli.Yanga VICOBA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha. Hili jina linachekesha sana afu ukijumlisha na sare za vitenge linaendana nao kweli.Yanga VICOBA
Simba si Yanga na Yanga si SimbaSasa mbona wewe
Sasa mbona wewe ni Kolo kabisa nani kakwambia kupoteza game mbili ndio imeisha.
Hawa makolo unaowaona walishawai kupigwa mechi mbili tena kwa vipigo vizito na bado wakafanikiwa kutinga robo final
Walikula hamsa mbele ya AC vita then wakaenda kwa mwarabu wakala tena hamsa
Hata juzi kati walipigwa na Horoya kidude, then wakaja kwa mkapa wakachapwa vitatu napo walipita,
Ukiona mwana yanga anakata tama kwa hizi game mbili jua huyo football haujui.
Da nimekuta Wazee wawili WA Yanga dukani wanatia huruma wanasema mechi inayofuata hawaangalii. Yanga mtatuulia Wazee wetu😂😂😂Kuna mama nimesikia asubuhi anasema."kimataifa hawapawezi wangewaachia tu simba"🤣🤣
Wataitwa "Mwamakundi FC" sasa hivi kwa vile wamepigwa two, kicha wakandwa 2,acha tuwaite "Tumbili FC"Mkiishia makundi mara tatu mnabatizwa jina la wavikundi.
Wakati unafananisha hivyo, usisahau kufananisha na aina ya kikosi Simba walichokuwanao na hiki cha Yanga kinachomtegemea Chama huyu aliyekuwa bora enzi hizo alete mabadiliko kwenye hiki kikosi. Je Yanga wana mchezaji kama Kagere, Okwi, Chama, Niyonzima na Bocco walio kwenye ubora mkubwa? Kwa Yanga hii inayocheza dakika 94 bila shot on goal hata moja?Sasa mbona wewe
Sasa mbona wewe ni Kolo kabisa nani kakwambia kupoteza game mbili ndio imeisha.
Hawa makolo unaowaona walishawai kupigwa mechi mbili tena kwa vipigo vizito na bado wakafanikiwa kutinga robo final
Walikula hamsa mbele ya AC vita then wakaenda kwa mwarabu wakala tena hamsa
Hata juzi kati walipigwa na Horoya kidude, then wakaja kwa mkapa wakachapwa vitatu napo walipita,
Ukiona mwana yanga anakata tama kwa hizi game mbili jua huyo football haujui.
Yes walipigwa mechi mfululizo na wakapita kwa mgongo wa timu dhaifu ya Vipers, unadhani kwenye kundi la Yanga kuna timu ya kariba ya Vipers? Timu dhaifu ya El Hilal ndio hiyo tayari imeshawafunga Yanga tena nyumbaniHujui mpira wewe hao unao waona bora walipigwa mechi mbili mfululizo wakianzia dar wakakandwa tatu kwa moja na raja na bado mechi ya pili wakafumuliwa tena lakini walipita kwenda robo fainali mashindano haya haya tulia uone mpira ni nin sio kukurupuka tu..
Huyu bado kijana msamehe tuSayansi hii ya Mpira kina Ali Kamwe hawaijui.
Wewe hujui mpira bora ungekaa kimya kuficha ujinga ulio nao kichwani, tusibishane sana ngoja tuuachie muda utaongeaWakati unafananisha hivyo, usisahau kufananisha na aina ya kikosi Simba walichokuwanao na hiki cha Yanga kinachomtegemea Chama huyu aliyekuwa bora enzi hizo alete mabadiliko kwenye hiki kikosi. Je Yanga wana mchezaji kama Kagere, Okwi, Chama, Niyonzima na Bocco walio kwenye ubora mkubwa? Kwa Yanga hii inayocheza dakika 94 bila shot on goal hata moja?
Haya piteni makundiSasa mbona wewe
Sasa mbona wewe ni Kolo kabisa nani kakwambia kupoteza game mbili ndio imeisha.
Hawa makolo unaowaona walishawai kupigwa mechi mbili tena kwa vipigo vizito na bado wakafanikiwa kutinga robo final
Walikula hamsa mbele ya AC vita then wakaenda kwa mwarabu wakala tena hamsa
Hata juzi kati walipigwa na Horoya kidude, then wakaja kwa mkapa wakachapwa vitatu napo walipita,
Ukiona mwana yanga anakata tama kwa hizi game mbili jua huyo football haujui.
Utamfunga nani kwenye kundi lenumda bado kaza moyo
Kweli dhihaka sio kitu kizuri...yani li mtu linaropoko utopolo eti bora tushushiwe malaika...shwaiiniiiUtafungwa jela miezi sita kwa kuicheka timu inayotamani kucheza na malaika.Kuwa makini sana.🤣🤣🤣🤣🙏
Wanapitaje wakati wanafungwa kama mzigo wa kuniHaya piteni makundi
Wapi uko?Lakini mbona yanga kafanya vizuri kuliko simba.
Simba alicheza robo finali dhidi ya mazembe. Next season akatolewa round ya awali kabisa dhidi ya ud songo.
Sasa yanga last season kafika robo, this season kaingia makundi tena. Thats a massave achievement.
Ngoja mwende Congo kwa Mazembe ndio mtajua hamjuiSasa mbona wewe
Sasa mbona wewe ni Kolo kabisa nani kakwambia kupoteza game mbili ndio imeisha.
Hawa makolo unaowaona walishawai kupigwa mechi mbili tena kwa vipigo vizito na bado wakafanikiwa kutinga robo final
Walikula hamsa mbele ya AC vita then wakaenda kwa mwarabu wakala tena hamsa
Hata juzi kati walipigwa na Horoya kidude, then wakaja kwa mkapa wakachapwa vitatu napo walipita,
Ukiona mwana yanga anakata tama kwa hizi game mbili jua huyo football haujui.